Naombeni ushauri: Nataka kumzuia mama yangu asiolewe tena baada ya baba kufariki

Naombeni ushauri: Nataka kumzuia mama yangu asiolewe tena baada ya baba kufariki

Hilo huliwezi kama wewe ni muislamu. Mtume anasemaje katika hilo?...jibu liko hapo.

Kama ni Mkristo, mwambie point blank kuwa kuolewa baada ya baba kufa ni umalaya! Haimpi heshima. Mwambie waziwazi!
Atampa laana
 
Pole kwa changamoto ila kiuhalisia mama anahitaji mtu wa kumpa kampani
Tatizo ni kwamba huyo mzee anataka ahamie kwenu hili ndio linakupa ukakasi
Mama yako ndio anae olewa so ni vema akaenda kwa mumewe na sio yeye kumleta senior marioo hapo kwenye mji wa family yenu
Umechambua vyema ila hujamshauri
Kipi kifanyike sasa?
 
Habari ndugu zangu. Naombeni ushauri wenu juu ya mada tajwa.

Mzee wetu amefariki miezi 8 iliyopita baada ya maisha yake yote kuwa katika ndoa na mama yetu. Mama Sasa ana umri wa miaka 68. Kwa kipindi chote tangu sisi watoto wake tuanze kujitegemea tumekuwa tukijitahidi kuwawekea mazingira mazuri ya wazee wetu. Pamoja na kuwajengea nyumba yenye hadhi na ya kisasa lakini tumehakikisha wazee wetu wanaishi maisha standard kuanzia chakula na mahitaji yote kiasi kwamba familia ya mzee wetu imetazamwa kama familia yenye nafuu pale kijijini.

Juzi ndugu zangu waliopo kijijni wamenitaarifu kwamba kajitokeza mzee anasema anataka kumuoa bi mkubwa. Nikauliza akishamuoa ataondokanae kwa maana bi mkubwa atahama mji tuliomjengea na mzee? Wakaniambia hapana inavyoonyesha huyu mzee kafuata maisha mseleleko.

Binafsi nimejiuliza je ni sahihi mama alete mwanaume kwenye kitanda alicholala na mzee wetu? Je ni kweli nyumba tuliowajengea wazee wetu mama atumie kuishi na mzee mwingine? Alifanyalo mama sio kutufedhehesha sisi watoto tunaohakikisha anapatiwa chochote akitakacho?

Uamuzi wangu nimepanga kuvuruga mpango wa bi mkubwa. Nataka nimwite nimuombe nije niishi nae mjini kwa maisha yake yote ili nizuie mipango yake na akikataa nimepanga sitomuhudumia chochote maana Mimi ndie mwanawe mpendwa.
Je ndugu uamuzi wangu huu nitakuwa namkosea mama yangu? Au nimwachie tu ahangaike na maisha yake? Kinachoumiza mzee muoaji mwenyewe kachoka mno hata ndala anazovaa ukute zina matundu nusu anagusa ardhi nusu malapa. Naona kama bi mkubwa atatuongezea mzigo wa kuangalia watu wawili kwa maana akibaki mwenyewe inakuwa rahisi hata kumchukua wakati wowote. Ushauri wenu






Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Mama yako ana kiu ya ngono, utamsaidia wewe? Au utamleta kwako na huyo mpenzi wako waishi hapo?
 
Happy najua angelinda heshima ya mzee. Wangeondoka kwenye mji wa mzee

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
basi wewe km mtoto wa kiume uwe mkavu na mkasi katika kusimamia hilo hata majirani na ndugu watakusuport

aolewe lakini asikae hapo shikilia msimamo huo zaidi tafuta watu wazima kuanza kufikisha hoja yako kwa mama

pamoja na yote ni mamaako hivyo chunga kauri zako utakapoamua kufikisha hilo swala
huyo ni mamaako na zaidi ameshakuwa mtu mzima sana na amefiwa na mumewe
hvyo CHUNGA KAURI zako
 
Habari ndugu zangu. Naombeni ushauri wenu juu ya mada tajwa.

Mzee wetu amefariki miezi 8 iliyopita baada ya maisha yake yote kuwa katika ndoa na mama yetu. Mama Sasa ana umri wa miaka 68. Kwa kipindi chote tangu sisi watoto wake tuanze kujitegemea tumekuwa tukijitahidi kuwawekea mazingira mazuri ya wazee wetu. Pamoja na kuwajengea nyumba yenye hadhi na ya kisasa lakini tumehakikisha wazee wetu wanaishi maisha standard kuanzia chakula na mahitaji yote kiasi kwamba familia ya mzee wetu imetazamwa kama familia yenye nafuu pale kijijini.

Juzi ndugu zangu waliopo kijijni wamenitaarifu kwamba kajitokeza mzee anasema anataka kumuoa bi mkubwa. Nikauliza akishamuoa ataondokanae kwa maana bi mkubwa atahama mji tuliomjengea na mzee? Wakaniambia hapana inavyoonyesha huyu mzee kafuata maisha mseleleko.

Binafsi nimejiuliza je ni sahihi mama alete mwanaume kwenye kitanda alicholala na mzee wetu? Je ni kweli nyumba tuliowajengea wazee wetu mama atumie kuishi na mzee mwingine? Alifanyalo mama sio kutufedhehesha sisi watoto tunaohakikisha anapatiwa chochote akitakacho?

