Naombeni ushauri wenu juu ya huyu mtu🤔

Wewe unamahusiano ? Au umeoa? Kwa maana mwamamke wa hivi ataharibu uhusiano wako naumoendaye ni mtego anataka kukuharibia ila kama haupo na mtu kubali kwa mkataba maalum wa kisheria usije kuharibiwa full.
Hii siku ulikula nini naona diah lilikua mahala pake linanasa mawimbi vizuri. You're so stupid sijui kwanini
 
😂😂😂😂 umeshtuka miandiko inayofanana inajibizana
Siwezi kufanya huo ujinga achana na huyo mpuuzi. Nijitumie sms mwenyewe kutafuta nini? Kumfurahisha nani humu?
 
Vijana wa 2000 unajitumia meseji na kujijibu mwenyewe.

Hizi ni dalili za tatizo la akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…