Naombeni ushauri: Nataka kumzuia mama yangu asiolewe tena baada ya baba kufariki

Naombeni ushauri: Nataka kumzuia mama yangu asiolewe tena baada ya baba kufariki

Inaelekea mzee alianza kugonga muda mrefu na pia mafao mnayomtumia maza huwa anapata mgao. Si rahisi uchumba uanze baada ya kifo na wawe na guts za kutangaza ndoa.
 
Habari ndugu zangu. Naombeni ushauri wenu juu ya mada tajwa.

Mzee wetu amefariki miezi 8 iliyopita baada ya maisha yake yote kuwa katika ndoa na mama yetu. Mama Sasa ana umri wa miaka 68. Kwa kipindi chote tangu sisi watoto wake tuanze kujitegemea tumekuwa tukijitahidi kuwawekea mazingira mazuri ya wazee wetu. Pamoja na kuwajengea
Mwambie Mama atulie, miaka 68 siyo ya kuolewa, kama ana force akaishi kwa muoaji
 
Habari ndugu zangu. Naombeni ushauri wenu juu ya mada tajwa.

Mzee wetu amefariki miezi 8 iliyopita baada ya maisha yake yote kuwa katika ndoa na mama yetu. Mama Sasa ana umri wa miaka 68. Kwa kipindi chote tangu sisi watoto wake tuanze kujitegemea tumekuwa tukijitahidi kuwawekea mazingira mazuri ya wazee wetu. Pamoja na kuwajengea
Kwa umri wa Miaka 68 mama bado anataka Nini lakini sio tabia njema kabisa mie bibi yangu babu alikufa kamuacha kwenye miaka 50 hakutaka kabisa kuolewa coz tayar alikua na watoto wakubwa mpaka Leo yuko kwenye miaka 80 Wala hatukuwahi hata kusikia tetesi bibi anamwanaume mwingine
 
Baba yako angekuwa hai ungewatunza wote?
Kama jibu ni ndiyo basi haitakuwa mzigo kumlea mama na huyo mzee.
Huenda mama yenu ameamua kukubali kuishi na huyo mzee kwa sababu zifuatazo;
1. Anahitaji mtu wa kumpa company hasa ukichukulia hatari za usiku huko kijijini.
2. Kutokana na uzee mama yako ameona afanye kumpa msaada wa kibinadamu huyo mzee kwa maana ya malazi na makazi.
3. Huyo mzee alikuwa EX wa mama yako toka zamani kumbuka KIPORO HAKIHITAJI MOTO MKALI.
4. Huyo mzee ndio baba wa mmoja wenu au baba yenu halisi na mama yako anajua siri hiyo.

USHAURI.;
1. Tunza wazee wako
2. Usiingilie mapenzi ya wazazi wako.
Akisoma hii comment hasa hasa hiyo namba 4 lazima ataomba maji ya kunywa
 
Kwa umri wa Miaka 68 mama bado anataka Nini lakini sio tabia njema kabisa mie bibi yangu babu alikufa kamuacha kwenye miaka 50 hakutaka kabisa kuolewa coz tayar alikua na watoto wakubwa mpaka Leo yuko kwenye miaka 80 Wala hatukuwahi hata kusikia tetesi bibi anamwanaume mwingine
Kuna "silent killers" mkuu, wazee wa zamani walikuwa wataalamu wa kuchepuka na hauwezi hata kuhisi.
 
Habari ndugu zangu. Naombeni ushauri wenu juu ya mada tajwa.

Mzee wetu amefariki miezi 8 iliyopita baada ya maisha yake yote kuwa katika ndoa na mama yetu. Mama Sasa ana umri wa miaka 68. Kwa kipindi chote tangu sisi watoto wake tuanze kujitegemea tumekuwa tukijitahidi kuwawekea mazingira mazuri ya wazee wetu. Pamoja na kuwajengea nyumba yenye hadhi na ya kisasa lakini tumehakikisha wazee wetu wanaishi maisha standard kuanzia chakula na mahitaji yote kiasi kwamba familia ya mzee wetu imetazamwa kama familia yenye nafuu pale kijijini.

