Naombeni ushauri wenu kwenye hili tafadhali.....

Naombeni ushauri wenu kwenye hili tafadhali.....

hamna shida nimekupenda just the way you are..... 😂
Bado niko kwenye shock 🤣

Mda wangu wa kuja kuitwa LISHANGAZI ukifika niwe nakula Pension taratibu 🤣🤣🤣🤣🤣🙌

Si unajua Fainali Uzeeni..acha tupambane tukiwa na nguvu
 
Kiingereza sahihi huwezi sema mlio left. Unasema mlio leave kama ni swanglishi. Well, unataka upewe ushauri sababu unasema katika umri huu unajikia kuwashwa, kutaka vuta bhangi, kunywa pombe, kukobolewa. Kweli hapo unataka wanaume wakushauri nini? Watakufeel tu then uwe NDO BASI TENA. siyo unaomba omba ushauri kwa mambo ya kipumbavu kwa wanaume.... Wana kushauri hasa. Unabaki umeshauriwa. Zamani sisi tunakua usingekuta mvulana anakuja aandika mambo kama haya kuwa anajisikia miwasho n. K
 
kwahiyo wewe ni wale mlioleft group??
Kiingereza sahihi huwezi sema mlio left. Unasema mlio leave kama ni swanglishi. Well, unataka upewe ushauri sababu unasema katika umri huu unajikia kuwashwa, kutaka vuta bhangi, kunywa pombe, kukobolewa. Kweli hapo unataka wanaume wakushauri nini? Watakufeel tu then uwe NDO BASI TENA. siyo unaomba omba ushauri kwa mambo ya kipumbavu kwa wanaume.... Wana kushauri hasa. Unabaki umeshauriwa. Zamani sisi tunakua usingekuta mvulana anakuja aandika mambo kama haya kuwa anajisikia miwasho n. K
 
19 years? 🙄🙄🙄
Wewe ni mwanangu kabisa.... Aisee kwaherini JF siitaki tena.
HUYU NDO BASI TENA WASHAMWARIBU WATU.... YAANI TUVIJANA TWA SIKU HIZI HAKA UTAKUTA KAMESHATATULIWA HATA MALINDA .... KAMA HAKAJIELEWI HIVI. NDO BASI TENA.
 
Kula sana bhange alafu fanya kazi zako mirungi na pombe ni starehe nyonya damu zitakumaliza na zitamaliza pesa zako ila bhange ukipata og za buku tu unawaka vyedi
 
Back
Top Bottom