Naombeni ushauri: Mke wangu amejua kuwa nina mtoto kwa mwanamke mwingine

Naombeni ushauri: Mke wangu amejua kuwa nina mtoto kwa mwanamke mwingine

Mume wangu ana mtoto mmoja bahati nzuri Mama yake alishaolewa nahisi ana mwingine hapendi kukubali.asilimia 95 ya wanaume wana watoto nje either kabla ya ndoa or before.so wakati wako wa kuambiwa Kuna mtoto pokea tu maisha yaendelee.kesi ya infidelity kwangu haitokaa inipe shida as long hainiaffect mimi.na wanangu.kila mtu ana akili zake siwezi control akili ya mtu.iko nje ya uwezo wangu


Wanawake wengi wanaochukulia poa mambo hayo mara nyingi ni wale ambao nao hawajatulia.

Uzoefu unaonesha hivyo.

Kuna wanawake wanaishi na wanaume lakini wanajulikana wana michepuko yao ya kudumu miaka na miaka.

Kuna wanawake hata akipata dharura mfano amegonga gari ya mtu wakwanza kumwambia ni mchepuko wake aweze kumshauri au afike eneo la tukio.

Mume wa ndoa atakuja kupata taarifa jioni au asipate kabisa [emoji108][emoji108]

Mwanamke yeyote malaya huwa hajali sababu dhamiri yake inasuta ndani yake kuwa “wewe mwenyewe mbona hujatulia ? “

Lakini mwanamke ambae ni mwaminifu kabisa ktk ndoa jambo hilo huwa ni mtihani mkubwa sana.
 
Haki sijawai kutembea na mume wa mtu.ila mtu akizaa na mume wangu siondoki
Umeolewa? Au ni kwamba unaimagine ukiwa kwenye ndoa hautaondoka? Usiombe yakukute Kuna kupanic kuna hasira, kuna maamuzi yanakuja hata huwazi kesho, wanaojikutaga wamefanya maamuzi kama hayo sio kwamba toka hayajawakuta walishajipanga kuondoka.....maumivu yanauzidi moyo
 
Asilimia 70 ya nyuzi za JF kuhusu ndoa zitanifanya nisioe. Yani niko nasikitika mkeo anataka aondoke kwa uchungu wa wewe kuchepuka, kumbe yeye target yake ni kugawana mali.


Kuna familia mama huwa na mchango mkubwa sana hasa kwenye miradi ya maendeleo ya familia pengine kwa zaidi ya 70%

Sasa chukulia ktk mazingira kama hayo halafu aletwe mrithi wa nje wakati baba mchango wake pengine ni 20 %

Huoni mke atanyonywa zaidi jasho lake?

Hiyo inasumbua siyo mali tu lakini hata saikolojia.

Sizani kama watakuwa na furaha ya ndoa tena.

Mama atakuwa analala kama gogo !
 
Wanawake wengi wanaochukulia poa mambo hayo mara nyingi ni wale ambao nao hawajatulia.

Uzoefu unaonesha hivyo.

Kuna wanawake wanaishi na wanaume lakini wanajulikana wana michepuko yao ya kudumu miaka na miaka.

Kuna wanawake hata akipata dharura mfano amegonga gari ya mtu wakwanza kumwambia ni mchepuko wake aweze kumshauri au afike eneo la tukio.

Mume wa ndoa atakuja kupata taarifa jioni au asipate kabisa [emoji108][emoji108]

Mwanamke yeyote malaya huwa hajali sababu dhamiri yake inasuta ndani yake kuwa “wewe mwenyewe mbona hujatulia ? “

Lakini mwanamke ambae ni mwaminifu kabisa ktk ndoa jambo hilo huwa ni mtihani mkubwa sana.
Kuandika huku jf flani Malaya hakumfanyi kuwa Malaya .uzoefu wa kuandika bila research Ni ziro tu.
Kila mtu ana style zake za kuishi
Kama hujui stress inaua basi chagua stress.
 
Ahaaa labda umeingiwa na jini la kiarabu
On a serious note, hapa panatakiwa mkakati kumnasua mwenzetu kwenye mtego aliojiwekea mwenyewe.

Ama sivyo familia pasu pasu.

Yani inatakiwa aanze kumtongoza na kumchumbia mke wake upyaaa, ikibidi na mahari aitoe tena na washenga awapange vizuri!

Mi nikafikiri mtoto alikuwepo kabla ya ndoa, nikataka kusema Kiafrika hapo mbona hakuna kesi kubwa.

Huyu kichanga wa miezi sita mitala.
 
Wanawake wengi wanaochukulia poa mambo hayo mara nyingi ni wale ambao nao hawajatulia.

Uzoefu unaonesha hivyo.

Kuna wanawake wanaishi na wanaume lakini wanajulikana wana michepuko yao ya kudumu miaka na miaka.

Kuna wanawake hata akipata dharura mfano amegonga gari ya mtu wakwanza kumwambia ni mchepuko wake aweze kumshauri au afike eneo la tukio.

