Naombeni Ushauri Wenu hizi Ndala Nizivae au Nimrudishie?

Mtu unaishi kimasikini kwa kuogea ndala zilizochakaa sana, anajitokeza malaika mnyenyekevu Belinda anakununulia mpyaa tena kwa upendo, UNAPATAJE NGUVU YA KUSEMA ETI SIJUI NIMRUDISHIEE??, AU eti NIMEPATA MAWAZO SAAANA, Come-on men
 
ji
 
Humu ni wabahili sana hadi hamtaki kununua ndala kwa faida yenu
 
fanya kama hivi.
 
Na wew mnunulie kyupi kufanya ngoma droo.

Ujumbe ni uleule.
 
Nielekeze nami nije nipange hapo, nitaanika boxa iliyotoboka ili nami aninunulie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…