Uamuzi wangu nimepanga kuvuruga mpango wa bi mkubwa. Nataka nimwite nimuombe nije niishi nae mjini kwa maisha yake yote ili nizuie mipango yake na akikataa nimepanga sitomuhudumia chochote maana Mimi ndie mwanawe mpendwa.
Je ndugu uamuzi wangu huu nitakuwa namkosea mama yangu? Au nimwachie tu ahangaike na maisha yake? Kinachoumiza mzee muoaji mwenyewe kachoka mno hata ndala anazovaa ukute zina matundu nusu anagusa ardhi nusu malapa. Naona kama bi mkubwa atatuongezea mzigo wa kuangalia watu wawili kwa maana akibaki mwenyewe inakuwa rahisi hata kumchukua wakati wowote. Ushauri wenu






Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Yaani usikubali upuuzi wa mama yako. Hapo komaa hamna cha ndoa hapa wala nini...bibi wa miaka 68 anaolewa ili iwaje? Mchane live kabisa bila kupepesa macho
 
Habari ndugu zangu. Naombeni ushauri wenu juu ya mada tajwa.

Mzee wetu amefariki miezi 8 iliyopita baada ya maisha yake yote kuwa katika ndoa na mama yetu. Mama Sasa ana umri wa miaka 68. Kwa kipindi chote tangu sisi watoto wake tuanze kujitegemea tumekuwa tukijitahidi kuwawekea mazingira mazuri ya wazee wetu. Pamoja na kuwajengea nyumba yenye hadhi na ya kisasa lakini tumehakikisha wazee wetu wanaishi maisha standard kuanzia chakula na mahitaji yote kiasi kwamba familia ya mzee wetu imetazamwa kama familia yenye nafuu pale kijijini.

Juzi ndugu zangu waliopo kijijni wamenitaarifu kwamba kajitokeza mzee anasema anataka kumuoa bi mkubwa. Nikauliza akishamuoa ataondokanae kwa maana bi mkubwa atahama mji tuliomjengea na mzee? Wakaniambia hapana inavyoonyesha huyu mzee kafuata maisha mseleleko.

Binafsi nimejiuliza je ni sahihi mama alete mwanaume kwenye kitanda alicholala na mzee wetu? Je ni kweli nyumba tuliowajengea wazee wetu mama atumie kuishi na mzee mwingine? Alifanyalo mama sio kutufedhehesha sisi watoto tunaohakikisha anapatiwa chochote akitakacho?

Uamuzi wangu nimepanga kuvuruga mpango wa bi mkubwa. Nataka nimwite nimuombe nije niishi nae mjini kwa maisha yake yote ili nizuie mipango yake na akikataa nimepanga sitomuhudumia chochote maana Mimi ndie mwanawe mpendwa.
Je ndugu uamuzi wangu huu nitakuwa namkosea mama yangu? Au nimwachie tu ahangaike na maisha yake? Kinachoumiza mzee muoaji mwenyewe kachoka mno hata ndala anazovaa ukute zina matundu nusu anagusa ardhi nusu malapa. Naona kama bi mkubwa atatuongezea mzigo wa kuangalia watu wawili kwa maana akibaki mwenyewe inakuwa rahisi hata kumchukua wakati wowote. Ushauri wenu






Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Umewaza vizuri sana kweli wewe ni mwanaume wa kweli kbsa nashauri mpigie simu ajue unajua jambo na mwambie sitakubali hilo jambo. Kuna vizee vina ndumba hatari nashauri ebu dodosa usikute alikuwa anamkula mama hata wakati baba yenu yupo hai
 
Wakati watu wengine wakiendelea kukushauri...

Mimi najaribu tu kufikiri miezi 8 ya mwanamke wa miaka 68 kuondokewa na mume, tayari yupo kwenye harakati za kupata kifaa kipya 🤔🤔...

Miaka 68, miezi 8 ya ujane, kifaa kipya 😇😇...mmmh!!! hawa kama walikuwa hawakulani wakiwa vijana, usikute mzee wako kalazwa na wakulungwa ili watu waje kula pesa za watoto 🥴🥴
 
Sijataja na siwezi kutaja ila nimeshuhudia bint, mama, bibi wote wanagombania mabwana, bibi ukimwangalia umri.wake.huwezi kuamini kwamba anaweza kufikiria mambo hayo ila .....?


Wazaramo wengi wao hawatak kuzeeka


kwa hiyo ni wazaramo km alivyosema hapo jamaa
Sisi wazaramo hatuna mambo hayo hiyo ni hulka ya mtu
ni kama kusema wahaya ni malaya
kisa maeneo kongwe ya madanguro wapo wao mpk kuitwa kwa wahaya
 
Mleta hoja naomba nikujibu kwa misingi hii


1. Kidini : Ni dhahiri kuwa dini hairuhusu sisi kumuaswi Mungu
2. Ndoa : Ndoa maana yake mume anamtolea mahari mke na kumuoa kisha kumhudumia kwa maana mume ajue majukumu yake juu ya mke.


Sasa basi
Huyu mume hana sifa za kumuoa huyu mama unless waoane kisha amtoe kwenye mji wake
 
kuna mchanganyiko wa hisia hapo,lakini kikubwa ni utamaduni wetu wa kuona kifo na mapenzi ni vitu vya ajabu sana

tangu tunakuzwa tunaaminishwa mapenzi ni ujinga wakati ndio yanarun dunia

mwache mama aolewe,endelea kuwajibika kwa nafasi yako kwa mzazi wako mambo yake ya mapenzi mwachie yeye mwenyewe kama unapenda aendelee kuishi muda mrefu uendelee kuenjoy uwepo wake

watu huwa wanamuona diamond mjinga lakini katika suala la mama yake amefanya vizuri sana

kuliko kumuacha awe anatangatanga heri aolewe kama anahisi bado anao huo uwezo wa kuwajibikia ndoa,huyo mzee mwache aje hapo wewe endelea na kazi zako ukikumbuka amri ya nne ya Mungu
 
Back
Top Bottom