Mume wa ndoa atakuja kupata taarifa jioni au asipate kabisa [emoji108][emoji108]

Mwanamke yeyote malaya huwa hajali sababu dhamiri yake inasuta ndani yake kuwa “wewe mwenyewe mbona hujatulia ? “

Lakini mwanamke ambae ni mwaminifu kabisa ktk ndoa jambo hilo huwa ni mtihani mkubwa sana.
Ama unakuta anachukulia poa ndoa yenyewe haijui kwa vile alishajitolea kuwa mchepuko milele anaona km mwenzie anakosea saaana ni jambo la kawaida kabisa
 
On a serious note, hapa panatakiwa mkakati kumnasua mwenzetu kwenye mtego aliojiwekea mwenyewe.

Ama sivyo familia pasu pasu.

Yani inatakiwa aanze kumtongoza na kumchumbia mke wake upyaaa, ikibidi na mahari aitoe tena na washenga awapange vizuri!

Mi nikafikiri mtoto alikuwepo kabla ya ndoa, nikataka kusema Kiafrika hapo mbona hakuna kesi kubwa.

Huyu kichanga wa miezi sita mitala.
Aniletee mke wake nimshauri.huo Ni mtihani tu.kuna mwanamke mwingine anapoteza ndoa kwa kifo cha mumewe,mwingine mume kafungwa maisha,mwingine mume yuko icu. Na kadhalika na kadhalika kwaiyo atulie ajipange upya kuondoka hakusaidii
 
Mume wangu ana mtoto mmoja bahati nzuri Mama yake alishaolewa nahisi ana mwingine hapendi kukubali.asilimia 95 ya wanaume wana watoto nje either kabla ya ndoa or before.so wakati wako wa kuambiwa Kuna mtoto pokea tu maisha yaendelee.kesi ya infidelity kwangu haitokaa inipe shida as long hainiaffect mimi.na wanangu.kila mtu ana akili zake siwezi control akili ya mtu.iko nje ya uwezo wangu
 
Asilimia 70 ya nyuzi za JF kuhusu ndoa zitanifanya nisioe. Yani niko nasikitika mkeo anataka aondoke kwa uchungu wa wewe kuchepuka, kumbe yeye target yake ni kugawana mali.
Kugawana mali ni haki yake, hawezi ondoka mtupu kwa muda aliokaa Kuna vitu amechangia wanaume wengi mnapenda mkiachana na mwanamke basi asipate popote pa kushika ndo furaha yenu
 
Asilimia 70 ya nyuzi za JF kuhusu ndoa zitanifanya nisioe. Yani niko nasikitika mkeo anataka aondoke kwa uchungu wa wewe kuchepuka, kumbe yeye target yake ni kugawana mali.
Mkuu,

Ndoa zenye figisu ndizo zinazovuma.

Zile nyingi ambazo watu wanaenziana na kulishana unaweza usizisikie.
 
Siku ya kwanza ya uchumba ungemwabia ukweli ili aamue mwenyewe. Ameona wewe sio mkweli na utamficha mengi.
 
Mwanamke yeyote anayetishia kuwa ataondoka kwenda kwao (kwa wazazi wake) hajakomaa kiakili.

Akikuambia anaondoka kwenda kwao mwambie nenda ila usirudi hadi nitakapokufuata
Mkuu kwa comment hii unaweza kumuolea mke wa pili kabla hajamaliza kufungasha virago.

Style ya Kanye West, kabla talaka haijakamilika ushatoka na model mpya mkali zaidi magazetini.
 
Mwambie asepe akapumzishe kichwa baada ya miezi mitatu asiporudi mfuate.
 
Aniletee mke wake nimshauri.huo Ni mtihani tu.kuna mwanamke mwingine anapoteza ndoa kwa kifo cha mumewe,mwingine mume kafungwa maisha,mwingine mume yuko icu. Na kadhalika na kadhalika kwaiyo atulie ajipange upya kuondoka hakusaidii
Mwambie mwanamke hakatai mtoto.

Anaweza kumkataa Obama wa kesho akajifungia riziki mwenyewe.

Fahari ya Muafrika ukubwa wa familia.
 
Mchepuko.........asa kama mapenzi umeyagawa ni lini utachanganyikiwa na penzi la mume?
Nilitania tu
Sikuolewa bikra kweli
Kwani huyu Mama alikuwa bikra? Ukute nae alishatoka na waume za watu Sana tu
 
Ushauri mke wangu anataka kuondoka kisa nimezalia kwa mwanamke mwingine .Sasa tumebahatika kujenga kibanda na tuna duka sasa anataka tugawame.
Si gawana naye kila mtu aishi kivyake km mchepuko amekuwa na thamani kuliko mkeo? Kama hauna nia ya kuachana naye jishushe muelewane, jiroge uoe mchepuko hakuna rangi utaacha kuona maana njia ulizokuwa unatumia kumdanganya mkeo anazijua sasa oa afu ufanye kosa hata kuchelewa nusu saaa, gubu la hapo, kelele za umo ndani, utamkumbuka mkeo wa kwanza maana mchepuko naye lazima ataweka akilini kama ulikuwa na mke na ukawa naye lazima kuna mwingine uko naye nje....hakuna amani ni kushindana hump ndani
 
Back
Top Bottom