Naombeni ushauri na muongozo wa kazi za viwandani

 
Kwa Bakhressa kazi za vibarua zipo kila siku pale Buguruni , unapeleka Barua ya serikali za mtaa Unaingia. ,

Utofauti kaz za pale Ni ngumu Sana ndo watu wanahitaji kila siku hivyo nenda kajionee mwenyewe utatupa. Mrejesho.
Hayo malipo ya kazi ngumu kweli bakharesa analifahamu ilo,ama anapewa tu mirejesho ya mapato na matumizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…