mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,057
- 41,992
Huwa nawaambia mabinti zangu, pamoja na kwamba wanawake sio watu wa kuwachukulia umakini sana katika kila jambo lakini haina maana kwamba kila ujinga ni wa kuwachekea.Mkuu kwa comment hii unaweza kumuolea mke wa pili kabla hajamaliza kufungasha virago.
Style ya Kanye West, kabla talaka haijakamilika ushatoka na model mpya mkali zaidi magazetini.
Ndoa ni zaidi ya kulalana kitandani, sio jambo la mzaha mzaha tu. Fikiria mkeo wa ndoa anakutishia eti "naondoka narudi nyumbani kwa wazazi wangu", mke wa ndoa anakuambia hivo na mdomo kauvuta ~ namwambia nenda lakini hakikisha unakaa na hao wazazi wako hadi nitakapokufuata [emoji16][emoji16]