Juzi ndugu zangu waliopo kijijni wamenitaarifu kwamba kajitokeza mzee anasema anataka kumuoa bi mkubwa. Nikauliza akishamuoa ataondokanae kwa maana bi mkubwa atahama mji tuliomjengea na mzee? Wakaniambia hapana inavyoonyesha huyu mzee kafuata maisha mseleleko.

Binafsi nimejiuliza je ni sahihi mama alete mwanaume kwenye kitanda alicholala na mzee wetu? Je ni kweli nyumba tuliowajengea wazee wetu mama atumie kuishi na mzee mwingine? Alifanyalo mama sio kutufedhehesha sisi watoto tunaohakikisha anapatiwa chochote akitakacho?

Uamuzi wangu nimepanga kuvuruga mpango wa bi mkubwa. Nataka nimwite nimuombe nije niishi nae mjini kwa maisha yake yote ili nizuie mipango yake na akikataa nimepanga sitomuhudumia chochote maana Mimi ndie mwanawe mpendwa.
Je ndugu uamuzi wangu huu nitakuwa namkosea mama yangu? Au nimwachie tu ahangaike na maisha yake? Kinachoumiza mzee muoaji mwenyewe kachoka mno hata ndala anazovaa ukute zina matundu nusu anagusa ardhi nusu malapa. Naona kama bi mkubwa atatuongezea mzigo wa kuangalia watu wawili kwa maana akibaki mwenyewe inakuwa rahisi hata kumchukua wakati wowote. Ushauri wenu






Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Ushauri wako ni mzuri wa kukataa kumhudumia akiwa na huyo baba ako wa kambo.
Lakini muulize mama yako kwa nini anataka kuolewa.
Then muulize kama bado anafanya mapenzi, inawezekana huyo baba ako kisha mla sana hadi sasa wanataka kuoana. Usimnyime haki yale ambayo huwezi kumpa. Mkumbuke Graca Machel na Mandela walioana wakiwa watu wazima sana.
Wewe endelea kumhudumia mama yako na huyo baba ako mwache amkaze mama yako, mama yako amepata mkunaji wa vipele, je una dada wa kumhudumia mama yako, kama huna mwache huyo man amhudumie.
Hiyo amount ya pesa usione ni shida kumpa mama yako.
Acha wivu inawezekana huyo baba naye kafiwa na mke lazima wasaidiane mambo ya sirini ambayo watoto hamwezi
 
Baba yako angekuwa hai ungewatunza wote?
Kama jibu ni ndiyo basi haitakuwa mzigo kumlea mama na huyo mzee.
Huenda mama yenu ameamua kukubali kuishi na huyo mzee kwa sababu zifuatazo;
1. Anahitaji mtu wa kumpa company hasa ukichukulia hatari za usiku huko kijijini.
2. Kutokana na uzee mama yako ameona afanye kumpa msaada wa kibinadamu huyo mzee kwa maana ya malazi na makazi.
3. Huyo mzee alikuwa EX wa mama yako toka zamani kumbuka KIPORO HAKIHITAJI MOTO MKALI.
4. Huyo mzee ndio baba wa mmoja wenu au baba yenu halisi na mama yako anajua siri hiyo.

USHAURI.;
1. Tunza wazee wako
2. Usiingilie mapenzi ya wazazi wako.
Wewe ni phaler nini? Baada ya kushauri vitu vya msingi unashauri upuuzi. Au wewe ni mtoto wa huyo mzee? Hajakatazwa kuolewa, aolewe ila huyo mzee amchukue akaishi naye kwake, sio anamuoa anang'ang'ania kubanana naye kwenye nyumba ya marehemu. Hatutaki mazee ganda la ndizi hapa.

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni phaler nini? Baada ya kushauri vitu vya msingi unashauri upuuzi. Au wewe ni mtoto wa huyo mzee? Hajakatazwa kuolewa, aolewe ila huyo mzee amchukue akaishi naye kwake, sio anamuoa anang'ang'ania kubanana naye kwenye nyumba ya marehemu. Hatutaki mazee ganda la ndizi hapa.

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Upuuzi nilioshauri ni upi hapo?
Nimeshauri mambo mawili tu.
1. Tunza wazee wako
2. Usiingilie mapenzi ya wazee wako.
Hebu tuambie upuuzi ni upi hapo.
 
Back
Top Bottom