Naombeni ushauri: Nataka kumzuia mama yangu asiolewe tena baada ya baba kufariki

Naombeni ushauri: Nataka kumzuia mama yangu asiolewe tena baada ya baba kufariki

Kuolewa si vibaya tatizo kuishi hapo kwenye Nyumba ya mume wake wa kwanza
 
Sawa watoto ndo mmeboresha hali ya nyumbani, lakini huo umiliki wa mali za hapo nyumbani upo kwa Mama au mligawana watoto baada ya Mzee kufariki?, manake bi mkubwa asije pelekewa moto mpaka akajikuta anahamisha umiliki wa mali kwenda kwa Mzee mvamizi, binafsi hilo jambo la mvamizi kuingia boma alilokuwa anaingia Mzee wangu ni haiwezekani hata kwa dawa..
 
Yaan na huo uzee si ajikalie tu wamama wa kiswahili wanapenda dudu khaaa
Na kisa cha kujikalia tu kwamba? Huo umri its not about dudu tena, muache apate wa kufarijiana nae.
 
Wala siishi nyumbani, niko mbali na huko na nina maisha yangu.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Basi muache mama apunguziwe nyege na mzee mwenzake, ameona hataki kuzini ndo maana kamua aolewe mazima.

Ila ingependeza akahama toka nyumba ya mzee wenu ili akaanze maisha mapya na huyo baba ako mdogo kwa maana hatujazoea kitanzania mwanamke kuleta msela nyumba ya alie kufa

Ila ndo alikuwa mchepuko wake toka mzee wako yupo hai koo ameamua kuhalarisha tuuu
 
Habari ndugu zangu. Naombeni ushauri wenu juu ya mada tajwa.

Mzee wetu amefariki miezi 8 iliyopita baada ya maisha yake yote kuwa katika ndoa na mama yetu. Mama Sasa ana umri wa miaka 68. Kwa kipindi
Sasa bi mkubwa miaka 68 anaolewa ili iweje mbona umri aliobaki nao ni wa kupumzika sio wa kujitia stress tena za ndoa

Mwambie bi mkubwa atulie ale uzee kwa amani, miaka 68 kwa mwanamke kuolewa haingii akilini kabisa huyo mzee anatafuta kitonga
 
kuna mchanganyiko wa hisia hapo,lakini kikubwa ni utamaduni wetu wa kuona kifo na mapenzi ni vitu vya ajabu sana

tangu tunakuzwa tunaaminishwa mapenzi ni ujinga wakati ndio yanarun dunia

mwache mama aolewe,endelea kuwajibika kwa nafasi yako kwa mzazi wako mambo yake ya mapenzi mwachie yeye mwenyewe kama unapenda aendelee kuishi muda mrefu uendelee kuenjoy uwepo wake

watu huwa wanamuona diamond mjinga lakini katika suala la mama yake amefanya vizuri sana

kuliko kumuacha awe anatangatanga heri aolewe kama anahisi bado anao huo uwezo wa kuwajibikia ndoa,huyo mzee mwache aje hapo wewe endelea na kazi zako ukikumbuka amri ya nne ya Mungu
Aje ili iweje? Hajakatazwa kuoa, aoe ila ampeleke kwake. Hatutaki wazee miserereko hapa.

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Wakati watu wengine wakiendelea kukushauri...

Mimi najaribu tu kufikiri miezi 8 ya mwanamke wa miaka 68 kuondokewa na mume, tayari yupo kwenye harakati za kupata kifaa kipya 🤔🤔...

Miaka 68, miezi 8 ya ujane, kifaa kipya 😇😇...mmmh!!! hawa kama walikuwa hawakulani wakiwa vijana, usikute mzee wako kalazwa na wakulungwa ili watu waje kula pesa za watoto 🥴🥴
Ni kama zilipendwa vile maana sio rahisi kukubali Maisha na mtu ambae hukumzoea sio rahisi kwa muda mfupi hivyo
 
Duh, huyo mzee inaonekana ndio waleeee ganda la ndizi tangu ujana wake, afu' anajua sound kinoma kampigisha bi mkubwa kaingia line woiii... in short huyo babu ana mipango yake hapo...
Sound sio ya kitoto, hadi mama wa 68 kaingia kwenye mtego
 
Habari ndugu zangu. Naombeni ushauri wenu juu ya mada tajwa.

