Mkuu, kila mmoja ana umuhimu kwa uzito wake, cha msingi jamaa lazima ahakikishe analinda ndoa yake maana amemkosea mke kwa kumsaliti, lazima ajishushe na atumie busara kuzungumza na mke, kumbuka ana watoto wawili na mke wa ndoa
Umeongea point,
BUSARA lazima itawale, na lazima ajishushe.
Ila inabidi awe na tahadhari sana, maana mwanamke keshaanza kutishia wagawane Mali.
Ata Kama kweli mwanaume kakosea, haimpi uhalali mwanamke kuanza kuongelea habari za kugawana Mali badala ya kuconcentrate na tatizo lililoko mezani. Kimaadili haiko SAWA.
Na Kama maadili yanakiukwa Kias icho,
JAMAA anapaswa kua ALERT na kurejea Kwenye UANAUME WA ASILI (MFUMO DUME) ili mwanamke arudi Kwenye mstari.
Akilegeza,
Mwanamke atampanda kichwani kwa mgongo wa tiketi ya KUGAWANA na JAMAA kwasababu keshaonekana Ni dhaifu Kwenye Mali, ATAFYATA MKIA.
Matokeo yake,
1.Atampiga marufuku kumleta nyumbani kwake , hivyo kumnyima haki ya msingi mwanae kuwatambua ndugu zake. Na JAMAA hatakua na la KUFANYA.
2. Ata akikubali amlete nyumbani, tambua kua atamnyanyasa Sana na sometimes Atafanya mbele ya baba ake anaona, na kwasababu JAMAA keshaonesha udhaifu wa hofu ya KUGAWANA, atafyta mkia.
Nnachomsihi,
Awe na BUSARA ila na BUSARA yenyewe iwe na mipaka.