Naombeni ushauri wenu kwenye hili

Msamaha hauombwi hivyo kwa kutishana kuharibiana kazi, bila shaka huyo jamaa hajapenda kuona ulivyoweza ku move on na hao jamaa sijui ndugu ni wahuni wa kukodi tu. "UMESHA IONA KAANANI USIRUDI TENA MISRI"
 
thanks
 
tatizo wakiniomba ushahidi, na sijawahi hata kwenda polis maskini wa mungu
 
Tapeli huyo toa taarifa kwa mlinzi Pamoja na uongozi hyo mtu hatakiwi kuingia ofisin bila ruhusa
 
Ikitokea umemkubalia lazima upate ugonjwa wa bawasiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…