Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Tuko pamoja,barikiwa!Asante
Kuna karama ya uponyaji pia!
Mungu akusaidie!
Utumishi una changamoto sn!,hasa eneo la ofisi ya kinabii!
Yesu ni mwema!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuko pamoja,barikiwa!Asante
Mungu anisaidie na kunitia nguvu katika hili,anaponitia nguvu nasimama na kuweza kwa jina lake ,maana ni mkuu wa mambo yote.Tuko pamoja,barikiwa!
Kuna karama ya uponyaji pia!
Mungu akusaidie!
Utumishi una changamoto sn!,hasa eneo la ofisi ya kinabii!
Yesu ni mwema!
Sent using Jamii Forums mobile app
Amina bossMungu akupe hitaji la moyo wako,hata nyumba yako hiyo iimalize na hata kwa ela ambayo ukihitajiria kuipata huipate ndani ya mwezi huu.Mungu wetu anatazama watu wake.
Watu wanampima tuu akili yake mkuu, huoni ameshaanza kujibu majibu yanayofanana ?Watu wa ajabu sana kilamtu anasema na "mimi na mim" hivi wazima kweli nyie. Yaani mnaamini kuna mtu anayajuwa maisha yenu sana zaid yenu wenyewe??
Isitoshe nazan uzi wake hamjauelewa vizuri, kasema wajuzi wamsaidie kujuw kilichondan yake, sasa nashangaa kuona tena wajuzi wanaomba kujuzwa ??
Hii nchi looh !!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Unanirusha stimuFunny thing is hata huyo mwenza sina
Haha! Hata sijali ndo nakumbuka sahivi kwamba nimetabiliwa Jambo..😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yamebaki masaa usitoke ndan
Afadhali, kesho nitakucheck ili tuone km utabiri umetimia au la.Bado nipo salama nimeshiba kitumbo kipo ndii..😂
Sawasawa..Afadhali, kesho nitakucheck ili tuone km utabiri umetimia au la.
Nitabirie na mimi Mkuu kuhusu matamanio yangu na je yatakamilikaAmen,na Mungu akukumbuke pia.
🤣🤣🤣🤣Bado nipo salama nimeshiba kitumbo kipo ndii..😂
Bado siku haijaisha tusikilizie labda Mambo yatajipa huwezi jua huenda hata nikagongwa na ungo wa mchawi..😅🤣🤣🤣🤣
Uzi ufungwe ni ubatili mtupuuuuu
Hahahaaa na kwel saivi bado mapema sana ikifika saa 5 na dk 59 ndio itajulikanaBado siku haijaisha tusikilizie labda Mambo yatajipa huwezi jua huenda hata nikagongwa na ungo wa mchawi..😅
Halafu mshikaji hajui hata kiswahili anaweka ha hata pasipo hitajika!Hahahaaa na kwel saivi bado mapema sana ikifika saa 5 na dk 59 ndio itajulikana