Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
Daah hatariHabari ndugu zangu. Naombeni ushauri wenu juu ya mada tajwa.
Mzee wetu amefariki miezi 8 iliyopita baada ya maisha yake yote kuwa katika ndoa na mama yetu. Mama Sasa ana umri wa miaka 68. Kwa kipindi chote tangu sisi watoto wake tuanze kujitegemea tumekuwa tukijitahidi kuwawekea mazingira mazuri ya wazee wetu. Pamoja na kuwajengea nyu
Mfano kabira gani hiloNi rahisi sana kuchangia, na kushauri omba usikutane na kadhia ya mzazi asiye na busara mbele ya watotinwake, inaumiza sana, utaanza kufikiria toka mbali labda ili zee.lilikuwa linamuibia baba.siku nyingi, sasa kama kuoa kwa.nini.asiwe.resposible.kumbeba mke.wake kumpeleka kwake au kumpangishia.nyumba? Hata hivyo kuna.baadhi ya makabila mwanamke huwa hakubali kuzeeka
Hii kweli kabisaPole kwa changamoto ila kiuhalisia mama anahitaji mtu wa kumpa kampani
Tatizo ni kwamba huyo mzee anataka ahamie kwenu hili ndio linakupa ukakasi
Mama yako ndio anae olewa so ni vema akaenda kwa mumewe na sio yeye kumleta senior marioo hapo kwenye mji wa family yenu
Happy najua angelinda heshima ya mzee. Wangeondoka kwenye mji wa mzeepole mkuu sisi katika UISLAM mtoto wa kiume tunaruhusiwa hata kuozesha MAMAAKO
ni kweli kwa umri wake na ukizingatia mumewe amefariki muda si mrefu ilipaswa apumzike
lkn wewe inaonesha wasiwasi wako sio mama ni umasikini wa huyo mzee
nikuulize angetokea mtu mwenye pesa na kujiweza mwenye magari majumba na biashara zake je ungekubari aolewe ?
Maana hapo itabidi mumlee na nyie tena huyo babu watoto wake wapo wapi
Eee hapo sawaMama Kuolewa hilo huwezi kuzuia kama wengi wanavyo sema, ila kuolewa halafu aendelee kuishi na huyo mwanaume hapo nyumbani hilo linaleta ukakasi kwa kweli. Mwanaume aoe aende naye kwake na sio yeye ahamie hapo nyumbani hilo hapana.
Wazaramo wengi wao hawatak kuzeekamfano kabira gani hilo
Yaani me nakwambiajee kibabu kishaona mbalii hicho kashapanga karata zake,.akilamba dume tuu ameula,.lolAtaleta na wajukuu zake na ndugu zake kukaa hapo 🤣🤣
Sijataja na siwezi kutaja ila nimeshuhudia bint, mama, bibi wote wanagombania mabwana, bibi ukimwangalia umri.wake.huwezi kuamini kwamba anaweza kufikiria mambo hayo ila .....?mfano kabira gani hilo
Kwahiyo shamte wa mama diamond kamchukua mama diamond kwenye nyumba yake?Kuolewa ruhusa ila huyo mume asihamie kwenye hiyo nyumba ya familia yenu, bali wakaishi wote nyumbani kwa huyo mume
Nalifanyia kaziFanya juu chini kumzuia lakini ukishindwa kubali matokeo na endelea kuishi peace na bi mkubwa kama awali
Hilo huliwezi kama wewe ni muislamu. Mtume anasemaje katika hilo?...jibu liko hapo.Habari ndugu zangu. Naombeni ushauri wenu juu ya mada tajwa.
Mzee wetu amefariki miezi 8 iliyopita baada ya maisha yake yote kuwa katika ndoa na mama yetu. Mama Sasa ana umri wa miaka 68. Kwa kipindi chote tangu sisi watoto wake tuanze kujitegemea tumekuwa tukijitahidi kuwawekea mazingira mazuri ya wazee wetu. Pamoja na kuwajengea nyumba
Hivi ni kabira au Kabila??mfano kabira gani hilo
Wala siishi nyumbani, niko mbali na huko na nina maisha yangu.Qmmke acha kupangia mama ako mahusiano yake utapata laana bure.
Hama kwenu ukajenge kwako ule ni mji wake anauwezo wa kufanya anacho taka kwa akili zake timamu.