Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Ugomvi kama huo ukienda kuamulia ni bonge ya risk unatakiwa angalau uvae vest kwa ajili ya kuzuia sharps object kama visu, na helment kwa ajili ya usalama wa kichwaMleta mada atuambie ni kabila gani. Wakurya wanatumia silaha yoyote iliyo mbele yake. Nshaishi na jirani wakurya aiseee ugomvi wao mkubwa sana na haipiti wiki hawajapigana sio kugombana kwa maneno ni ngumi,visu,mwichi,zinarushwa chupa hatari