Naombeni ushauri ndugu zangu

Naombeni ushauri ndugu zangu

mimi nikijana nina amri wa miaka 26 nimeona na nimejaliwa kupata mtoto wa kike ila ninatatizo Fulani ambalo linanitatiza kipindi naoa mke wangu kuna siku kulitokea misunderstanding Kati yangu na mke wangu mwenzangu kwa Asira akanilinganisha na ex wake kwa kumsifia ex wake kuwa yupo vizuri kitandani kuliko mimi

Kwa bahati nzuri tukaombana msamaha ila kiukweli ya pita sasa mwaka mmoja na nusu bado neno ilo lipo kichwani mwangu lina nipa stress kuna mda najikuta namchukia sana mke wangu na wakati mwingine tukiwa tunafanya tendo la Ndoa nikikumbuka neno lile hapo hapo mzee analala kuna mda natamani ni mfukuze kabisa ila nikicheki binti yangu wa miezi Miwili najikuta nashindwa kuchukuwa maamuzi magumu
Nashindwa kujua nitaondokanaje na hali hii naombeni ushauri
We jamaa mtoto ana miezi miwili tu, mmeshaanza kufanya tendo? Una harakishia wapi? Mpe muda mama apumzike.
 
Hana adabu
Pili inaonekana kweli unauwezo mdogo ndîo maana dongo limekupata.

Tatu, anaonekana bado anammiss Ex wake au Anampenda kukuliko wewe

Nne, anajua Huwezi kufanya lolote. Kwa Watu kama Sisi mwanamke akiongea hivyo tunamuacha Mapema sana
 
Pole. Sana jamaa haya mambo ni magumu kweli, vumilia usitishike maneno na wewe siku moja piga kudru one kwamba alieongea, aliongelewa wote safari
 
mimi nikijana nina amri wa miaka 26 nimeona na nimejaliwa kupata mtoto wa kike ila ninatatizo Fulani ambalo linanitatiza kipindi naoa mke wangu kuna siku kulitokea misunderstanding Kati yangu na mke wangu mwenzangu kwa Asira akanilinganisha na ex wake kwa kumsifia ex wake kuwa yupo vizuri kitandani kuliko mimi

Kwa bahati nzuri tukaombana msamaha ila kiukweli ya pita sasa mwaka mmoja na nusu bado neno ilo lipo kichwani mwangu lina nipa stress kuna mda najikuta namchukia sana mke wangu na wakati mwingine tukiwa tunafanya tendo la Ndoa nikikumbuka neno lile hapo hapo mzee analala kuna mda natamani ni mfukuze kabisa ila nikicheki binti yangu wa miezi Miwili najikuta nashindwa kuchukuwa maamuzi magumu
Nashindwa kujua nitaondokanaje na hali hii naombeni ushauri
Alifanya kosa kubwa saaaana, huwezi kumuambia mumeo hicho kitu. Ni kukosa adabu, ni usaliti pia.. maana unamfananishaje mumeo kabisa baba watoto na mtu mwingine?? Hana akili!
 
Back
Top Bottom