Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
NANI ALIKUWA ANATAFUTA SPONSOR JAMANI?Anajilipua[emoji125][emoji125][emoji125]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NANI ALIKUWA ANATAFUTA SPONSOR JAMANI?Anajilipua[emoji125][emoji125][emoji125]
Shunie mke wangu leo hali yangu kiafya sio nzuriha ha ha pole yake
PUNYETO NI NINI?Sawa haha zako za kimwili unazimaliza vp?,..
Anajiita am a girlNANI ALIKUWA ANATAFUTA SPONSOR JAMANI?
pole sana Mungu atakuafu utaponaShunie mke wangu leo hali yangu kiafya sio nzuri
Pokea busu mwanana inawezekana tusionane tenaaaaaaaaaa
Hahahahaha hamna nikajiandaa kuja kuona mchuano na waleta post za kudai kuna watu wananuka.ukajiandaa kuja kutoa povu [emoji28]
kuna mdada alileta post ya kutafuta sponsorNANI ALIKUWA ANATAFUTA SPONSOR JAMANI?
Ukinasa unaweza jikuta tatizo lako unamhadithia kila mtu, mkuu acha tu.Mweeeeeh sio Kwa kupendwa huku
Anapendwa au anajichoresha?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hahahahaha hamna nikajiandaa kuja kuona mchuano na waleta post za kudai kuna watu wananuka.
Na Shida inakuja pale unaemwambia nae ana yake kibao ya kufanyaUkinasa unaweza jikuta tatizo lako unamhadithia kila mtu, mkuu acha tu.
Vyote unavyo wewe mbona wa 1 hujauliza toa tena bure siamini kama amekuzungukia mda ukizidi wki 2Nimekosa Hamu na mwanaume wangu kutokana na tabia na mambo ya machukizo na maumizo anayoyafanya ..[HASHTAG]#ametokea[/HASHTAG] mwanaume mmoja kunipenda kwa mda mrefu lkn nilikuwa simpi chance hii nikutokana na kuwa nahuyo mwenye maumizo na machukizo naombeni mnishauri je nianze nae mahusiano officially au nisubir kwanza .??Msaada wenu plz maana nimechoka sipati Upendo nao taka kutoka kwa huyo wa kwanza#huyu mwingine ameonyesha Upendo kwa mda mrefu,kunijali,kuniheshimu,kunishauri na kazalika.
Kuna watu wamesoma saikolojia kazi yao kushauri watu wenye shida kama hizi, humu anakutana na kachumbari imechanganya kila aina ya mtu wanazidi kumpa stress.Na Shida inakuja pale unaemwambia nae ana yake kibao ya kufanya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna watu wamesoma saikolojia kazi yao kushauri watu wenye shida kama hizi, humu anakutana na kachumbari imechanganya kila aina ya mtu wanazidi kumpa stress.
na ndo maana hata ushauri unatolewa wa hovyo hovyo yaani bora liendesijui wanapata faida gani na story zao za uongo
ni vibaya kutafuta sponsor huku?Anajiita am a girl
The way amejiexpressni vibaya kutafuta sponsor huku?
hyo post ipo wapi kwani?The way amejiexpress
Mods wameofutilia mbalihyo post ipo wapi kwani?