Naombeni ushauri Wenu ni Muhimu nimechanganyikiwa

Naombeni ushauri Wenu ni Muhimu nimechanganyikiwa

Ukienda Arusha utapoteza zaidi,
Ulipokua unafanya kazi nna uhakika ulipata kufahamiana na watu wengine inje ya kazi Ila kazi ndo iliwaleta, tumia hiyo uweze kupata hela zaidi.
Suala la matumizi ya hela yako hapo pambana.
 
Daah nimepoteza kazi.. akiba nina 1.3 million kodi nimeshalipa miezi sita naishi na ndugu zangu wawili mimi ni mjuzi wa Computer software.. Nssf nina 22million wameniambia nikae miezi 18 ndo watanipa hela tangu yote kwa sasa wanipa asilimia 33% ya mshara wangu kigezo kuwa nina Elimu naweza kupata tena kazi na mimi mpango wa kuajiriwa sina tena na wala sitaki..

Naombeni ushauri wenu nifanye biashara gani na hyo 1.3million nawaza kwenda Arusha nikajitafute upya kwa sasa Naishi Dar
Kwani arusha kwenu? Kama sio kwenu na vijisenti vyako RChuga utaiweza? Bora Dar mara 100%. Nenda mbezi mwisho anzisha biashara ya vyakula!
 
Umepotezaje kazi?

Muhimu endelea kutafuta kazi maana ujuzi wako bado unauhitaji mkubwa sana... tfauta pia nje....lakini pia angalia namna unaweza kuzalisha pesa ya kuishi wakati unatafuta fursa...je unaweza kufanya kitu gani kikaingiza pesa?? Computer accessory shop from antivirus mpaka windows na pirated softwares...apps, website design, content creation etc....
 
Mimi nahisi wazo lakwenda mikoani nibora ila sio Arusha ila tujiandae kuwa chingaboy. kwa hiyo hela na kama unataka kuwa hivyo basi njoo like zone michongo ipo.
 
Trump effect,pole sana,maisha yakikushinda kabisa nitafute mimi mlezi wa wana,hutojutia
 
Daah nimepoteza kazi.. akiba nina 1.3 million kodi nimeshalipa miezi sita naishi na ndugu zangu wawili mimi ni mjuzi wa Computer software.. Nssf nina 22million wameniambia nikae miezi 18 ndo watanipa hela tangu yote kwa sasa wanipa asilimia 33% ya mshara wangu kigezo kuwa nina Elimu naweza kupata tena kazi na mimi mpango wa kuajiriwa sina tena na wala sitaki..

Naombeni ushauri wenu nifanye biashara gani na hyo 1.3million nawaza kwenda Arusha nikajitafute upya kwa sasa Naishi Dar
hivi hiyo 33% huwa ni wanakupa tu.. haipungui kwenye makusanyo yako?
 
Back
Top Bottom