Naombeni ushauri wanaume jf

Tatizo JF wanataka tutaje majina yetu, sasa tukianza kutajana majina kama hapa nakushauri vipi? Maana huenda namshauri Mke wangu, ngoja tuhamie PM
 
Wewe kama humuombei kaa hivyohivyo na hizo sala zako lkn nchi inasonga mbele.
 
uko tutaulizwa dougiemasta ni celebrity gan [emoji28][emoji28][emoji28]tuendelee hapa hapa bwana mwenye uzi atajua mwenyewe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dougie kapagawa balaa leo
 
embu tuambie ulifanya juhudi gani binafsi kwanza kulitetea hilo penzi la mwanamaudhi....??..au ndio ulijitega makusudi....??....
 

Kama kawaida yenu..akili kiduchu....hapo utadanganywa ,utatendwa tena ,...then utarudi tena hapa.....hebu jiongezeni kidogo nyie mbulula.......
 

Attachments

  • Screenshot_2016-12-14-12-55-26.png
    84.8 KB · Views: 26
  • Screenshot_2016-12-14-12-55-21.png
    37.8 KB · Views: 23
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…