Naombeni ushauri wa Biashara ya vitenge kutoka Zambia

Naombeni ushauri wa Biashara ya vitenge kutoka Zambia

Kwanza aliniambia niende mjini nikatafute wateja then aongee nao ila nisiwambie kama mzigo unatoka zambia niwadanganye hata mbeya au sehemu yoyote ile ili wasije kufata wenyewe zambia basi nikafanya hivyo nikaenda duka la kwanza nikajieleza jamaa kasema haina shida ila nimuoneshe sample ikabidi nimpigie jamaa akaniambia mpe simu nikampa wakaongea mteja akataka kutumiwa sample jamaa akamtumia through whatsapp basi mteja akavipenda akasema yupo tayari kuchukua 1000pcs kila week.

Nikaenda kwenye duka la pili nikafanya hivyo hivyo mteja akasema atachukua 500pcs kila week basi jamaa akasema hao wateja wawili wanatosha kwa kuanzia mimi nikaondoka, ila toka siku hiyo nikimcheki chenga nyingi inaonekana kanizunguka wale wateja kachukua yeye.
😀😀 wateja wako mkoa gani?
Huyo atakua amekuzunguka kama ulimpa namba za wateja
Ila mkuu pisi elf 1000 si mchezo ata mtaji wake mnene
Sio 1.5M kama unavosema

Ila mkuu hivo vitenge ukifuata zambia kimagendo unacheza pata potea,watu wengi wamepotza mitaji
Maana ukidakwa mzigo wote wanachukua wale jamaa
Na ukisema ufanye kihali faida hakuna

Kwa sasa vitenge vya kushona a.k,a java au tereza au mwendokasi ni 6500 pisi moja
Ishu ni kuvusha mzigo
 
Kwanza aliniambia niende mjini nikatafute wateja then aongee nao ila nisiwambie kama mzigo unatoka zambia niwadanganye hata mbeya au sehemu yoyote ile ili wasije kufata wenyewe zambia basi nikafanya hivyo nikaenda duka la kwanza nikajieleza jamaa kasema haina shida ila nimuoneshe sample ikabidi nimpigie jamaa akaniambia mpe simu nikampa wakaongea mteja akataka kutumiwa sample jamaa akamtumia through whatsapp basi mteja akavipenda akasema yupo tayari kuchukua 1000pcs kila week.

Nikaenda kwenye duka la pili nikafanya hivyo hivyo mteja akasema atachukua 500pcs kila week basi jamaa akasema hao wateja wawili wanatosha kwa kuanzia mimi nikaondoka, ila toka siku hiyo nikimcheki chenga nyingi inaonekana kanizunguka wale wateja kachukua yeye.
😀😀 wateja wako mkoa gani?
Huyo atakua amekuzunguka kama ulimpa namba za wateja
Ila mkuu pisi elf 1000 si mchezo ata mtaji wake mnene
Sio 1.5M kama unavosema

Ila mkuu hivo vitenge ukifuata zambia kimagendo unacheza pata potea,watu wengi wamepotza mitaji
Maana ukidakwa mzigo wote wanachukua wale jamaa
Na ukisema ufanye kihali faida hakuna

Kwa sasa vitenge vya kushona a.k,a java au tereza au mwendokasi ni 6500 pisi moja
Ishu ni kuvusha mzigo
 
Kwanza aliniambia niende mjini nikatafute wateja then aongee nao ila nisiwambie kama mzigo unatoka zambia niwadanganye hata mbeya au sehemu yoyote ile ili wasije kufata wenyewe zambia basi nikafanya hivyo nikaenda duka la kwanza nikajieleza jamaa kasema haina shida ila nimuoneshe sample ikabidi nimpigie jamaa akaniambia mpe simu nikampa wakaongea mteja akataka kutumiwa sample jamaa akamtumia through whatsapp basi mteja akavipenda akasema yupo tayari kuchukua 1000pcs kila week.

