Habari ndgu zangu,
Kijana wenu hapa nimekuja kuomba msaada kwenu.
Kwasasa sina mtaji hivyo nimeamua kuliko kukaa bure tu na kusubiri vya kupewa nimeona bora nijikite huko VIWANDANI.
Hivyo basi nimekuja hapa kuomba kujuzwa namna ya kupata hizo kazi, natakiwa kua na nini na nini ili nipate kibarua viwandani?? Pia niko vyema kiafya ya akili na mwili ndio maana naingia huko.
Naomba kujua ni viwanda gani vina ujira mzuri kuliko vingine.
Nipo Dar es salaam wakuu, karibuni kwa maoni.
Kijana wenu hapa nimekuja kuomba msaada kwenu.
Kwasasa sina mtaji hivyo nimeamua kuliko kukaa bure tu na kusubiri vya kupewa nimeona bora nijikite huko VIWANDANI.
Hivyo basi nimekuja hapa kuomba kujuzwa namna ya kupata hizo kazi, natakiwa kua na nini na nini ili nipate kibarua viwandani?? Pia niko vyema kiafya ya akili na mwili ndio maana naingia huko.
Naomba kujua ni viwanda gani vina ujira mzuri kuliko vingine.
Nipo Dar es salaam wakuu, karibuni kwa maoni.