Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Nikweli mkuu, mke anapigwa na (mpelekee moto). Lakini kwenu vijana hadi mfikie umri wa busara, basi lazima mtakua mmepitia kwenye mambo za makofi na kufinyana. Or though, hiyo haijafikia tiketi ya kumfanya mke ampeleke mume wake polisi (huko polisi mlisha bainika ndio maana mkawekewa Dawati)no matter what huwezi sema unapiga mke kiasi kwamba anaenda kuuguzwa kwao huo ni upumbavu.