Mzee wetu amefariki miezi 8 iliyopita baada ya maisha yake yote kuwa katika ndoa na mama yetu. Mama Sasa ana umri wa miaka 68. Kwa kipindi chote tangu sisi watoto wake tuanze kujitegemea tumekuwa tukijitahidi kuwawekea mazingira mazuri ya wazee wetu. Pamoja na kuwajengea

At 68 no sex exist, Mama anataka comfort, mtoeni Kijijin kaeni naye Mjini hatoolewa!

Huwezi kumkataza kuolewa; Ni Haki yake; Ila sio busara Kwa kweli aolewe: atakufa mapema.
 
Hahaha..msesereko

Nimekumbuka tukio moja

Ova
Hawa wazee wa namna hii huwa hawana huruma, miezi nane anajiamini nini mpaka aoe mjane? More enough anataka akae kwa mwanamke?? Ukute ana watoto huyo mzee, huoni baadaye anaweza kuleta mambo ya kichawi na hata kukumbatia mali? Hajawaona wengine? Kwanza anapataje ujasiri wa kuoa mwanamke mwenye miaka 68?

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
kwa hiyo ni wazaramo km alivyosema hapo jamaa
Sisi wazaramo hatuna mambo hayo hiyo ni hulka ya mtu
ni kama kusema wahaya ni malaya
kisa maeneo kongwe ya madanguro wapo wao mpk kuitwa kwa wahaya
Naomba ku with draw my statement mkuu
Ila mie naishi mlandz mkuu naona haya mambo kila uchwao ni juzi tuu ndoa imefungwa ya wazee approximately 60's @
 
Habari ndugu zangu. Naombeni ushauri wenu juu ya mada tajwa.

Mzee wetu amefariki miezi 8 iliyopita baada ya maisha yake yote kuwa katika ndoa na mama yetu. Mama Sasa ana umri wa miaka 68. Kwa kipindi chote tangu sisi watoto wake tuanze kujitegemea tumekuwa tukijitahidi kuwawekea mazingira mazuri ya wazee wetu. Pamoja na kuwajengea nyumba yenye hadhi na ya kisasa lakini tumehakikisha wazee wetu wanaishi maisha standard kuanzia chakula na mahitaji yote kiasi kwamba familia ya
Baba yako angekuwa hai ungewatunza wote?
Kama jibu ni ndiyo basi haitakuwa mzigo kumlea mama na huyo mzee.
Huenda mama yenu ameamua kukubali kuishi na huyo mzee kwa sababu zifuatazo;
1. Anahitaji mtu wa kumpa company hasa ukichukulia hatari za usiku huko kijijini.
2. Kutokana na uzee mama yako ameona afanye kumpa msaada wa kibinadamu huyo mzee kwa maana ya malazi na makazi.
3. Huyo mzee alikuwa EX wa mama yako toka zamani kumbuka KIPORO HAKIHITAJI MOTO MKALI.
4. Huyo mzee ndio baba wa mmoja wenu au baba yenu halisi na mama yako anajua siri hiyo.

USHAURI.;
1. Tunza wazee wako
2. Usiingilie mapenzi ya wazazi wako.
 
Juzi ndugu zangu waliopo kijijni wamenitaarifu kwamba kajitokeza mzee anasema anataka kumuoa bi mkubwa. Nikauliza akishamuoa ataondokanae kwa maana bi mkubwa atahama mji tuliomjengea na mzee? Wakaniambia hapana inavyoonyesha huyu mzee kafuata maisha mseleleko
Just to confirm:
Kwahio bi mkubwa yeye keshakubali kuolewa na huyu mzee, right??! Je, ameshawataarifu nyinyi watoto wake kuhusu hili swala la ndoa?
 
Back
Top Bottom