Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
unajua utu uzima ni dawa acha tu adange huku na huko hajui wanaume angejua hata mmoja hapo hampendi asingeongea.namshukuru Mungu kunipa jicho la tatu sipendi kabisa mapenzi siku hizi na nipo ok hadi nabarikiwa wanaume kumbe wana gundu aisee ukiwa nao hata mafanikio yanakata .
huyo mpya na wewe unampenda pia au?Nimekosa Hamu na mwanaume wangu kutokana na esha Upendo kwa mda mrefu,kunijali,kuniheshimu,kunishauri na kazalika.
View attachment 446085View attachment 446086View attachment 446090View attachment 446091dada kavurugwa huyu hawa n yy si kwa kupanic uku [emoji28][emoji28]
hayo mapovu huko IG sio ya nchi hii![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]flatscreen kama shunie halaf anajifanyaga ana 8 figure milly kiboko yao
AiseeeTena baadhi anavyo vingi tu
Uyo wa pil anakutaman tu...ukimpa papuch imekula kwako..Nimekosa Hamu na mwanaume wangu kutokana na tabia na mambo ya machukizo na maumizo anayoyafanya ..[HASHTAG]#ametokea[/HASHTAG] mwanaume mmoja kunipenda kwa mda mrefu lkn nilikuwa simpi chance hii nikutokana na kuwa nahuyo mwenye maumizo na machukizo naombeni mnishauri je nianze nae mahusiano officially au nisubir kwanza .??Msaada wenu plz maana nimechoka sipati Upendo nao taka kutoka kwa huyo wa kwanza#huyu mwingine ameonyesha Upendo kwa mda mrefu,kunijali,kuniheshimu,kunishauri na kazalika.
ha ha ha kashapagawahayo mapovu huko IG sio ya nchi hii!
kapaniki balaaa km uongo why panic...!!!
vbaya mnoooha ha ha kashapagawa
angepuuza tungejua milly muongokapaniki balaaa km uongo why panic...!!!
hawa cheusi [emoji28][emoji28]vbaya mnooo
wachache wenye kulitambua ulilosema. big up mkuu
wakati mwingine nataman niweke kitchen part maana wanatutia aibu
haswaaa cjui wanakula maharage ya wapi hawaIngewasaidia mana kila kukicha wana mapya tena yasiyo na vichwa wa miguu.
haswaaa, wanani let down kweli hawa viumbe. au tusubiri shule zifunguliwe tuone kama ndo mtindo huu naweka kitchen party ya bureeeeeweka kuna watu wanatufanya tunaonekana wote ndio walewale
lovelyIweke tu tutakua pamoja kuwanyoosha wasiojitambua mwanamke ukijitambua hadi raha yan unaelewa nn unataka nn hulitaki
Tena uweke chap chaplovely
Hahahaaaa! Tena ili ujue hajafunzwa anawaomba ushauri wanaume .haswaaa cjui wanakula maharage ya wapi hawa
then nataka kuwafundisha jinsi ya kutumia neno NO and YESHahahaaaa! Tena ili ujue hajafunzwa anawaomba ushauri wanaume .
Kaazi kweli kweli. Ila mumy hebu siku moja tuwafunze hata kama hawatafunzika kwa 100% basi angalau tutawatoa tongotongo japo kidogo. Pia sisi wanawake tunatakiwa tujue kuwa kuanzisha mada zisizo na maana sio uhodari.
wewe sitakuita aisee kuna mambo nitaongelea sitaki ... ajue na wewe lazima utapeleka habariTena uweke chap chap
then nataka kuwafundisha jinsi ya kutumia neno NO and YES
Wanawake wengi wamekuwa na ugumu wa kutumia neno NO pale wanapotaka kusema no, You have to know how to say NO or YES to a sentence.