To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣🤣🤣Na ni watakatifu wote cuteila wewe 🤣🤣 wanaume wa humu jf hawana izo tabia😌😌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣Na ni watakatifu wote cuteila wewe 🤣🤣 wanaume wa humu jf hawana izo tabia😌😌
We jamaa mtoto ana miezi miwili tu, mmeshaanza kufanya tendo? Una harakishia wapi? Mpe muda mama apumzike.mimi nikijana nina amri wa miaka 26 nimeona na nimejaliwa kupata mtoto wa kike ila ninatatizo Fulani ambalo linanitatiza kipindi naoa mke wangu kuna siku kulitokea misunderstanding Kati yangu na mke wangu mwenzangu kwa Asira akanilinganisha na ex wake kwa kumsifia ex wake kuwa yupo vizuri kitandani kuliko mimi
Kwa bahati nzuri tukaombana msamaha ila kiukweli ya pita sasa mwaka mmoja na nusu bado neno ilo lipo kichwani mwangu lina nipa stress kuna mda najikuta namchukia sana mke wangu na wakati mwingine tukiwa tunafanya tendo la Ndoa nikikumbuka neno lile hapo hapo mzee analala kuna mda natamani ni mfukuze kabisa ila nikicheki binti yangu wa miezi Miwili najikuta nashindwa kuchukuwa maamuzi magumu
Nashindwa kujua nitaondokanaje na hali hii naombeni ushauri
Nikutie mimba ngapi kisha nisepe 😑Sawa Mkuu,karibu
Idadi utakayo mkuu😋Nikutie mimba ngapi kisha nisepe 😑
Angesema vipi na maneno yameshamtokaAlikosea sanaaa kusema ivo,maneno hua yanaishi hatakama hakumaanisha.
Mi naamini wapo ni kutuliza akili tu kiongozi.Bikra kwa Sasa utampata wapi Mkuu,watu wananyegeka mpaka kwa midoli!
Timu ya mpira unaweza 😑Idadi utakayo mkuu😋
🤣🤣🤣Watake radhi tafadhali🤣🤣🤣🤣🤣Na ni watakatifu wote cute
Ndiyo maana mi huwa sitaki kusikia neno samahani..ni unafkiAlikosea sanaaa kusema ivo,maneno hua yanaishi hatakama hakumaanisha.
Aingie bush huko machakani na fuko la pesa akawaokoteMi naamini wapo ni kutuliza akili tu kiongozi.
Doooh,huko mbali Sana mkuu... wawili tuTimu ya mpira unaweza 😑
Hapo sasa ni mzee aamue mwenyewe,,kupokea au kupuuzaAngesema vipi na maneno yameshamtoka
🤣Bora nifeðŸ¤ðŸ¤£ðŸ¤£ðŸ¤£Watake radhi tafadhali
Yah huko nahisi huwezi kosa bikraAingie bush huko machakani na fuko la pesa akawaokote
tena usiombe ukutane na yule anaomba msamaha kwa kulia,,wale ndo wanafiki pro maxNdiyo maana mi huwa sitaki kusikia neno samahani..ni unafki
Alifanya kosa kubwa saaaana, huwezi kumuambia mumeo hicho kitu. Ni kukosa adabu, ni usaliti pia.. maana unamfananishaje mumeo kabisa baba watoto na mtu mwingine?? Hana akili!mimi nikijana nina amri wa miaka 26 nimeona na nimejaliwa kupata mtoto wa kike ila ninatatizo Fulani ambalo linanitatiza kipindi naoa mke wangu kuna siku kulitokea misunderstanding Kati yangu na mke wangu mwenzangu kwa Asira akanilinganisha na ex wake kwa kumsifia ex wake kuwa yupo vizuri kitandani kuliko mimi
Kwa bahati nzuri tukaombana msamaha ila kiukweli ya pita sasa mwaka mmoja na nusu bado neno ilo lipo kichwani mwangu lina nipa stress kuna mda najikuta namchukia sana mke wangu na wakati mwingine tukiwa tunafanya tendo la Ndoa nikikumbuka neno lile hapo hapo mzee analala kuna mda natamani ni mfukuze kabisa ila nikicheki binti yangu wa miezi Miwili najikuta nashindwa kuchukuwa maamuzi magumu
Nashindwa kujua nitaondokanaje na hali hii naombeni ushauri
Sana sana... ogopatena usiombe ukutane na yule anaomba msamaha kwa kulia,,wale ndo wanafiki pro max