MACHONDELA
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 940
- 1,573
Kwanini iwe VoltzVoltz
Tena mtoa mada chukua voltz ya dark blueKwanini iwe Voltz
Purple au pink inapendeza zaidiTena mtoa mada chukua voltz ya dark blue
Voltz cc 1790, Runx cc 1490.Bei pia ni tofauti.Runx unaweza pata kwa m 12 ,Voltz m 14 kupanda juu.Voltz
Mtoa mada hela kwake sio shida.Voltz cc 1790, Runx cc 1490.Bei pia ni tofauti.Runx unaweza pata kwa m 12 ,Voltz m 14 kupanda juu.
Tena mtoa mada chukua voltz ya dark blue
ahsante kaka,nipo hapa mjini but mkoani ndo home so huwa naenda piaKama ni mtu wa mjini tuu hapa Runx inafaa zaidi, ila kama hiyo gari utakua unatimba nayo kila sehemu, shamba, mikoani au sehemu barabara si nzuri bora VOLZ maana ni kama mid-suv flani hivi
ha ha ela shida ila kwenye ili la gari ela sio shida,issue aina tuMtoa mada hela kwake sio shida.
nikuulize kwanza unataka gari ya economic fuel au unachagua tuNawasalimu wakuu,nimefanikiwa kujichanga na kupata kakiasi fulani,bado niko na sintofaham,nichukue ipi kati ya hizo mbili.
NB:NAHITAJ USHAURI WA NICHUKUE IPI KATI YA HIZO NA SIO MARA JENGA NYUMBA SIJUI FUNGUA BIASHARA.HOJA IWE GARI IPI.
Mkuu nakuomba uwe mshauri wangu kwenye maswala ya starehe na Kula bata.Anywe tu bia. Unaweza ukajenga halafu ukaja upanuzi wa barabara ikala kwako. Kuna mjinga mmoja alinunua mabati, yakamkata, akapata tetanus, AKAFA.
Mkuu tafuta starlet bei chee..ni economic wise...
Then iliyobaki tia kwenye mikeka ya betting na nyingine kanywe bia na mabahari
betting mbona nasulubu sana muhindi mimiMkuu tafuta starlet bei chee..ni economic wise...
Then iliyobaki tia kwenye mikeka ya betting na nyingine kanywe bia na mabahari