Naombeni Ushauri: Mke amenishtaki kuwa nimempiga

Naombeni Ushauri: Mke amenishtaki kuwa nimempiga

Nikisoma matukio ya vipigo kwa wanandoa ama wapenzi nakumbuka mengi Sana, wanaume mnakosea sana kupiga wanawake zenu, akikushindwa muache tu, Kila mtu anayo namna ya kumaliza hasira yake nae huyo mkeo kukupeleka polisi ndivyo namna yake ya kukuadhibu, nenda tu Tena itakuwa vyema ukae mahabusu hata siku 4,

Saiv kila wiki ni habari ya mwanamke anauawa kwa kipigo hebu oneni aibu kah
 
Mahakama iliona kunarundo la kesi za wanandoa. Hivyo Sikuhizi imetoa nafasi kwa migogoro yote ya wanandoa lazima ianzie kwa Balozi wa mtaa,

Balozi akishindwa kuwapatanisha kesi inapelekwa ngazi ya Kata, nao wakishindwa mnaambiwa muende ngazi ya Kanisani au Msikitini.

Kwenye dini wakishindwa kuwasuluhisha ndio inaenda Polisi kwenye dawati la Jinsia nao wanachofanya ni kuwasuluhisha tu (Kama mlipigana na mmoja kaumia utaambiwa umtibie kisha mpatane mrudi nyumbani, labda Kama ulimvunja mkono au kutengua kiungo na kufanya kutokubalika kuendelea kwa ndoa yenu hapo ngoma itapelekwa Mahakamani.

Poilisi dawati la jinsia litajaribu kuwasuluhisha, likiona mmeshindwa kupatana ndio kesi inapelekwa Mahakamani (Huko napo mtapelekwa kwa Baraza la wazee nao wajaribu kutatua ugomvi wenu wakishindwa ndio Mahakama itafanya maamuzi).
Hivyo mtoa mada wala usiogope kwenda Polisi. Mtasikilizwa na kufikia muafaka.
 
Usitetee maovu
Wanandoa wanaouana usifikiri wameanzia hapo.hao wameanza siku nyingi kugombana ,kutukanana,kupigana mwisho wa siku ndo hayo ya mauti.
Shika adabu yako hujui watu wametoka wapi baada ya kuwambia wasameheyane wewe chura huna mke hapo daa dekii ,sasa akiachwa utamuoa weye.
 
Hata kama angepigika kiasi cha kutotembea asingethubutu kumpeleka mume wake police, kikubwa jamaa asolve tu hiyo issue ikiisha bas amrudishe kwao kwanza akili ikamkae sawa, ogopa sana mtu anaekupeleka police huyo anaweza kukuua kwa namna yoyote ile.
Kwaiyo anayepiga ndo yuko sahihi, na je katika iko kipigo ingetokea akaua? Bora wa kwenda polisi sometimes inasaidia kwaivo akae anapondeka adi siku aponde kichwa mama wa watu azikwe eti kisa ndoa
 
Hawa wenye mikia wa humu ndani wanaona haki yao.kupiga mke mpaka wamng'oe macho....ila wakioelekwa polisi wanaona mke hafai

As if wanapiga ngoma!!!!


Imagine mpaka mtu kauguzwa kwao.

Ina maana kipigo kilikuwa cha maana. Angekufa je???
Wengine unakuta kukurupuka utafikiri walikuwa wanachukuliana mabwana na uyo mwanamke.....siku izi mtu anajaribu kuzaba Kofi tu mtu anapoteza fahamu, ndugu wanapoteza maisha kisa ugomvi wa ndoa, mwenzie kwenda polisi eti wanaume wanaona hafai
 
Baada ya kugombana Mimi ndo nilimtibu na baadae wazazi wangu wakaja kumchukua ili atulie kidogo lakini akatoroka hom na kwenda kwao ndo karudi kisirisiri kukisanua,alitaka kunipoga shoka ndipo nikamtime nakumlaza kwa mtama

Achaneni tu
 
Waogopa nini? Nenda kesho kituoni ukiwa umeshiba, watakuweka ndani hata wakitaka kukupeleka mahakamani wacha wakupeleke na Ndoa ndio Imeishia Hapo.
Na ndo atakuwa mipango ya kukuoa sasa eti! Mnarahisisha ndoa kuvunjika dah
 
Mkuu
Nitasema hili mara moja maana scenerio yako iliwahi kuwa similar na ya kwangu...
Note:usiposikia sawa ukisikja sawa maana it seems unampenda huyo mwanamke na am sure kipato mnalingana au kakuzid..na kama mna watoto au mtot mdogo napo issue

Naanza....

Jumatatu tafuta wadhamini wako wawil wenyr barua za serikali ya mtaa na vitambulisho nenda nao hapo polisi..wasisema kama wadhamini jifanye kama washkaji zako..

Ukidakwa uwekwe ndan wao wawe na hela pia yakutembeza uyo mpelelez wa jalada lako mambo yaende chap upate thamana maana mapolisi ni makima sana hizi kesi kama wamekula hela ya mkeo ukifika lazma wakuvue viatu na maneno yao mengi ya kejeli(wanakera na ndo mana kuna wawil niliwagongea wake zao maksudi kulipiza)...

Kuna watu wamekushauri hapo juu kwamba mke huna...that pill is HARD to swallow but brother MKE HUNA...

Why.....

Hata ugomvi ungekuwaje huyo mwanamke kama anaupendo angekushtak either kwa ndugu zako wazazi wako au hata rafiki zako wa karibu wakukanye huo upuuzi uliofanya...ila akienda polisi maana hakutaki tena potelea mbali mali mlizochuma potelea mbali mlipotoka am telling you from experience kama umri wako below 40 una nafasi kuanza upya na una nguvu ...piga moyo konde...

