cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Huyo mkewe naye azae nje unamheshimu mtu huku hajiheshimu aisee.Kama kulikuwa na wanaume wanammendea anawatolea nje sasa hivi ataanza kuwapa ushirikiano mkubwa.
Yani kuanzia sasa utaanza kumuona mabadiliko makubwa sana na si kazi akaanza kupendeza kuliko awali.