Aahh!! Hii ndio shida sasa Mtani.Ila navyoona wanaweza wasimalize kesi leo pia ,maana TFF nao wana madudu kibao
Hapana Mtani. Sisi tunataka kumuharibia tu na ikitokea akawa ni mali yetu basi ajue atalisugua sana benchi mpaka aombe poo.huduma yake bado mnaihitaji kwani?
Wanasema mkataba wa morison umesainiwa tar 15 wakati yeye kaingia nchini tar 17 na usajili ulishafungwa ilikuwaje amechelewa kuingia na saini ikatangulia na TFF wakapokea mkataba ,yaani hata TFF kazi wanayoAahh!! Hii ndio shida sasa Mtani.
Ila baada ya hili sakata watajitathmini na wao.
Yaani picha ndio zimekuwa mkataba? Kumbuka hata Tshishimbi zilitolewa picha za kuonyesha ameongeza mkataba, leo nadhani unafahamu mwenyewe yuko wapiPicha alizopiga za wapi?
Nadhani hili hata halihusiani na jambo lililopo mezani sababu la mezani ni mkataba wa two year na sio ule wa miezi sita.Wanasema mkataba wa morison umesainiwa tar 15 wakati yeye kaingia nchini tar 17 na usajili ulishafungwa ilikuwaje amechelewa kuingia na saini ikatangulia na TFF wakapokea mkataba ,yaani hata TFF kazi wanayo
Ngoja tusubiri kamati.Hapana Mtani. Sisi tunataka kumuharibia tu na ikitokea akawa ni mali yetu basi ajue atalisugua sana benchi mpaka aombe poo.
Shishimbi akusema Bali Yanga ndio ilisema.
Dada ili mkataba wa miaka miwili uwe halali lazima wa kwanza uwe na uhalali.Nadhani hili hata halihusiani na jambo lililopo mezani sababu la mezani ni mkataba wa two year na sio ule wa miezi sita.
Wamalize hili likishaisha anayeona hayo awasilishe naye sababu kila mmoja anaibua lwake saa hii.
Na bila umakini twiefuefu kutakuwa na kesi za Morisson tu.
Kwamba hawezi kusaini Mkataba akiwa huko alikokuwa. Kwani ni lazima Mkataba ausaini baada ya kufika!?Wanasema mkataba wa morison umesainiwa tar 15 wakati yeye kaingia nchini tar 17 na usajili ulishafungwa ilikuwaje amechelewa kuingia na saini ikatangulia na TFF wakapokea mkataba ,yaani hata TFF kazi wanayo
Kabisa mkuu,Mie naona harufu kali sana na dalili za uhuni za huyu bwana Morrison,kwa kifupi watu wa Magharibi sio watu wa kuwaamini hata kidogo,mtu wa Magaharibi anaweza kukwambia au kukutumia e-mail kwamba yupo Los Angles kumbe yupo Mbagala rangi tatu.Atapigwa faini na klabu ambayo itamfanya hata anaemnunua apate ugumu, mie ni simba ila naona kama uyu Morison kuna uhuni mahali nae kachangia
Kwa hiyo aliishi na kufanya kazi Tanzania isivyo kihalali?Dada ili mkataba wa miaka miwili uwe halali lazima wa kwanza uwe na uhalali.
Kwa hiyo ni kesi mbili tena si moja zinazoendelea huko au zimeunganishwa?Dada ili mkataba wa miaka miwili uwe halali lazima wa kwanza uwe na uhalali.
Una uelewa kama wangu mkuuKwanza kabisa mimi ni mshabiki wa Simba nakiri hili lakini hapa sitachambua kama mshabiki wa Simba bali Kama mshabiki wa Soka.Kwa Hili sakata linaloendelea naona kabisa BM hatachomoka kwenye Hili sakata ukiangalia kwa makini utaona hili.
BM Amejitia kitanzi mwenyewe
Wakati BM alikuwa akihojiwa kwa njia ya simu na Wasafi FM kupitia kipindi Cha sports Arena hapo ikiwa hajaingia mgogoro na Yanga alikiri kabisa amesaini mkataba na Yanga na akasema kabla ya kusaini Yanga alikuwa anatakiwa na team 3 za South Africa ikiwemo team ya Ajax Capetown. Huu Ni mkataba ule wa miezi 6 baada ya Yanga kuridhika na huduma Yake wakataka kumuongezea mkataba ndipo BM akasaini kwa miaka miwili baada ya kusaini BM akaongezea akasema baada ya yeye kusaini akawa anapewa maneno kwamba team ya Yanga hailipi mishahara wachezaji wake kwa wakati,haiendeshwi kiprofessionalism ndipo akaona Bora awaombe kuvunja mkataba nao huku Kuna baadhi ya offer akawa amepokea ikiwemo ya Simba.
Ukiachana na hapo tukaona email ya BM mtandaoni akiomba Yanga kucancel extension ya mkataba.kwenye Hili unajiuliza Kama ajasaini mkataba na Yanga inakuaje kwenye email yake anaomba acancel extension ya mkataba wake?
So ukitazama kwa ujumla wake bila ushabiki unaona kabisa jamaa anajifunga mwenyewe kwa Hali kama hii unaanzaje kumuamini BM?
