Kilawo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 1,631
- 2,778
Tangu nimeoa saizi natimiza miaka saba ndani ya ndoa yetu na tumebahatika kupata watoto wawili.
Lakini hapa karibuni mke wangu amepata habari kuwa nina mtoto mwingine ambaye nimezalia kwa mwanamke mwingine sasa ananisumbua sana anataka asepe kwao.
UPDATE:jamani niwashukuru sana kwa ushauri wenu saizi nipo na naishi safi kabisa namke wangu mke wangu ni Mfanyakazi saizi anafatilia mkopo ili anipe pesa nifanyie biashara zangu Ahsanteni sana kwa ushauri.
Lakini hapa karibuni mke wangu amepata habari kuwa nina mtoto mwingine ambaye nimezalia kwa mwanamke mwingine sasa ananisumbua sana anataka asepe kwao.