Naombeni ushauri wanaume jf

Naombeni ushauri wanaume jf

unajua utu uzima ni dawa acha tu adange huku na huko hajui wanaume angejua hata mmoja hapo hampendi asingeongea.namshukuru Mungu kunipa jicho la tatu sipendi kabisa mapenzi siku hizi na nipo ok hadi nabarikiwa wanaume kumbe wana gundu aisee ukiwa nao hata mafanikio yanakata .



hahahahaaha. dawa yao kuwafanya kama kaka zako kichwani kwako, utaona mambo yanafunguka! ukiwaweka moyoni ushaumia!
 
Screenshot_2016-12-14-13-30-04.png
 
Nimekosa Hamu na mwanaume wangu kutokana na tabia na mambo ya machukizo na maumizo anayoyafanya ..[HASHTAG]#ametokea[/HASHTAG] mwanaume mmoja kunipenda kwa mda mrefu lkn nilikuwa simpi chance hii nikutokana na kuwa nahuyo mwenye maumizo na machukizo naombeni mnishauri je nianze nae mahusiano officially au nisubir kwanza .??Msaada wenu plz maana nimechoka sipati Upendo nao taka kutoka kwa huyo wa kwanza#huyu mwingine ameonyesha Upendo kwa mda mrefu,kunijali,kuniheshimu,kunishauri na kazalika.
Uyo wa pil anakutaman tu...ukimpa papuch imekula kwako..
 
wachache wenye kulitambua ulilosema. big up mkuu

wakati mwingine nataman niweke kitchen part maana wanatutia aibu

Ingewasaidia mana kila kukicha wana mapya tena yasiyo na vichwa wa miguu.
 
weka kuna watu wanatufanya tunaonekana wote ndio walewale
haswaaa, wanani let down kweli hawa viumbe. au tusubiri shule zifunguliwe tuone kama ndo mtindo huu naweka kitchen party ya bureeeee
 
haswaaa cjui wanakula maharage ya wapi hawa
Hahahaaaa! Tena ili ujue hajafunzwa anawaomba ushauri wanaume .

Kaazi kweli kweli. Ila mumy hebu siku moja tuwafunze hata kama hawatafunzika kwa 100% basi angalau tutawatoa tongotongo japo kidogo. Pia sisi wanawake tunatakiwa tujue kuwa kuanzisha mada zisizo na maana sio uhodari.
 
Hahahaaaa! Tena ili ujue hajafunzwa anawaomba ushauri wanaume .

Kaazi kweli kweli. Ila mumy hebu siku moja tuwafunze hata kama hawatafunzika kwa 100% basi angalau tutawatoa tongotongo japo kidogo. Pia sisi wanawake tunatakiwa tujue kuwa kuanzisha mada zisizo na maana sio uhodari.
then nataka kuwafundisha jinsi ya kutumia neno NO and YES

Wanawake wengi wamekuwa na ugumu wa kutumia neno NO pale wanapotaka kusema no, You have to know how to say NO or YES to a sentence.
 
then nataka kuwafundisha jinsi ya kutumia neno NO and YES

Wanawake wengi wamekuwa na ugumu wa kutumia neno NO pale wanapotaka kusema no, You have to know how to say NO or YES to a sentence.

Kweli kabisa mumy. Inatakiwa ifikie kipindi wanawake wenye id za kike na wenye jinsia ya kike kweli tushikamane ili tuwakomeshe hawa wanaume wasioisha kutudharau kila kukicha kutokana na baadhi ya wanawake kushindwa kushughulisha akili katika kufanya maamuzi.
 
Back
Top Bottom