Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 🤣Senior marioo in action [emoji23][emoji23]
Mwambie Mama atulie, miaka 68 siyo ya kuolewa, kama ana force akaishi kwa muoajiHabari ndugu zangu. Naombeni ushauri wenu juu ya mada tajwa.
Mzee wetu amefariki miezi 8 iliyopita baada ya maisha yake yote kuwa katika ndoa na mama yetu. Mama Sasa ana umri wa miaka 68. Kwa kipindi chote tangu sisi watoto wake tuanze kujitegemea tumekuwa tukijitahidi kuwawekea mazingira mazuri ya wazee wetu. Pamoja na kuwajengea
Na ndio biological father wa mtoa madaInaelekea mzee alianza kugonga muda mrefu na pia mafao mnayomtumia huwa anapata mgao. Si rahisi uchumba uanze baada ya kifo na wawe na guts za kutangaza ndoa.
Kwa umri wa Miaka 68 mama bado anataka Nini lakini sio tabia njema kabisa mie bibi yangu babu alikufa kamuacha kwenye miaka 50 hakutaka kabisa kuolewa coz tayar alikua na watoto wakubwa mpaka Leo yuko kwenye miaka 80 Wala hatukuwahi hata kusikia tetesi bibi anamwanaume mwingineHabari ndugu zangu. Naombeni ushauri wenu juu ya mada tajwa.
Mzee wetu amefariki miezi 8 iliyopita baada ya maisha yake yote kuwa katika ndoa na mama yetu. Mama Sasa ana umri wa miaka 68. Kwa kipindi chote tangu sisi watoto wake tuanze kujitegemea tumekuwa tukijitahidi kuwawekea mazingira mazuri ya wazee wetu. Pamoja na kuwajengea
Haijalishi Ni biological father au chemical fatherNa ndio biological father wa mtoa mada
Akisoma hii comment hasa hasa hiyo namba 4 lazima ataomba maji ya kunywaBaba yako angekuwa hai ungewatunza wote?
Kama jibu ni ndiyo basi haitakuwa mzigo kumlea mama na huyo mzee.
Huenda mama yenu ameamua kukubali kuishi na huyo mzee kwa sababu zifuatazo;
1. Anahitaji mtu wa kumpa company hasa ukichukulia hatari za usiku huko kijijini.
2. Kutokana na uzee mama yako ameona afanye kumpa msaada wa kibinadamu huyo mzee kwa maana ya malazi na makazi.
3. Huyo mzee alikuwa EX wa mama yako toka zamani kumbuka KIPORO HAKIHITAJI MOTO MKALI.
4. Huyo mzee ndio baba wa mmoja wenu au baba yenu halisi na mama yako anajua siri hiyo.
USHAURI.;
1. Tunza wazee wako
2. Usiingilie mapenzi ya wazazi wako.
Hata Physical father unasukumilia mbali...Haijalishi Ni biological father au chemical father
Mimi ningefukuzilia mbali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna "silent killers" mkuu, wazee wa zamani walikuwa wataalamu wa kuchepuka na hauwezi hata kuhisi.Kwa umri wa Miaka 68 mama bado anataka Nini lakini sio tabia njema kabisa mie bibi yangu babu alikufa kamuacha kwenye miaka 50 hakutaka kabisa kuolewa coz tayar alikua na watoto wakubwa mpaka Leo yuko kwenye miaka 80 Wala hatukuwahi hata kusikia tetesi bibi anamwanaume mwingine
Ushauri wako ni mzuri wa kukataa kumhudumia akiwa na huyo baba ako wa kambo.Habari ndugu zangu. Naombeni ushauri wenu juu ya mada tajwa.
Mzee wetu amefariki miezi 8 iliyopita baada ya maisha yake yote kuwa katika ndoa na mama yetu. Mama Sasa ana umri wa miaka 68. Kwa kipindi chote tangu sisi watoto wake tuanze kujitegemea tumekuwa tukijitahidi kuwawekea mazingira mazuri ya wazee wetu. Pamoja na kuwajengea nyumba yenye hadhi na ya kisasa lakini tumehakikisha wazee wetu wanaishi maisha standard kuanzia chakula na mahitaji yote kiasi kwamba familia ya mzee wetu imetazamwa kama familia yenye nafuu pale kijijini.