Nikaenda kwenye duka la pili nikafanya hivyo hivyo mteja akasema atachukua 500pcs kila week basi jamaa akasema hao wateja wawili wanatosha kwa kuanzia mimi nikaondoka, ila toka siku hiyo nikimcheki chenga nyingi inaonekana kanizunguka wale wateja kachukua yeye.
😀😀 wateja wako mkoa gani?
Huyo atakua amcekuzunguka kama ulimpa namba za wateja
Ila mkuu pisi elf 1000 si mchezo ata mtaji wake mnene
Sio 1.5M kama unavosema

Ila mkuu hivo vitenge ukifuata zambia kimagendo unacheza pata potea,watu wengi wamepotza mitaji
Maana ukidakwa mzigo wote wanachukua wale jamaa
Na ukisema ufanye kihali faida hakuna

Kwa sasa vitenge vya kushona a.k,a java au tereza au mwendokasi ni 6500 pisi moja
Ishu ni kuvusha mzigo
 
😀😀 wateja wako mkoa gani?
Huyo atakua amcekuzunguka kama ulimpa namba za wateja
Ila mkuu pisi elf 1000 si mchezo ata mtaji wake mnene
Sio 1.5M kama unavosema

Ila mkuu hivo vitenge ukifuata zambia kimagendo unacheza pata potea,watu wengi wamepotza mitaji
Maana ukidakwa mzigo wote wanachukua wale jamaa
Na ukisema ufanye kihali faida hakuna

Kwa sasa vitenge vya kushona a.k,a java au tereza au mwendokasi ni 6500 pisi moja
Ishu ni kuvusha mzigo
Sas kwanin watu wasilipe kodi wauze kwa amani?
 
Sas kwanin watu wasilipe kodi wauze kwa amani?
Wanatafuta profit marginkubwa
Unajua kodi ni kubwa ukifanya kihalali faida ni sisimizi
Matajiri wengi unaowasikia wanakwepa kodi,hii ndo siri ya biashara mkuu,zipo bidhaa chache analipia na zingine anakwepesha ili apate faida😀 vinginevyo utajuwa unawafanyia kazi TRA
 
😀😀 wateja wako mkoa gani?
Huyo atakua amcekuzunguka kama ulimpa namba za wateja
Ila mkuu pisi elf 1000 si mchezo ata mtaji wake mnene
Sio 1.5M kama unavosema

Ila mkuu hivo vitenge ukifuata zambia kimagendo unacheza pata potea,watu wengi wamepotza mitaji
Maana ukidakwa mzigo wote wanachukua wale jamaa
Na ukisema ufanye kihali faida hakuna

Kwa sasa vitenge vya kushona a.k,a java au tereza au mwendokasi ni 6500 pisi moja
Ishu ni kuvusha mzigo
Wateja wapo mwanza mkuu, huku waliniambia watanunua kwa 8500 pc aisee kumbe faida ipo. Ilikua sio lazima nilete 1000pcs zote ningeanza na kidogo ila nilisema hivyo ili kuonesha ni jinsi gani vinahitajika.
 
😀😀 wateja wako mkoa gani?
Huyo atakua amekuzunguka kama ulimpa namba za wateja
Ila mkuu pisi elf 1000 si mchezo ata mtaji wake mnene
Sio 1.5M kama unavosema

Ila mkuu hivo vitenge ukifuata zambia kimagendo unacheza pata potea,watu wengi wamepotza mitaji
Maana ukidakwa mzigo wote wanachukua wale jamaa
Na ukisema ufanye kihali faida hakuna

Kwa sasa vitenge vya kushona a.k,a java au tereza au mwendokasi ni 6500 pisi moja
Ishu ni kuvusha mzigo
Nitakuja nijilipue hata na mzigo wa laki 5 nikikamatwa basi😁
 
Habari wakuu,

Nataka kuanza kufanya hii biashara ya vitenge kutoka Zambia, kuna Jamaa anaifanya biashara hii aliniambia ina faida yeye alianza na mtaji wa milioni 1.5 mpaka sasa mtaji umefikia milioni 8 na ana miezi 9 kwenye game, aliniambia nitafute mtaji then anipe connection ila toka nimwambie mtaji nishapata hanipi ushirikiano kabisa na simu hapokei kwa sasa.

Wateja nishatafuta nimewapata, ombi langu kama kuna mtu ashaifanya hii biashara anipe abc kuanzia issue za TRA na mengine, nawaza niende mwenyewe Zambia nikafanye research kwanza ila nikaona sio mbaya kuwashirikisha wanajukwaa naweza kupata ushauri wowote mzuri.
1.5m na miezi tisa ana 8m nina shaka sana hapo
Na biashara yenyewe ya vitenge na raia walivyozoea kukopa vitenge + vitenge vya Kila aina vilivyozagaa kkoo+ Zambia hakuna kiwanda Cha hivyo vitenge + mkinga anampa mchina anamfyatulia same same = rudia msemo wa kikwete
 
Kwanza aliniambia niende mjini nikatafute wateja then aongee nao ila nisiwambie kama mzigo unatoka zambia niwadanganye hata mbeya au sehemu yoyote ile ili wasije kufata wenyewe zambia basi nikafanya hivyo nikaenda duka la kwanza nikajieleza jamaa kasema haina shida ila nimuoneshe sample ikabidi nimpigie jamaa akaniambia mpe simu nikampa wakaongea mteja akataka kutumiwa sample jamaa akamtumia through whatsapp basi mteja akavipenda akasema yupo tayari kuchukua 1000pcs kila week.

