Ulifanya kosa kubwa sana hapa mkuu..
Wema wako umekuponza, biashara inatakiwa mkubaliane na mfaidike wote wawili, ungempa conditions zako, ungemuambia akutumie hizo sample wewe , ndio wewe kwa muda wako ungewatafuta wateja ukiwapata na wakipenda sample, unamwambia pisi kdhaa zinaitajika mkubaliane kabisaa mwanzon, tuma mzigo nakutumia hela au unaenda kufata mwenyewe na pesa, vyovyote vile ungefanya, alimrad tu mpate faida wote, ila kwa wabongo wa saiv asilimia 10 tu anawwza kukuonesha anapochukulia mzigo au akakupa mzigo uuze kwwa wteja wako umpe hela yake na hapo kwenye kuuza ukaweka cha juu upate faida..unatakiwa kucheza na akili za watu wapumbavu wenye tabia hio ya kibinafsi