Huyo mkeo anahitaji space...maana kama mmefikia kukwidana mambo hayapo sawa..kwenye space amini nakwambia wanawake akili zao atakazwa tu kama ulikuwa unamhisi anachepuka basi atakamilisha dhamira yake for sympathy ya kupigwa nawew..na amini vijana wa leo watakukazia vyema mkeo tu tena hata kuliko wew unavyomkaza...ila hawatamchukua watakurudishia tu...nawewe katika space fanya mambo yako kuwa free spirit tu..kazana pisi zipo kali tu ujikinge tu...

Ushauri...
Huo mkasa wa polisi jalada pambana lifutwe lisiende mahakamani kwanza..pili jua mkiitwa atakomaa liende..ila kama siku ya jumatatu utapanga kwenda polisi nenda nawashua kabisa ili muombe mfute mkayamalize nyumban na since hatak myamalize means hataki urudi home..sasa wew gear ya kumkonvince afute ni kumwambia ukirud kikaoni utaongea na wazaz wake pia na wako juu ya kupeana nafasi maana stage mliofikia sio nzuri..na ukirud sema waz nataka mpa nafasi japo tuweze tafakari hii ndoa...

Ukimpa nafasi rudi hata kwenu au panga chumba..mpotezee uwe unamsalimia na kumhudumia tu kama mkeo kama mna watot unamuomba jion upite kusalimia msionane tu unakaa japo nusu saa unasepa...
Mpe uhuru 100 percent

Kama mke mwelevu atajutia na kukuhitaji nyumbani myamalizd huko mbeleni
Kama mke mbovu huu mda atajijenga zaid mbali na wew na kisha kukuomba official separation ha mahakama

Nakusihi msupport ongea nae pind upo mbali
.kaka mke anauma ila jitahid sanaaa tena sanaaa mpe nafasi wanawake wasiku hizi hata uwe na jazba vipi hawapigwi kaka..kesi nje nje na wanashauriana sana mambo yakuepuka ndoa za vipiko maana leo kofi kesho mwiko kesho gongo mara paap gunia mbili hizo umechimba na shimo ukampoteza mazima mtoto wa watu...

Nina mengi yakukushauri siwez funguka ila mimi kesi za kupigana zilikuwa nyingi kanilaza ndani mara mbili kwa ugomvi..nika apply hiyo system ya space akaanza kujirud ila kumbe pia kakolea kwa kimchepuko..siku nimekuja kusalimia wa nangu tulikwaruzana mabishano ya maneno akaniitia polisi..daahh niliapa nikitoka sikanyagi tena hata kuwaona watot...ntahudumia nikiwa mbali...mkuu nililia usiku kucha njian kusafir kwenda kwa wazee kama mtoto....nilipofika walinisihi mpe mda piga kaz usije kuja kuua mtot wa watu...maana wananijua hasira zangu...huwez amin nilipasua mwaka mzima sijampigia simu watoto nikitama kuwasalimia natumia wifi zake nk.hela nikituma natumia wifi zake nk yani yeye hakusikia sauti yangu zaid nikiwa naongea na wanangu tena namskia akijiongelesha kwa mbalii..mwaka ukaisha nikamtumia talaka yake..baada ya kumpa talaka nikawa na amani maana na mimi nilizoea maisha bila yey ..basii nikamtafuta siku tulipiga story kama masaa hivi bas tukakubaliana way foward kulea watoto nk na tuka let bygones be bygones..nikaoa tena mwaka jana nikabarikiwa mtoto mmoja..nayeye mwaka huu amejifungua sijui aliolewa au kazaa tu ..watoto likizo wanakuja mkoa nilipo maisha yanaenda...
Na yote haya below 40
...
Usiogope kuanza upya ..ndoa nyingi za sasa mbwembwe nging afu kudumu kwake changamoto..ningelijua ningeoa nikiwa 35...sasa mimi niliwah 30 nikaweka ndani bomu
 
Siku chache zilizopita tuligombana na wife wote tuliumia, lakini badae akaenda police kunishtaki kuwa nimempiga na jalada lipo police, naombeni ushauri kukiepuka kikombe hiki.
😂🤣🤣hata mimi ningeenda unampigaje mkeo ?

Sisi tu ndio tunaruhusiwa kuwapiga maana sisi ninusu sasa utajiju mhongee na umuache kumpiga atafuta hiyo kesi.
Au mtishie asipofuta hiyo kesi unakunywa sumu ya panya naunanunua kwel unamuonyesha halafu unanunua andrew livesalt zile za kupunguza gesi kuwa makini.

Ukisha mwonyesha za panya unazitupa asione ila zile unaweka kwenye glasi unakunywa halafu unakunywa piriton .
Ukimaliza siutalala usingizi ataanza kuhangaika akizani kweli.

Au ukishakunya ile usimeze maji yote changanya kidogo na sabuni ya unga halafu ukitema hayo maji yanatoa mapovu.
 
Mke hapigwi hata siku moja, utaingia matatizoni na Jamhuri.

Siku ingine, we mpe "HELA FEKI" aende nazo sokoni akachezee kichapo huko, akirudi mzima basi ujue hana meno ya sebuleni.

Ulimwengu wa leo unampiga mkeo? Hujipendi nini? Sasa wakikukamata lazima watakulaza sero na huko utakutana na wanaume wenzio watakupakata!!! Kwa usalama wako ningekushauri uhame nchi!!!
 
Back
Top Bottom