Naombeni ushauri wa Biashara ya vitenge kutoka Zambia

Naombeni ushauri wa Biashara ya vitenge kutoka Zambia

Kuna siku nilikuwa natoka Sumbawanga kwenda Dar, kufika Tunduma wakapakia mzigo wa hivyo vitenge kufika vwawa TRA na Rand rover wakaipiga bus mkono wakaanza kukaguwa boot wavitowa vitenge mwenye mzigo haonekani, wakashusha mzigo sisi tukaendelea na safari.

Kwa kifupi TRA hawakai ofisini humo mipakani wanapiga doria ya mizigo ya magendo.

Sasa biashara ya magendo siyo.
Upo sahihi ofisini wanakaa na kikosi cha fast track kipo doria vitenge dakika yeyote unapoteza hela huyo mwenye Vitenge alikuwepo aliona wacha wavichukue atawafata baadae kuliko kuanza kumkamata na yeye atoe hela harafu aje atoe hela ya mzigo tena..
 
Habari wakuu,

Nataka kuanza kufanya hii biashara ya vitenge kutoka zambia, kuna jamaa anaifanya biashara hii aliniambia ina faida yeye alianza na mtaji wa 1.5m mpaka sasa mtaji umefikia 8m na ana miezi 9 kwenye game, aliniambia nitafute mtaji then anipe connection ila toka nimwambie mtaji nishapata hanipi ushirikiano kabisa na simu hapokei kwa sasa.

Wateja nishatafuta nimewapata, ombi langu kama kuna mtu ashaifanya hii biashara anipe abc kuanzia issue za tra na mengine, nawaza niende mwenyewe zambia nikafanye research kwanza ila nikaona sio mbaya kuwashirikisha wanajukwaa naweza kupata ushauri wowote mzuri. Mtanisamehe kwa uandishi m'bovu.Thanks in advance.
Umtafute chama kabla msimu wa ligi kuu kuanza atakupa full details atakuunganisha na watu wake we unapokea tu mzigo tunduma
 
Mkuu pale TV zipo nyingi 55 inch zinauzwa usd 200 na kuendelea ingawaje zipo za pungufu ya hapo kutokana na model yake hizo ni Sumsung..
Huwa sielewi kwa nini nchi zinazotuzunguka bidhaa bei ziko chini? Kwetu tatizo ni nini?

Maana hata Uganda bei kitonga shida ipo Mtukula.
 
Pole sana bwana yohimbe..[emoji1][emoji1]
Ndio wabongo walio wengi walivyo,roho za kwanini na za kichawi, ndio mana maskin ni wengi , na matajir wachache,
Actually nilishakumbwa na kadhia kama hio, dogo ni tajiri kweli kweli mpakani kule , ila ndio akaingia mitini
 
Pole sana bwana yohimbe..[emoji1][emoji1]
Ndio wabongo walio wengi walivyo,roho za kwanini na za kichawi, ndio mana maskin ni wengi , na matajir wachache,
Actually nilishakumbwa na kadhia kama hio, dogo ni tajiri kweli kweli mpakani kule , ila ndio akaingia mitini
Ahsante mkuu, pole pia.
 
Kwanza aliniambia niende mjini nikatafute wateja then aongee nao ila nisiwambie kama mzigo unatoka zambia niwadanganye hata mbeya au sehemu yoyote ile ili wasije kufata wenyewe zambia basi nikafanya hivyo nikaenda duka la kwanza nikajieleza jamaa kasema haina shida ila nimuoneshe sample ikabidi nimpigie jamaa akaniambia mpe simu nikampa wakaongea mteja akataka kutumiwa sample jamaa akamtumia through whatsapp basi mteja akavipenda akasema yupo tayari kuchukua 1000pcs kila week.

Nikaenda kwenye duka la pili nikafanya hivyo hivyo mteja akasema atachukua 500pcs kila week basi jamaa akasema hao wateja wawili wanatosha kwa kuanzia mimi nikaondoka, ila toka siku hiyo nikimcheki chenga nyingi inaonekana kanizunguka wale wateja kachukua yeye.
Ulifanya kosa kubwa sana hapa mkuu..
Wema wako umekuponza, biashara inatakiwa mkubaliane na mfaidike wote wawili, ungempa conditions zako, ungemuambia akutumie hizo sample wewe , ndio wewe kwa muda wako ungewatafuta wateja ukiwapata na wakipenda sample, unamwambia pisi kdhaa zinaitajika mkubaliane kabisaa mwanzon, tuma mzigo nakutumia hela au unaenda kufata mwenyewe na pesa, vyovyote vile ungefanya, alimrad tu mpate faida wote, ila kwa wabongo wa saiv asilimia 10 tu anawwza kukuonesha anapochukulia mzigo au akakupa mzigo uuze kwwa wteja wako umpe hela yake na hapo kwenye kuuza ukaweka cha juu upate faida..unatakiwa kucheza na akili za watu wapumbavu wenye tabia hio ya kibinafsi
 
Ulifanya kosa kubwa sana hapa mkuu..
Wema wako umekuponza, biashara inatakiwa mkubaliane na mfaidike wote wawili, ungempa conditions zako, ungemuambia akutumie hizo sample wewe , ndio wewe kwa muda wako ungewatafuta wateja ukiwapata na wakipenda sample, unamwambia pisi kdhaa zinaitajika mkubaliane kabisaa mwanzon, tuma mzigo nakutumia hela au unaenda kufata mwenyewe na pesa, vyovyote vile ungefanya, alimrad tu mpate faida wote, ila kwa wabongo wa saiv asilimia 10 tu anawwza kukuonesha anapochukulia mzigo au akakupa mzigo uuze kwwa wteja wako umpe hela yake na hapo kwenye kuuza ukaweka cha juu upate faida..unatakiwa kucheza na akili za watu wapumbavu wenye tabia hio ya kibinafsi
Yule jamaa ana roho mbaya tuu kwanza hajawahi kuniambia anachukulia wapi huko zambia bado hataki niende alitaka awe ananiagizia yeye, kingine aliniambia nitafute wateja yeye ndio aongee nao so nilifanya basi tuu lakini nilikua nishajua ni mtu wa namna gani.
 
Kuna siku nilikuwa natoka Sumbawanga kwenda Dar, kufika Tunduma wakapakia mzigo wa hivyo vitenge kufika vwawa TRA na Rand rover wakaipiga bus mkono wakaanza kukaguwa boot wavitowa vitenge mwenye mzigo haonekani, wakashusha mzigo sisi tukaendelea na safari.

Kwa kifupi TRA hawakai ofisini humo mipakani wanapiga doria ya mizigo ya magendo.

Sasa biashara ya magendo siyo.
Aisee ni noma.
 
Huwa sielewi kwa nini nchi zinazotuzunguka bidhaa bei ziko chini? Kwetu tatizo ni nini?

Maana hata Uganda bei kitonga shida ipo Mtukula.
Sisi tuna kodi kubwa bidhaa zinatoka sehemu moja kwa hiyo Nchi yetu ina kodi kubwa sana hata magari Uganda yapo bei ndogo pamoja na Parts zake zipo Nchi bidhaa za watoto chini ya miaka minne hawatozi kodi kwa hiyo wanauza bei ndogo sana na hii 18% VAT ni kubwa kulinganisha na hizo Nchi..
 
Hakuna biashara tamu kama za magendo ila kikubwa ni kuroga na kuwa mbabe tu na mwisho pesa iwepo mkononi
 
Back
Top Bottom