hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Nimestaajabu pia [emoji21]Miezi 8 mother anavuta jiko duuh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimestaajabu pia [emoji21]Miezi 8 mother anavuta jiko duuh
Nimestaajabu pia [emoji21]Miezi 8 mother anavuta jiko duuh
Imagine [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Yaan na huo uzee si ajikalie tu wamama wa kiswahili wanapenda dudu khaaa
Imagine [emoji16] [emoji16]68 anaolewa iweje tena
Mama yako ni mfano wa kuigwa. Baba yako alipata mke haswa! Yaani alibahatika kupata wife material mwenyewe(kama vijana wa sasa wanavyosema). Heko kwake!Mama yako hana heshima hata kidogo, mzee vile kweli? Mmewe hata hajaoza kashawaza kuolewa? Hapana usikubali hayo mambo kama anataka kuolewa aende kwa huyo mzee na sio mzee aje kwenu.
Ukute mzee alikuwa anakulagaaa toka kitambo haiwezi kuwa ghafla hivi aiseee... Wapo wamama wabichi kabisa age ya 35 hivi huwaga inapita hata miaka kabla ya kuweka wazi wenza wao wapya yani huyu mama khaaa ananipa wasiwasiBinafsi naona miezi 8 baada ya mzee kufariki ni michache sana. Angesubiri hata miaka 2. Pili huyo mzee kuishi kwa mama sio kabisa kwa mtazamo wangu. Mzee angejipanga awe na mji wake ndio amvute mama yenu. Siwezi hudumia huyo mdingi asilani. Ni haki yake mama kuwa na mahusiano maana mnampa vinono na vinamchangamsha. La msingi azingatie hayo
Kweli mkuu,kadhia yamzazi asiyejiheshimu inaumiza moyo Sana,nashukuru nashukuru mamayangu mzazi sio MTU wahovyo,nikweli kuna makibila Akina mama hawakubali kuzeeka,wanahitaji company mwanzo mwishoNi rahisi sana kuchangia, na kushauri omba usikutane na kadhia ya mzazi asiye na busara mbele ya watotinwake, inaumiza sana, utaanza kufikiria toka mbali labda ili zee.lilikuwa linamuibia baba.
Siku nyingi, sasa kama kuoa kwa.nini.asiwe.resposible.kumbeba mke.wake kumpeleka kwake au kumpangishia.nyumba? Hata hivyo kuna.baadhi ya makabila mwanamke huwa hakubali kuzeeka
Duu mie maza ni wa 58 baba akafariki 12 so maza akiwa na 54 Ila sijawahi sikia Mambo Kama hayo.namie ndo nakomaa na maza nimemfanyia Kama ulivyomfanyia kumtunza Ila haiwezekani Kama anachepuka achepuke ni mwili wake68 anaolewa iweje tena
Shida yako baada ya kifo cha baba yenu unachukulia mama yenu ameshakuwa Malaika hana hisia tena za kibinadamu.Habari ndugu zangu. Naombeni ushauri wenu juu ya mada tajwa.
Mzee wetu amefariki miezi 8 iliyopita baada ya maisha yake yote kuwa katika ndoa na mama yetu. Mama Sasa ana umri wa miaka 68. Kwa kipindi
Bro hujasema nyie ni dini gani,ushauri wangu hebu nenda kadhauriane na viongozi wa dini yenu utapata ufumbuzi mzuri sanaHabari ndugu zangu. Naombeni ushauri wenu juu ya mada tajwa.
Mzee wetu amefariki miezi 8 iliyopita baada ya maisha yake yote kuwa katika ndoa na mama yetu. Mama Sasa ana umri wa miaka 68. Kwa kipindi chote tangu sisi watoto wake tuanze kujitegemea tumekuwa tukijitahidi kuwawekea mazingira mazuri ya wazee wetu.
Pamoja na kuwajengea nyumba yenye hadhi na ya kisasa lakini tumehakikisha wazee wetu wanaishi maisha standard kuanzia chakula na mahitaji yote kiasi kwamba familia ya mzee wetu imetazamwa kama familia yenye nafuu pale kijijini.
Juzi ndugu zangu waliopo kijijni wamenitaarifu kwamba kajitokeza mzee anasema anataka kumuoa bi mkubwa. Nikauliza akishamuoa ataondokanae kwa maana bi mkubwa atahama mji tuliomjengea na mzee? Wakaniambia hapana inavyoonyesha huyu mzee kafuata maisha mseleleko.
Binafsi nimejiuliza je ni sahihi mama alete mwanaume kwenye kitanda alicholala na mzee wetu? Je ni kweli nyumba tuliowajengea wazee wetu mama atumie kuishi na mzee mwingine? Alifanyalo mama sio kutufedhehesha sisi watoto tunaohakikisha anapatiwa chochote akitakacho?
Uamuzi wangu nimepanga kuvuruga mpango wa bi mkubwa. Nataka nimwite nimuombe nije niishi nae mjini kwa maisha yake yote ili nizuie mipango yake na akikataa nimepanga sitomuhudumia chochote maana Mimi ndie mwanawe mpendwa.
Je, ndugu uamuzi wangu huu nitakuwa namkosea mama yangu? Au nimwachie tu ahangaike na maisha yake? Kinachoumiza mzee muoaji mwenyewe kachoka mno hata ndala anazovaa ukute zina matundu nusu anagusa ardhi nusu malapa.
Naona kama bi mkubwa atatuongezea mzigo wa kuangalia watu wawili kwa maana akibaki mwenyewe inakuwa rahisi hata kumchukua wakati wowote. Ushauri wenu
Ndugu zetu wa kiislam ndiyo mifumo Yao Mama ata akiwa na watoto wakubwa na wajukuu bado atataka kuolewa na kuolewa mara nyingi nyingi wao Wana penda na kuachika mara nyingi napo Wana pendaKha! kuna vya dini tena hapo?
Hili siyo la dini ni pendekezo la mtu binafsi. Nitakupa mfano wa wazungu wakristo kama Elizabeth Taylor aliolewa mara 8 mpaka amezeeka bado anaendelea kuolewa. Mwingine ni Zsa Zsa Gabor naye aliolewa kama mara 8 au tisa. Mifano hiyo ni kwa vile wao walikuwa waigizaji maarufu lakini naamini wako wengi ambao siyo maarufu wanaendelea na maisha yao ya kuolewa na kuachika.Ndugu zetu wa kiislam ndiyo mifumo Yao Mama ata akiwa na watoto wakubwa na wajukuu bado atataka kuolewa na kuolewa mara nyingi nyingi wao Wana penda na kuachika mara nyingi napo Wana penda
Sent using Jamii Forums mobile app