Naombeni ushauri wakulima wenzangu.

Naombeni ushauri wakulima wenzangu.

Kinumbo

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2019
Posts
3,039
Reaction score
5,560
Habari zenu wapambanaji

Leo niko mbele yenu kutaka ushauri wa kimawazo kutoka kwenu ndugu zangu. Niko kwenye mpango wa kuingia kwenye kilimo kwa kumanisha hasa. Nina bajeti ya kiasi cha Tsh. 5M, hivyo kutokana na hicho kiasi niko mbele yenu kutaka ushauri wa mawazo kwa haya yafuatayo.

Nahitaji kufanya kilimo biashara na pia nahitaji ku dili na mazao ya biashara, hivyo naomba ushauri ni fanye hasa kilimo cha zao/mazao gani? Swali langu kuu ni hilo, nataka ushauri kutokana na nchi yetu Tanzania ni mazao gani ya biashara ambayo nikifanya ni hot cake. Nafahamu watu wanafanya kilimo cha Mahindi, Mpunga, Maharage, Nyanya nakadhalika. Binafsi nilihitaji ni komae na zao moja la biashara hivyo naomba ushauri wenu kwenye hilo.

Pia napenda kufahamu ni wapi ndani ya Tanzania hii zao husika linakubali kutokana na hali ya hewa, mfano ukiniambia fanya kilimo cha mpunga ningependa kujua ni wapi zao hilo niende kufanya ambapo unaona linakubali zaidi. Kutokana na kiasi changu napenda kuanza na heka tatu, nimedhamilia kuingia kwenye kilimo kwa msimu huu.

Natanguliza shukrani za dhati kwenu nyote, niko hapa nasubiri ushauri wenu. Ushauri wenu nitauzingatia kwa kina, asanteni sana.

Karibu.
 
Shukrani sana kaka inabidi nije tuungane huko
Mimi nalima mahindi huku Namtumbo lakini msimu unofuata nataka nilime soya.
Mahindi soko lake halieleweki ila Soya uhakika.
Msimu uliopita mahindi tuliuza Hadi 700 per Kg,
Sijui kwa Sasa Hali itakuwaje
 
Hongera sana kwa kufanya maamuzi sahihi, kilimo kiko poa sana ukiwa makini.

Ushauri wangu fanya kilimo cha Nyanya, mengine kuhusu wapi ufanye watakuelekeza wengine. Nikifa MkeWangu Asiolewe njoo utoe madini huku.
Papaa Gx nimefika.
Ahsantee Kwa wito.
Naungana na wewe kuwa afanye kilimo Cha bustani (umwagiliaji).

Aingie Kwa kumaanisha at least basi aanze na heka ya nyanya.

Vitu vya msingi

Awe mzoefu au ajiri wazoefu wa kazi hii hasa nyanya.

Awe mchapakazi haswa namanisha auhusike 100% yeye na watu wake. Asiwaachie vibarua!

Mtaji wake unatosha kwa heka1 ya nyanya

Azingatie matumizi sahihi ya mbolea na madawa hapa ndo pa mhimuki zaidi maana.

Mbegu Bora.:Mkuu hapa ukiamua nicheki inbox nikuelekeze wapi utapata mbegu nzuri ya nyanya.

KWanini nimeshauri awe na heka ya nyanya hii ni Kwa sababu ya soko hakuna mfanyabiashara mkubwa ataleta gari lake kwenye shamba kidogo hayupo matokeo yake utauzia hao wamama wa magenge tu hao hutaona faida.

Saivi nyanya inatafuta sana na waganda wanywaranda nk wanakuja Hadi shambani Mimi kama mkulima ndie naye kwambia maana ndo wateja wangu.

Nadhani niishie hapa kama unaswali karibu Kinumbo
 
Habari zenu wapambanaji

Leo niko mbele yenu kutaka ushauri wa kimawazo kutoka kwenu ndugu zangu. Niko kwenye mpango wa kuingia kwenye kilimo kwa kumanisha hasa. Nina bajeti ya kiasi cha Tsh. 5M, hivyo kutokana na hicho kiasi niko mbele yenu kutaka ushauri wa mawazo kwa haya yafuatayo.

Nahitaji kufanya kilimo biashara na pia nahitaji ku dili na mazao ya biashara, hivyo naomba ushauri ni fanye hasa kilimo cha zao/mazao gani? Swali langu kuu ni hilo, nataka ushauri kutokana na nchi yetu Tanzania ni mazao gani ya biashara ambayo nikifanya ni hot cake. Nafahamu watu wanafanya kilimo cha Mahindi, Mpunga, Maharage, Nyanya nakadhalika. Binafsi nilihitaji ni komae na zao moja la biashara hivyo naomba ushauri wenu kwenye hilo.

