Naombeni wenye kujua haya mambo, naona kama nina kitu Cha kipekee

Kaka hiyo ni nguvu ya Mungu. Ingia instagram tafuta account inaitwa Anointed Room pale utaona mwongozo
 
Na me naomba unieleze tafadhali kuhusu uzao na ajira
 
Hongera mkuu watu kama nyie mko wachache.. ambao mnaweza onyeshwa jambo kabla halijatokea... kuna mtu ambaye namfahamu yeye anaweza onyeshwa jambo kwenye ndoto kama ni kifo au ajali akimwambie muhusika basi halitatokea kwa ukubwa.. ila asipo mwambia linatokea kwa ukubwa.. hvy unapaswa kuomba sana mkuu. Ni karama hiyo.
 
Hahahaha Ila jf Raha Sana Yani, huwa najiuliza wasiojua hii platform Yani wanakosa mengi. Mkuu Rudi kwenye wokovu achana na ya kaisari hiyo itakuafanya uishi kwa amani na ufanye uvuvi was watu
 
Omba sana,tafuta Uso wa Bwana!kaa vzr na Mungu!mbona utaona makubwa zaidi ya hayo,kutoa unabii ni sehemu ndogo sana Mungu amekuweka hapo makusudi anataka akutumie zaidi.

Hiki ni kipindi cha uamsho mkubwa kabla Yesu hajarudi, ss ww unaekutana sana na watu,wagonjwa,hebu usiache kuwaambia habari za wokovu! Na Mungu akutie nguvu tu,,utabibu na karama ya uponyaji,plus kuona ,Mungu ana makusudi yake kuweka ndani yako kwa sbb
Ili umsaidie mtu lzm uone tatizo ni nn kwanza!
Kwahiyo mpendwa tumia vzr hizo karama usiishiea kutoa unabii tu,waambie habari za Yesu!
Tupo nyakati za mwisho.hubiri wokovu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amen [emoji1666][emoji1666]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…