Naombeni ushauri na muongozo wa kazi za viwandani

Naombeni ushauri na muongozo wa kazi za viwandani

Pale nenda na barua ya utambulisho , ukifika utamuona mrinzi nenda kuanzia Ahsubui ya Saamoja J.3 hadi ijumaa au saa kumi na mbili ya jioni.

Angalizo :- kazi Ni ngumu
Unaweza kulipwa elf 6 Lakini kazi yake. Ningumu Sana.

Nakuunga mkono, mi nimewahi kwenda kweny hiko kiwanda kuomba kazi, aise lile ni gereza huru, unaeza ukabeba hata viroba buku mwisho wa siku hujui unalipwa sh ngp, Mara utaskia Leo mgao elf NNE Mara elfu tatu.
Jaman vijana wezang jarbun hata biashara lkn sio kuomba kazi kiwanda kile utakufa siku c zako , usalama wa kazi ni mdogo sana vumbi ya ngano ile inapenya mpk kunako mapafu, kazi ngumu malipo ya kishenzi usalama wa afya zero, aisee hawa mawaziri wa viwanda cjui wanafany miaka nenda miaka rudi.
Mle kazi ngumu na malipo yenyee ni ya dhulma , serikali ifanye jambo kuhusu vibarua wa viwanda wananyanyasika sana.
 
Kwa Bakhressa kazi za vibarua zipo kila siku pale Buguruni , unapeleka Barua ya serikali za mtaa Unaingia. ,

Utofauti kaz za pale Ni ngumu Sana ndo watu wanahitaji kila siku hivyo nenda kajionee mwenyewe utatupa. Mrejesho.
Hayo malipo ya kazi ngumu kweli bakharesa analifahamu ilo,ama anapewa tu mirejesho ya mapato na matumizi
 
Back
Top Bottom