Naombeni ushauri ndugu zangu

Naombeni ushauri ndugu zangu

Ni kawaida hiyo kwani kutokuwa bora kitandani kwa kulinganishwa na mtu mwingine inakupunguzia nini?unahisi inaondoa hadhi ya uanaume wako? Hapana si kweli kwani binadamu tumetofautiana hivyo wakati mwingine yatupasa kukubali mapungufu yetu. Ilimradi unamkojoza mambo mengine achana nayo, yawezekana aliongea ili akuumize na wewe umeumia kweli tena Sana.

Sasa ushauri wangu ni huu kaa na mkeo mueleze jinsi maneno yake yalivyokuumiza kiasi kwamba mpaka Leo umeshindwa kuyasahau. Lazima atajitetea kuwa aliongea kutokana na hasira lakini maneno yale hayakuwa na ukweli wowote. Hii itakujenga kisaikolojia na kurudisha hali yako ya zamani juu yake.

Naimani hata wewe Kuna binti wa watu hujamsahau mpaka leo jinsi alivyokuwa na k mnato na viuno vya kimakonde zaidi ya mkeo wa sasa na huu ndiyo uhalisia wa maisha.
Hii umeiweka vizuri sana mkuu!
 
Hivi unaanzaje kuunda mdomo, koromeo na ulimi kutamka maneno hayo kwa dear husband?? Mtu unayetakiwa kumsifia anajua.. mwenzetu ameshamvuruga. Hatuna cha kumsaidia
Yaan anamwambia kabisa kidude hakina maajabu unanipapasa tu na kunipaka majasho wakati ex wangu kuyege lilikua kinafit mpaka linabananishwa kwa ndani we unaniletea kubamia
 
Ni kawaida hiyo kwani kutokuwa bora kitandani kwa kulinganishwa na mtu mwingine inakupunguzia nini?unahisi inaondoa hadhi ya uanaume wako? Hapana si kweli kwani binadamu tumetofautiana hivyo wakati mwingine yatupasa kukubali mapungufu yetu. Ilimradi unamkojoza mambo mengine achana nayo, yawezekana aliongea ili akuumize na wewe umeumia kweli tena Sana.

Sasa ushauri wangu ni huu kaa na mkeo mueleze jinsi maneno yake yalivyokuumiza kiasi kwamba mpaka Leo umeshindwa kuyasahau. Lazima atajitetea kuwa aliongea kutokana na hasira lakini maneno yale hayakuwa na ukweli wowote. Hii itakujenga kisaikolojia na kurudisha hali yako ya zamani juu yake.

Naimani hata wewe Kuna binti wa watu hujamsahau mpaka leo jinsi alivyokuwa na k mnato na viuno vya kimakonde zaidi ya mkeo wa sasa na huu ndiyo uhalisia wa maisha.
Anamwambia ana kubamia hata kumoyomoyo hapo ndani kwa ndani anajisemea siku akukutana na ex anampa kila aluchonacho
 
mimi nikijana nina amri wa miaka 26 nimeona na nimejaliwa kupata mtoto wa kike ila ninatatizo Fulani ambalo linanitatiza kipindi naoa mke wangu kuna siku kulitokea misunderstanding Kati yangu na mke wangu mwenzangu kwa Asira akanilinganisha na ex wake kwa kumsifia ex wake kuwa yupo vizuri kitandani kuliko mimi

Kwa bahati nzuri tukaombana msamaha ila kiukweli ya pita sasa mwaka mmoja na nusu bado neno ilo lipo kichwani mwangu lina nipa stress kuna mda najikuta namchukia sana mke wangu na wakati mwingine tukiwa tunafanya tendo la Ndoa nikikumbuka neno lile hapo hapo mzee analala kuna mda natamani ni mfukuze kabisa ila nikicheki binti yangu wa miezi Miwili najikuta nashindwa kuchukuwa maamuzi magumu
Nashindwa kujua nitaondokanaje na hali hii naombeni ushauri
Nenda Kwa mwana saikolojia
 
Ushauri sina ila kwa kusoma hapa nimekumbuka mtu mzima mmoja aliwahi kusema...katika ugomvi, jitahidi sana, omba neema kutoka kwa Mungu ya kuweza kukaa kimya. Mara nyingi ugomvi kama ugomvi sio rahisi kuvunja ndoa ama mahusiano, MANENO yanayotamkwa hapo ndo kisanga. Maneno yanaishi. Neno hata ulitamkiwa miaka 10 nyuma, na ulikua mdogo, very likely unalikumbuka. Maneno, maneno, maneno. Ulimi ni kiungo kidogo sana, ila kina maafa kuliko ile mitambo ya nyuklia huko Israel....
 