Kwa upande wa Simba
Uongozi wangu wa Simba ulifanya kosa kubwa Sana kumtambulisha kumsajili Morrison mapema wangesubiri kwanza kesi ya Yanga na BM iishe Kama walivyoshauriwa na "Senzo" lakini kwa akili ya uswahili wa viongozi wakaenda against. Kwa maana hii Kama Yanga itashinda lazima watafungua kesi dhidi ya Simba kumsajili mchezaji wao mwenye "mkataba".
Hoja iyo iliibuliwa kwenye uteteziKwa hiyo ni kesi mbili tena si moja zinazoendelea huko au zimeunganishwa?
Labda watashinda kwa Morrison wa kule Chunya MbeyaKwanza kabisa mimi ni mshabiki wa Simba nakiri hili lakini hapa sitachambua kama mshabiki wa Simba bali Kama mshabiki wa Soka.Kwa Hili sakata linaloendelea naona kabisa BM hatachomoka kwenye Hili sakata ukiangalia kwa makini utaona hili.
BM Amejitia kitanzi mwenyewe
Wakati BM alikuwa akihojiwa kwa njia ya simu na Wasafi FM kupitia kipindi Cha sports Arena hapo ikiwa hajaingia mgogoro na Yanga alikiri kabisa amesaini mkataba na Yanga na akasema kabla ya kusaini Yanga alikuwa anatakiwa na team 3 za South Africa ikiwemo team ya Ajax Capetown. Huu Ni mkataba ule wa miezi 6 baada ya Yanga kuridhika na huduma Yake wakataka kumuongezea mkataba ndipo BM akasaini kwa miaka miwili baada ya kusaini BM akaongezea akasema baada ya yeye kusaini akawa anapewa maneno kwamba team ya Yanga hailipi mishahara wachezaji wake kwa wakati,haiendeshwi kiprofessionalism ndipo akaona Bora awaombe kuvunja mkataba nao huku Kuna baadhi ya offer akawa amepokea ikiwemo ya Simba.
Ukiachana na hapo tukaona email ya BM mtandaoni akiomba Yanga kucancel extension ya mkataba.kwenye Hili unajiuliza Kama ajasaini mkataba na Yanga inakuaje kwenye email yake anaomba acancel extension ya mkataba wake?
So ukitazama kwa ujumla wake bila ushabiki unaona kabisa jamaa anajifunga mwenyewe kwa Hali kama hii unaanzaje kumuamini BM?
Kwa upande wa Simba
Uongozi wangu wa Simba ulifanya kosa kubwa Sana kumtambulisha kumsajili Morrison mapema wangesubiri kwanza kesi ya Yanga na BM iishe Kama walivyoshauriwa na "Senzo" lakini kwa akili ya uswahili wa viongozi wakaenda against. Kwa maana hii Kama Yanga itashinda lazima watafungua kesi dhidi ya Simba kumsajili mchezaji wao mwenye "mkataba".
Ooohh!! Hivyo kumbe watu hawapaswi kulalama eti kwamba maamuzi yanachelewa kwa kweli.Hoja iyo iliibuliwa kwenye utetezi
Wanavyodai kuchelewa kufanya maamuzi ni kuwa TFF nao wanamakosa ivyo wanataks ku balance mambpOoohh!! Hivyo kumbe watu hawapaswi kulalama eti kwamba maamuzi yanachelewa kwa kweli.
Senzo aliwashsuri Simba wasimtangaze Morisson ?Kwanza kabisa mimi ni mshabiki wa Simba nakiri hili lakini hapa sitachambua kama mshabiki wa Simba bali Kama mshabiki wa Soka.Kwa Hili sakata linaloendelea naona kabisa BM hatachomoka kwenye Hili sakata ukiangalia kwa makini utaona hili.
BM Amejitia kitanzi mwenyewe
Wakati BM alikuwa akihojiwa kwa njia ya simu na Wasafi FM kupitia kipindi Cha sports Arena hapo ikiwa hajaingia mgogoro na Yanga alikiri kabisa amesaini mkataba na Yanga na akasema kabla ya kusaini Yanga alikuwa anatakiwa na team 3 za South Africa ikiwemo team ya Ajax Capetown. Huu Ni mkataba ule wa miezi 6 baada ya Yanga kuridhika na huduma Yake wakataka kumuongezea mkataba ndipo BM akasaini kwa miaka miwili baada ya kusaini BM akaongezea akasema baada ya yeye kusaini akawa anapewa maneno kwamba team ya Yanga hailipi mishahara wachezaji wake kwa wakati,haiendeshwi kiprofessionalism ndipo akaona Bora awaombe kuvunja mkataba nao huku Kuna baadhi ya offer akawa amepokea ikiwemo ya Simba.
Ukiachana na hapo tukaona email ya BM mtandaoni akiomba Yanga kucancel extension ya mkataba.kwenye Hili unajiuliza Kama ajasaini mkataba na Yanga inakuaje kwenye email yake anaomba acancel extension ya mkataba wake?
So ukitazama kwa ujumla wake bila ushabiki unaona kabisa jamaa anajifunga mwenyewe kwa Hali kama hii unaanzaje kumuamini BM?
Kwa upande wa Simba
Uongozi wangu wa Simba ulifanya kosa kubwa Sana kumtambulisha kumsajili Morrison mapema wangesubiri kwanza kesi ya Yanga na BM iishe Kama walivyoshauriwa na "Senzo" lakini kwa akili ya uswahili wa viongozi wakaenda against. Kwa maana hii Kama Yanga itashinda lazima watafungua kesi dhidi ya Simba kumsajili mchezaji wao mwenye "mkataba".