Naombeni ushauri wakuu

Naombeni ushauri wakuu

MWALIMU DAIMA

Senior Member
Joined
Mar 4, 2023
Posts
129
Reaction score
263
Naomba kuuliza kwenu wakuu, upi ni ushauri wenu kwa Mimi/ sisi vijana ambao tupo vyuo vikuu, juu ya kuwekeza kupitia pesa ya boom.
Mfano mm apa had sasa nipo semester naingia semester ya nne nime save almost laki tano,
Na natarajia mwaka wa tatu ni save million moja na nusu,
Sasa wakuu nipo njia panda kwenye mawazo haya mawaili;
01. Nataka hizi pesa ni endeleeni kuzi save hadi tapo maliza chuo ndipo nianze kuwekeza.
02. Nawaza kumpa mama kiasi kadhaa aanze kunizungishia kipind nipo masomoni,(mama yangu ni mwaminifu).
Naombeni ushauri walimu
 
Tafuta kitu kinachokuvutia na anza kujifunza kitu hiko. Mfano kama ni upigaji picha, anza kujifunza hilo kwa undani... Kama kuna kitu ambacho tayari unajuajua, wekeza katika kutoa huduma ya kitu hiko. Kama wewe ni mzuri kwa Hesabu basi anza kutangaza kuwa unafundisha hesabu ya level flani. Unaweza pia kutumia majukwaa yaliyopo kama Facebook na Instagram kutangaza huduma yako.
 
Acha siasa kbsa nasema Wacha mambo ya hakim bongo mtauana Bure mpikane supu
fungua fixed account utanshukuru badae
 
Back
Top Bottom