Naombeni ushauri ndugu zangu, seriously kabisa. Kuna sauti kila siku haiishi kuniambia kuwa mke niliye nae sio!

Niko vema tu, majaaliwa yoyote lazima familia ifaidike.
 
Nimepokea
 
Usijekuwa unanyemelewa na Schizophrenia mkuu, hilo lisauti linalopaza ndani yako kiasi cha kukuvuruga hivyo si hali ya kawaida! Kuna watu wamefanya maamuzi ya ajabu kwa sababu ya sauti kama hizo!
Sawa kiongozi
 
Kila kitu kipo ( mfano sauti unayosikia ) na kina sababu ya chenyewe kuwepo hapo kilipo ( unapoisikia kwenye masikio yako ). Fanya haya hakika yataksaidia kujua nakuelewa kila unachosikia. Tafuta Diary na uwe unaweka rekodi kama za wagonjwa au mgojwa pili aendapo kutibiwa. Mfano utakaposikia hiyo sauti rekodi siku na tarehe na saa pia uliyoisiki, na pembeni yake pia weka rekodi ya huo muda uliposikia hiyo sauti mke alikuwa katika mazingra gani... ni jambo dogo nalakijinga ila madaktari ndio wamefaulu katika kutibu wagonjwa sugu na matatizo yao
 
Unataka nini zaidi Mungu kakupa kipawa kikubwa na hio sauti ukiipuza utakufa soon, chukua hatua sauti haipuzwi
 
Muache kabla hamjaongeza watoto zaidi
 
Bora upate mwanamke dizain hii kuliko upate yule mkimya atakupiga matukio mpaka uchanganyikiwe kabisa
 
Hiyo sauti si ya Mungu maana Mungu hataki watu waachane hasa sababu ikiwa si ya uzinzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…