Duh..mwenzetu kavuruga sana. Haya mambo unakufa nayo rohoni. Ilibidi atengeneze ndoa yake mpaka hana wa kumzidi mume wake, wengine wote aone walikuwa wanampaka shombo
Unaonekana unajitambua
 
Tunasema umu kila siku kama mwanamke sio bikra usio na ukikaidi ukaoa jua unaoa mke wa mtu ila hawataki kutusikia matokeo yake ndo kama aya mnaambia ukweli mnaona mnadhalilishwa🤣
Matumizi ya akili ni madogo sana
 
Matumizi ya akili ni madogo sana
Cc ambao tumeoa bikra wake zetu ata tukigusagusa wameridhik coz anajua ndo show wenyewe.

japo saiv changamoto ni kwa hawa wanawake wanaokuja mitandao kujisifia wanakojozwa wanatupa wakati mgumu wa kuwaelewesha wenza wetu kwamba ni waogo 🤣🤣🤣
 
Cc ambao tumeoa bikra wake zetu ata tukigusagusa wameridhik coz anajua ndo show wenyewe.

japo saiv changamoto ni kwa hawa wanawake wanaokuja mitandao kujisifia wanakojozwa wanatupa wakati mgumu wa kuwaelewesha wenza wetu kwamba ni waogo 🤣
Ila kuoa bikra raha sana, maana hana wa kukuringanisha nae kwa kila kitu
 
mimi nikijana nina amri wa miaka 26 nimeona na nimejaliwa kupata mtoto wa kike ila ninatatizo Fulani ambalo linanitatiza kipindi naoa mke wangu kuna siku kulitokea misunderstanding Kati yangu na mke wangu mwenzangu kwa Asira akanilinganisha na ex wake kwa kumsifia ex wake kuwa yupo vizuri kitandani kuliko mimi

Kwa bahati nzuri tukaombana msamaha ila kiukweli ya pita sasa mwaka mmoja na nusu bado neno ilo lipo kichwani mwangu lina nipa stress kuna mda najikuta namchukia sana mke wangu na wakati mwingine tukiwa tunafanya tendo la Ndoa nikikumbuka neno lile hapo hapo mzee analala kuna mda natamani ni mfukuze kabisa ila nikicheki binti yangu wa miezi Miwili najikuta nashindwa kuchukuwa maamuzi magumu
Nashindwa kujua nitaondokanaje na hali hii naombeni ushauri
Mke huyo hakufai achana nae, mtoto utaendelea kumhudumia akiwa na mamake.
 
mimi nikijana nina amri wa miaka 26 nimeona na nimejaliwa kupata mtoto wa kike ila ninatatizo Fulani ambalo linanitatiza kipindi naoa mke wangu kuna siku kulitokea misunderstanding Kati yangu na mke wangu mwenzangu kwa Asira akanilinganisha na ex wake kwa kumsifia ex wake kuwa yupo vizuri kitandani kuliko mimi

Kwa bahati nzuri tukaombana msamaha ila kiukweli ya pita sasa mwaka mmoja na nusu bado neno ilo lipo kichwani mwangu lina nipa stress kuna mda najikuta namchukia sana mke wangu na wakati mwingine tukiwa tunafanya tendo la Ndoa nikikumbuka neno lile hapo hapo mzee analala kuna mda natamani ni mfukuze kabisa ila nikicheki binti yangu wa miezi Miwili najikuta nashindwa kuchukuwa maamuzi magumu
Nashindwa kujua nitaondokanaje na hali hii naombeni ushauri
Baada tu ya kukulinganisha na huyo X wake, wewe ulifanya makosa mawili:-

1. Kutomtimua ili aende kwa huyo zwazwa wake anayeendelea kumla ingawa ni mkeo.
2. Rejea kosa namba moja hapo juu
 
mimi nikijana nina amri wa miaka 26 nimeona na nimejaliwa kupata mtoto wa kike ila ninatatizo Fulani ambalo linanitatiza kipindi naoa mke wangu kuna siku kulitokea misunderstanding Kati yangu na mke wangu mwenzangu kwa Asira akanilinganisha na ex wake kwa kumsifia ex wake kuwa yupo vizuri kitandani kuliko mimi

Kwa bahati nzuri tukaombana msamaha ila kiukweli ya pita sasa mwaka mmoja na nusu bado neno ilo lipo kichwani mwangu lina nipa stress kuna mda najikuta namchukia sana mke wangu na wakati mwingine tukiwa tunafanya tendo la Ndoa nikikumbuka neno lile hapo hapo mzee analala kuna mda natamani ni mfukuze kabisa ila nikicheki binti yangu wa miezi Miwili najikuta nashindwa kuchukuwa maamuzi magumu
Nashindwa kujua nitaondokanaje na hali hii naombeni ushauri
we muongo tu mtoto wa miezi miwili huku unashiriki tendo na mkeo? Acha kutunga hbr za uongo na hapo ulipo mke huna kenge wewe
 
Back
Top Bottom