Naombeni ushauri ninakufa njaa mwenzenu

Naombeni ushauri ninakufa njaa mwenzenu

hii pia ni possible, inawezekana ameambiwa akuwekee sumu kwenye chapati.
Hivi haujawahi kuiba mume wa mtu wewe? (ukidanganya nitajua, nimechukua shahada yangu ya ulawyer zimbabwe yunivasity)
nilishawai mmoja tu ila sikuiba aliniambia mkewealifariki kwa ajali siku nyingi .nikamwambia nionyeshe kaburi ili tupate baraka zake za mwisho akaniambia alifia marekani akazikwa hukohuko , baada ya muda ndo nikaujua ukweli kumbe tupo mtaa mmoja na huyo wife wake bwana hata usinikumbushe
 
Si ndio nashangaa smile anamuogopea nini? yaani rijali zima inakuwaje? inaanzaje anzaje? , watu wanakwenda hijja saudia wewe unakwenda hijja mkahawani kumuangalia smile amemaliza chapati ngapi? nyambaaf zake. Hapa lawyer nimeongea kwa hasira sana
Lawyer jaribu kupunguza hasira ili mbavu zangu zibaki salama lol, hija mgahawani???
 
nilishawai mmoja tu ila sikuiba aliniambia mkewealifariki kwa ajali siku nyingi .nikamwambia nionyeshe kaburi ili tupate baraka zake za mwisho akaniambia alifia marekani akazikwa hukohuko , baada ya muda ndo nikaujua ukweli kumbe tupo mtaa mmoja na huyo wife wake bwana hata usinikumbushe
Owwwkey! Dah! hakyanani smile wakikuuwa nitakumiss, wallahi tena
 
hawa wanogopana, sasa ukitaka kujua kila mmoja hayuko sirias... organize jamaa siku moja aingie pale na kitu kikali, ndipo utajua smile hayuko sirias.... atacha woga wala makida-makida
Hahaha!

Ataangusha sahani ya mgahawani..
 
hahahahahahahaha, haya sharobaro gani mvuja jasho hadi unatuloweshea screen zetu.

Jasho langu nikilipiga mnada E bay linaweza likagonga dola mia nane.Sisi Maselebriti kila kitu chetu ni dili.
 
naona huyu jamaa katumwa naenda kutoa taarifa polisi
ananitishia kifo
Tena katika madai yako andika pia jamaa akulipe hela za chapati zako ambazo ulizibakisha kwa kumuogopa yeye.
Usvumilie kabisa unyanyasaji wa ki diet wa namna hii.
 
tena katika madai yako andika pia jamaa akulipe hela za chapati zako ambazo ulizibakisha kwa kumuogopa yeye.
Usvumilie kabisa unyanyasaji wa ki diet wa namna hii.
sio chapati tu je vipapatio na vidari vya bata? Kweli umenifumbua macho.nimeamini wewe ni lawyer wa ukweli
 
huo mgahawa nakula kila siku kwa sababu bill inalipwa na ofisi my dear,nimebadili time table sana tu lakini mambo ni yale yale nikikaa tu nayeye anatokeza

kwa mazingira hayo inaonekana mnawindana sasa uwe unachukua take way.. au uwe nanibip nikuletee huko ofisi
 
Back
Top Bottom