Habari za wakati huu,
Waswahili husema penye wengi pana mengi.
Naombeni mnisaidie katika hili ndugu zangu, Hapa nilipo sina kazi wala hata mtaji wa kufanya chochote sina, napambana lakini naona hali bado si nzuri, kinacho nipa mawazo ni kwamba nina mdogo wangu wa kidato cha nne bado hajaripoti shule mpaka sasa kwa kukosa karo, Na kumpeleka shule ya serikali ni ngumu mnoo tofauti na wanafunzi wa primary wanaoweza toka private wakarudi serikalini.
Ada ni 800k kwa mwaka yaani 200k per term plus baadhi ya michango ya form four kama laki moja na kadhaa hivi lakini imeshindikana! Yaani mpaka najiona nna msongo wa mawazo sana na Shule hawataki kumpokea na mambo ya usajili nahisi yapo njiani. Tumeshirikisha ndugu lakini hatuja fanikiwa,
Naombeni mnisaidie mwenye chochote walau ushauri yaani sioni pa kuanzia aisee!
Natanguliza shukrani zangu.
Waswahili husema penye wengi pana mengi.
Naombeni mnisaidie katika hili ndugu zangu, Hapa nilipo sina kazi wala hata mtaji wa kufanya chochote sina, napambana lakini naona hali bado si nzuri, kinacho nipa mawazo ni kwamba nina mdogo wangu wa kidato cha nne bado hajaripoti shule mpaka sasa kwa kukosa karo, Na kumpeleka shule ya serikali ni ngumu mnoo tofauti na wanafunzi wa primary wanaoweza toka private wakarudi serikalini.
Ada ni 800k kwa mwaka yaani 200k per term plus baadhi ya michango ya form four kama laki moja na kadhaa hivi lakini imeshindikana! Yaani mpaka najiona nna msongo wa mawazo sana na Shule hawataki kumpokea na mambo ya usajili nahisi yapo njiani. Tumeshirikisha ndugu lakini hatuja fanikiwa,
Naombeni mnisaidie mwenye chochote walau ushauri yaani sioni pa kuanzia aisee!
Natanguliza shukrani zangu.