Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
unajua utu uzima ni dawa acha tu adange huku na huko hajui wanaume angejua hata mmoja hapo hampendi asingeongea.namshukuru Mungu kunipa jicho la tatu sipendi kabisa mapenzi siku hizi na nipo ok hadi nabarikiwa wanaume kumbe wana gundu aisee ukiwa nao hata mafanikio yanakata .
hahahahaaha. dawa yao kuwafanya kama kaka zako kichwani kwako, utaona mambo yanafunguka! ukiwaweka moyoni ushaumia!