Pia napenda kufahamu ni wapi ndani ya Tanzania hii zao husika linakubali kutokana na hali ya hewa, mfano ukiniambia fanya kilimo cha mpunga ningependa kujua ni wapi zao hilo niende kufanya ambapo unaona linakubali zaidi. Kutokana na kiasi changu napenda kuanza na heka tatu, nimedhamilia kuingia kwenye kilimo kwa msimu huu.

Natanguliza shukrani za dhati kwenu nyote, niko hapa nasubiri ushauri wenu. Ushauri wenu nitauzingatia kwa kina, asanteni sana.

Karibu.
Unataka ku dili na mazao ya biashara? Unayajua mazao ya biashara mzee?
 
Habari zenu wapambanaji

Leo niko mbele yenu kutaka ushauri wa kimawazo kutoka kwenu ndugu zangu. Niko kwenye mpango wa kuingia kwenye kilimo kwa kumanisha hasa. Nina bajeti ya kiasi cha Tsh. 5M, hivyo kutokana na hicho kiasi niko mbele yenu kutaka ushauri wa mawazo kwa haya yafuatayo.

Nahitaji kufanya kilimo biashara na pia nahitaji ku dili na mazao ya biashara, hivyo naomba ushauri ni fanye hasa kilimo cha zao/mazao gani? Swali langu kuu ni hilo, nataka ushauri kutokana na nchi yetu Tanzania ni mazao gani ya biashara ambayo nikifanya ni hot cake. Nafahamu watu wanafanya kilimo cha Mahindi, Mpunga, Maharage, Nyanya nakadhalika. Binafsi nilihitaji ni komae na zao moja la biashara hivyo naomba ushauri wenu kwenye hilo.

Pia napenda kufahamu ni wapi ndani ya Tanzania hii zao husika linakubali kutokana na hali ya hewa, mfano ukiniambia fanya kilimo cha mpunga ningependa kujua ni wapi zao hilo niende kufanya ambapo unaona linakubali zaidi. Kutokana na kiasi changu napenda kuanza na heka tatu, nimedhamilia kuingia kwenye kilimo kwa msimu huu.

Natanguliza shukrani za dhati kwenu nyote, niko hapa nasubiri ushauri wenu. Ushauri wenu nitauzingatia kwa kina, asanteni sana.

Karibu.
Ukiwa unanipanga nakushauri nunua mpunga hifadhi bei ipo chini ukivumilia miezi Sita mbele bei itakuwa mara mbili
 
mkuu komaa na nyanya kama alivyo shauli @nikifa mke wangu asiolewe alafu mwakani njoo huku kusini tukomae kwenye ufuta kwa huo mtaji unaweza kulima hata heka kumi na tano
Ufuta wastani kwa ekari unagaharimu kiasi gani
 
Asante sana kwa muongozo, bado nina maswali kwako usinichoke tafadhali. Nimefurahi kuwa wewe mwenyewe ni mkulima wa kilimo husika cha nyanya vipi kuhusu mkoa ama sehemu inayo kubali kwa kilimo cha nyanya na msimu mzuri wa kulima nyanya ni upi? Asante
Papaa Gx nimefika.
Ahsantee Kwa wito.
Naungana na wewe kuwa afanye kilimo Cha bustani (umwagiliaji).

Aingie Kwa kumaanisha at least basi aanze na heka ya nyanya.

Vitu vya msingi

Awe mzoefu au ajiri wazoefu wa kazi hii hasa nyanya.

Awe mchapakazi haswa namanisha auhusike 100% yeye na watu wake. Asiwaachie vibarua!

Mtaji wake unatosha kwa heka1 ya nyanya

Azingatie matumizi sahihi ya mbolea na madawa hapa ndo pa mhimuki zaidi maana.

Mbegu Bora.:Mkuu hapa ukiamua nicheki inbox nikuelekeze wapi utapata mbegu nzuri ya nyanya.

KWanini nimeshauri awe na heka ya nyanya hii ni Kwa sababu ya soko hakuna mfanyabiashara mkubwa ataleta gari lake kwenye shamba kidogo hayupo matokeo yake utauzia hao wamama wa magenge tu hao hutaona faida.

Saivi nyanya inatafuta sana na waganda wanywaranda nk wanakuja Hadi shambani Mimi kama mkulima ndie naye kwambia maana ndo wateja wangu.

Nadhani niishie hapa kama unaswali karibu Kinumbo
 
Shukrani sana kwa ushauri. Mpunga kwa sasa bei gani gunia na ni wapi huko?
Ukiwa unanipanga nakushauri nunua mpunga hifadhi bei ipo chini ukivumilia miezi Sita mbele bei itakuwa mara mbili
 
Aisee! Nitakutafuta, napenda sana kilimo. Hebu tuandikie break down za kilimo cha ufuta kuanzia kukodi shamba mpaka kuvuna
mkuu komaa na nyanya kama alivyo shauli @nikifa mke wangu asiolewe alafu mwakani njoo huku kusini tukomae kwenye ufuta kwa huo mtaji unaweza kulima hata heka kumi na tano
 
Back
Top Bottom