Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku chache zilizopita tuligombana na wife wote tuliumia, lakini badae akaenda police kunishtaki kuwa nimempiga na jalada lipo police, naombeni ushauri kukiepuka kikombe hiki.
Nilipigwa na ubao kichwani nikiwa nimetulia nachat nilishonwaTuanzie hapa
"tuligombana na wife wote tuliumia, lakini badae akaenda polisi"
Hili nneo tuligombana na wote tuliumia...mliumia kivipi
Moyoni au mmepigana mapanga ...ngumi au vijembe?
Tatizo hujaelewa, Mimi ndo niliumia zaidi lakini kwakuwa nayeye nilimpa tuvibao kidogo nikaona ili kumjali nikampeleka hospitali na huko akapewa dawa za kutuliza maumivu tu,yani unapiga mkeo mpaka anaenda kuuguzwa wewe kweli ms.enge
Ilikuwa Ni namna ya kumuondoa kwa kuwa walikuwa hawana hakika amani imekaaje so wakatumia kigezo kuwa tukamuuguze ndugu,Nilikuwa tu namuonesha kuwa Mimi Ni mume kwa jinsi nilivo ningempiga yule angekifano matter what huwezi sema unapiga mke kiasi kwamba anaenda kuuguzwa kwao huo ni upumbavu.
Kwa hiyo ulimpiga Kweli lkn wote mliumia?!!. Halafu unaumizwaje na mwanamke?.Siku chache zilizopita tuligombana na wife wote tuliumia, lakini badae akaenda police kunishtaki kuwa nimempiga na jalada lipo police, naombeni ushauri kukiepuka kikombe hiki.
Polisi wanapumbazika sana na pesa,afanye hivyo tu.Pole sana. Hakuna ndoa hapo. Mnalazimishana tu.
Kuhusu hao polisi, tembeza hela tu na wewe hakuna namna.
SureMke hapigwi makonde bali anapigwa na kanga na dushe.
Una msongo wa mawazo dada, kaa utulie, kunywa maji ya kutosha upumzike.Na ndo atakuwa mipango ya kukuoa sasa eti! Mnarahisisha ndoa kuvunjika dah
Wewe ndo umesongeka shoga angu sina sheeder ata kiduchuUna msongo wa mawazo dada, kaa utulie, kunywa maji ya kutosha upumzike.
We umempiga kweli[emoji848]Ndio japo mwera wananitafta nimewaambia nimesafiri ili niende j3 naogopa wakinidaka leo Hadi j3 sero no hatari na nasikia katembeza pesa hapo kituo Cha police
Itakuwa ulimuumiza sana...wanaume mlivokomaa mikono na sugu zenu hivi unaanzaje kurusha mingumi kwa mtoto wa kike[emoji57]Imeshindikana mkuu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] umepindaHapana Ni mwanamke anamiliki K kabisa!
Kikubwa hauwezi kufungwa, kama kesi itaenda mahakamani utahukumiwa kulipa fain... Mlipe na mpe talaka yake! Hapo hauna mke mkuuNdio japo mwera wananitafta nimewaambia nimesafiri ili niende j3 naogopa wakinidaka leo Hadi j3 sero no hatari na nasikia katembeza pesa hapo kituo Cha police
Ndio maana jamaa alitaka kuongeza mke wa pili apate utulivu wa nafsi inaonekana majanga ya mke wake yalianza kitambo
Ume andika Pumba[emoji23][emoji1787][emoji1787]hata mimi ningeenda unampigaje mkeo ?
Sisi tu ndio tunaruhusiwa kuwapiga maana sisi ninusu sasa utajiju mhongee na umuache kumpiga atafuta hiyo kesi.
Au mtishie asipofuta hiyo kesi unakunywa sumu ya panya naunanunua kwel unamuonyesha halafu unanunua andrew livesalt zile za kupunguza gesi kuwa makini .
Ukisha mwonyesha za panya unazitupa asione ila zile unaweka kwenye glasi unakunywa halafu unakunywa piriton .
Ukimaliza siutalala usingizi ataanza kuhangaika akizani kweli.
Au ukishakunya ile usimeze maji yote changanya kidogo na sabuni ya unga halafu ukitema hayo maji yanatoa mapovu.
Babu yangu mzee Mshana yeye husema mwanamke akishtaki nje na wazazi hafai tena kuwa mkeHakuna kesi hapo, na hata ikipelekwa jukwaa la jinsia watabaki wakimshangaa huyo mwanamke