Nikaenda kwenye duka la pili nikafanya hivyo hivyo mteja akasema atachukua 500pcs kila week basi jamaa akasema hao wateja wawili wanatosha kwa kuanzia mimi nikaondoka, ila toka siku hiyo nikimcheki chenga nyingi inaonekana kanizunguka wale wateja kachukua yeye.
Kumbe jibu unalo mkuu
 
Hiyo 6,500 ni bei kwa upande wa Zambia? Wao wanavitoa wapi ama wanazalisha kwamba kuna viwanda huko?
[emoji3][emoji3] wateja wako mkoa gani?
Huyo atakua amcekuzunguka kama ulimpa namba za wateja
Ila mkuu pisi elf 1000 si mchezo ata mtaji wake mnene
Sio 1.5M kama unavosema

Ila mkuu hivo vitenge ukifuata zambia kimagendo unacheza pata potea,watu wengi wamepotza mitaji
Maana ukidakwa mzigo wote wanachukua wale jamaa
Na ukisema ufanye kihali faida hakuna

Kwa sasa vitenge vya kushona a.k,a java au tereza au mwendokasi ni 6500 pisi moja
Ishu ni kuvusha mzigo
 
Ni biasha
Habari wakuu,

Nataka kuanza kufanya hii biashara ya vitenge kutoka Zambia, kuna Jamaa anaifanya biashara hii aliniambia ina faida yeye alianza na mtaji wa milioni 1.5 mpaka sasa mtaji umefikia milioni 8 na ana miezi 9 kwenye game, aliniambia nitafute mtaji then anipe connection ila toka nimwambie mtaji nishapata hanipi ushirikiano kabisa na simu hapokei kwa sasa.

Wateja nishatafuta nimewapata, ombi langu kama kuna mtu ashaifanya hii biashara anipe abc kuanzia issue za TRA na mengine, nawaza niende mwenyewe Zambia nikafanye research kwanza ila nikaona sio mbaya kuwashirikisha wanajukwaa naweza kupata ushauri wowote mzuri.
Yenye faida kubwa saaana ushauri
Anza na mtaji wa lski mbili njoo Tunduma (black) chukua mzigo hata pisi 15 hapo na usafili nk inawza fika Hadi laki mbili nanusu hivi ukifanikiwa kufikisha mjini unaeza uwa faida Hadi paxu kwa pasu some times
 
Ni biasha

Yenye faida kubwa saaana ushauri
Anza na mtaji wa lski mbili njoo Tunduma (black) chukua mzigo hata pisi 15 hapo na usafili nk inawza fika Hadi laki mbili nanusu hivi ukifanikiwa kufikisha mjini unaeza uwa faida Hadi paxu kwa pasu some times
Sawa mkuu, kumbe hata tunduma zipo sina haja ya kuingia zambia?
 
Sawa mkuu, kumbe hata tunduma zipo sina haja ya kuingia zambia?
Tunduma upande wa zambia
Mtu anaposema zambia hamaanishi anaenda mbali na tunduma
Walio wengi mizigo wanafungia hapo Tunduma upande wa zambia
Ila angalizo tu ni kwamba usafirishaji wake ni kama unasafirisha bangi au cokein,kwa sababu ya kukwepa kodi
 
Tunduma upande wa zambia
Mtu anaposema zambia hamaanishi anaenda mbali na tunduma
Walio wengi mizigo wanafungia hapo Tunduma upande wa zambia
Ila angalizo tu ni kwamba usafirishaji wake ni kama unasafirisha bangi au cokein,kwa sababu ya kukwepa kodi
Nimekupata mkuu ndio panaitwa nakonde sio, mwanzo nikijua mpaka niende lusaka. Mkuu hii issue lazima nitaijaribu one day.
 
Back
Top Bottom