Naombeni ushauri wanaume jf

Naombeni ushauri wanaume jf

Nimekosa Hamu na mwanaume wangu kutokana na tabia na mambo ya machukizo na maumizo anayoyafanya ..[HASHTAG]#ametokea[/HASHTAG] mwanaume mmoja kunipenda kwa mda mrefu lkn nilikuwa simpi chance hii nikutokana na kuwa nahuyo mwenye maumizo na machukizo naombeni mnishauri je nianze nae mahusiano officially au nisubir kwanza .??Msaada wenu plz maana nimechoka sipati Upendo nao taka kutoka kwa huyo wa kwanza#huyu mwingine ameonyesha Upendo kwa mda mrefu,kunijali,kuniheshimu,kunishauri na kazalika.
Tatizo JF wanataka tutaje majina yetu, sasa tukianza kutajana majina kama hapa nakushauri vipi? Maana huenda namshauri Mke wangu, ngoja tuhamie PM
 
Wewe kama humuombei kaa hivyohivyo na hizo sala zako lkn nchi inasonga mbele.
unajua utu uzima ni dawa acha tu adange huku na huko hajui wanaume angejua hata mmoja hapo hampendi asingeongea.namshukuru Mungu kunipa jicho la tatu sipendi kabisa mapenzi siku hizi na nipo ok hadi nabarikiwa wanaume kumbe wana gundu aisee ukiwa nao hata mafanikio yanakata .
 
uko tutaulizwa dougiemasta ni celebrity gan [emoji28][emoji28][emoji28]tuendelee hapa hapa bwana mwenye uzi atajua mwenyewe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dougie kapagawa balaa leo
 
embu tuambie ulifanya juhudi gani binafsi kwanza kulitetea hilo penzi la mwanamaudhi....??..au ndio ulijitega makusudi....??....
 
Nimekosa Hamu na mwanaume wangu kutokana na tabia na mambo ya machukizo na maumizo anayoyafanya ..[HASHTAG]#ametokea[/HASHTAG] mwanaume mmoja kunipenda kwa mda mrefu lkn nilikuwa simpi chance hii nikutokana na kuwa nahuyo mwenye maumizo na machukizo naombeni mnishauri je nianze nae mahusiano officially au nisubir kwanza .??Msaada wenu plz maana nimechoka sipati Upendo nao taka kutoka kwa huyo wa kwanza#huyu mwingine ameonyesha Upendo kwa mda mrefu,kunijali,kuniheshimu,kunishauri na kazalika.

Kama kawaida yenu..akili kiduchu....hapo utadanganywa ,utatendwa tena ,...then utarudi tena hapa.....hebu jiongezeni kidogo nyie mbulula.......
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hawa cheusi
Screenshot_2016-12-14-12-54-53.png
Screenshot_2016-12-14-12-55-26.png
Screenshot_2016-12-14-12-55-08.png
Screenshot_2016-12-14-12-55-21.png
dada kavurugwa huyu hawa n yy si kwa kupanic uku [emoji28][emoji28]
 

Attachments

  • Screenshot_2016-12-14-12-55-26.png
    Screenshot_2016-12-14-12-55-26.png
    84.8 KB · Views: 26
  • Screenshot_2016-12-14-12-55-21.png
    Screenshot_2016-12-14-12-55-21.png
    37.8 KB · Views: 23
Back
Top Bottom