Juzi ndugu zangu waliopo kijijni wamenitaarifu kwamba kajitokeza mzee anasema anataka kumuoa bi mkubwa. Nikauliza akishamuoa ataondokanae kwa maana bi mkubwa atahama mji tuliomjengea na mzee? Wakaniambia hapana inavyoonyesha huyu mzee kafuata maisha mseleleko.
Binafsi nimejiuliza je ni sahihi mama alete mwanaume kwenye kitanda alicholala na mzee wetu? Je ni kweli nyumba tuliowajengea wazee wetu mama atumie kuishi na mzee mwingine? Alifanyalo mama sio kutufedhehesha sisi watoto tunaohakikisha anapatiwa chochote akitakacho?
Uamuzi wangu nimepanga kuvuruga mpango wa bi mkubwa. Nataka nimwite nimuombe nije niishi nae mjini kwa maisha yake yote ili nizuie mipango yake na akikataa nimepanga sitomuhudumia chochote maana Mimi ndie mwanawe mpendwa.
Je ndugu uamuzi wangu huu nitakuwa namkosea mama yangu? Au nimwachie tu ahangaike na maisha yake? Kinachoumiza mzee muoaji mwenyewe kachoka mno hata ndala anazovaa ukute zina matundu nusu anagusa ardhi nusu malapa. Naona kama bi mkubwa atatuongezea mzigo wa kuangalia watu wawili kwa maana akibaki mwenyewe inakuwa rahisi hata kumchukua wakati wowote. Ushauri wenu
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Wewe ni phaler nini? Baada ya kushauri vitu vya msingi unashauri upuuzi. Au wewe ni mtoto wa huyo mzee? Hajakatazwa kuolewa, aolewe ila huyo mzee amchukue akaishi naye kwake, sio anamuoa anang'ang'ania kubanana naye kwenye nyumba ya marehemu. Hatutaki mazee ganda la ndizi hapa.Baba yako angekuwa hai ungewatunza wote?
Kama jibu ni ndiyo basi haitakuwa mzigo kumlea mama na huyo mzee.
Huenda mama yenu ameamua kukubali kuishi na huyo mzee kwa sababu zifuatazo;
1. Anahitaji mtu wa kumpa company hasa ukichukulia hatari za usiku huko kijijini.
2. Kutokana na uzee mama yako ameona afanye kumpa msaada wa kibinadamu huyo mzee kwa maana ya malazi na makazi.
3. Huyo mzee alikuwa EX wa mama yako toka zamani kumbuka KIPORO HAKIHITAJI MOTO MKALI.
4. Huyo mzee ndio baba wa mmoja wenu au baba yenu halisi na mama yako anajua siri hiyo.
USHAURI.;
1. Tunza wazee wako
2. Usiingilie mapenzi ya wazazi wako.
Haiwezekani mtu kanilea miaka yote halafu nije kuambiwa sio mzee wangu aiseee!Hata Physical father unasukumilia mbali...
Hakuna kitu kama hicho.Je ukiambiwa huyo mzee ndio baba yako mzazi na alikuwa mchepuko wa bi mkubwa tangu ujana
Ndio maana yake, #KataaWazeeMisererekoMwambie Mama atulie, miaka 68 siyo ya kuolewa, kama ana force akaishi kwa muoaji
Safi kabisa, hatuwezi kuchekea chekea vitabia vya kipuuzi kama hivi.Haijalishi Ni biological father au chemical father
Mimi ningefukuzilia mbali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Upuuzi nilioshauri ni upi hapo?Wewe ni phaler nini? Baada ya kushauri vitu vya msingi unashauri upuuzi. Au wewe ni mtoto wa huyo mzee? Hajakatazwa kuolewa, aolewe ila huyo mzee amchukue akaishi naye kwake, sio anamuoa anang'ang'ania kubanana naye kwenye nyumba ya marehemu. Hatutaki mazee ganda la ndizi hapa.
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app