Naombeni Ushauri Wenu hizi Ndala Nizivae au Nimrudishie?

Naombeni Ushauri Wenu hizi Ndala Nizivae au Nimrudishie?

Dalton elijah

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
373
Reaction score
829
Naitwa James ni mwezi wa pili sasa tangu nihamie kwenye nyumba moja yenye wapangaji wengi maeneo ya Mwananyamala.

Kwenye nyumba hii tuko wapangaji watatu...wanawake wawili pamoja na mimi.

Mara nyingi mimi hurudi nyumbani usiku na wala sina mazoea na wapangaji wenzangu. Cha kushangza juzi usiku nimerudi nyumbani nikakuta mlangoni kwangu mfuko wa plastiki umefungwa vizuri...

kwanza nikaogopa kuufungua lakini nikajipa moyo nikauchukua nikaingia nao ndani na kuufungua.

Nilichokikikuta ndani kilinishangaza ni ndala nyeupe zenye michoro ya moyo (love) na kibarua kidogo kimendikwa...."Kaka samahani kama nimekukwaza nimekuona kila asubuhi ukienda chooni na ndala zilizochakaa sana nikaona nikununulie ndala hizo kama zawadi...samahani narudia tena kuomba msamaha kama nimekukwaza ni mimi Belinda jirani yako chumba cha kati.

Nakutakia usiku mwema." Baada ya kusoma kibarua hiko nimekuwa na mawazo sana na asubuhi yake niliwahi sana kuondoka ilimradi nisionane naye.
JM LIBRARY
 
Naitwa James ni mwezi wa pili sasa tangu nihamie kwenye nyumba moja yenye wapangaji wengi maeneo ya Mwananyamala.

Kwenye nyumba hii tuko wapangaji watatu...wanawake wawili pamoja na mimi.

Mara nyingi mimi hurudi nyumbani usiku na wala sina mazoea na wapangaji wenzangu. Cha kushangza juzi usiku nimerudi nyumbani nikakuta mlangoni kwangu mfuko wa plastiki umefungwa vizuri...

kwanza nikaogopa kuufungua lakini nikajipa moyo nikauchukua nikaingia nao ndani na kuufungua.

Nilichokikikuta ndani kilinishangaza ni ndala nyeupe zenye michoro ya moyo (love) na kibarua kidogo kimendikwa...."Kaka samahani kama nimekukwaza nimekuona kila asubuhi ukienda chooni na ndala zilizochakaa sana nikaona nikununulie ndala hizo kama zawadi...samahani narudia tena kuomba msamaha kama nimekukwaza ni mimi Belinda jirani yako chumba cha kati.

Nakutakia usiku mwema." Baada ya kusoma kibarua hiko nimekuwa na mawazo sana na asubuhi yake niliwahi sana kuondoka ilimradi nisionane naye.
JM LIBRARY
Umri na elimu yako? nimuhimu sana linapokuja suala la kumshari au kumfundisha mtu jambo.
 
Naitwa James ni mwezi wa pili sasa tangu nihamie kwenye nyumba moja yenye wapangaji wengi maeneo ya Mwananyamala.

Kwenye nyumba hii tuko wapangaji watatu...wanawake wawili pamoja na mimi.

Mara nyingi mimi hurudi nyumbani usiku na wala sina mazoea na wapangaji wenzangu. Cha kushangza juzi usiku nimerudi nyumbani nikakuta mlangoni kwangu mfuko wa plastiki umefungwa vizuri...

kwanza nikaogopa kuufungua lakini nikajipa moyo nikauchukua nikaingia nao ndani na kuufungua.

Nilichokikikuta ndani kilinishangaza ni ndala nyeupe zenye michoro ya moyo (love) na kibarua kidogo kimendikwa...."Kaka samahani kama nimekukwaza nimekuona kila asubuhi ukienda chooni na ndala zilizochakaa sana nikaona nikununulie ndala hizo kama zawadi...samahani narudia tena kuomba msamaha kama nimekukwaza ni mimi Belinda jirani yako chumba cha kati.

Nakutakia usiku mwema." Baada ya kusoma kibarua hiko nimekuwa na mawazo sana na asubuhi yake niliwahi sana kuondoka ilimradi nisionane naye.
JM LIBRARY
Majina ya Belinda ni majasiri sana.

Umepata mke
 
Ndala zina gharama kiasi gani mkuu

Tuseme elfu 2-3

Je ni kweli wewe umeishiwa kiasi cha kukosa hela ya kununua ndala.

Jibu likiwa hapana basi hizo ndala zichukue ziweke mlango Wa kuingilia chooni muwe mna-share wapangaji wote.


Wewe anabidi kukuonea huruma katika mambo ya msingi.

Akiendelea kukuonea huruma mwambie Dada naomba unilipie kodi miezi miatatu sina kitu.

Pia ishi na watu vizuri Ila usiingilike kirahisi yaani shida zako ziwe zako.
 
Back
Top Bottom