Naona 99.9% Yanga anashinda dhidi ya Morrison

Naona 99.9% Yanga anashinda dhidi ya Morrison

Ila navyoona wanaweza wasimalize kesi leo pia ,maana TFF nao wana madudu kibao
Aahh!! Hii ndio shida sasa Mtani.

Ila baada ya hili sakata watajitathmini na wao.
 
Wanasema mkataba wa morison umesainiwa tar 15 wakati yeye kaingia nchini tar 17 na usajili ulishafungwa ilikuwaje amechelewa kuingia na saini ikatangulia na TFF wakapokea mkataba ,yaani hata TFF kazi wanayo
Nadhani hili hata halihusiani na jambo lililopo mezani sababu la mezani ni mkataba wa two year na sio ule wa miezi sita.

Wamalize hili likishaisha anayeona hayo awasilishe naye sababu kila mmoja anaibua lwake saa hii.

Na bila umakini twiefuefu kutakuwa na kesi za Morisson tu.
 
Hapana Mtani. Sisi tunataka kumuharibia tu na ikitokea akawa ni mali yetu basi ajue atalisugua sana benchi mpaka aombe poo.
Ngoja tusubiri kamati.

Japo huyu jamaaa kawachanganya sio kidogo.

Maana natafakari ule umati ukiambiwa Morrison ni Mali yetu sijui patakuwaje pale.


Huyu jamaaa kajua kutupanda vichwa
 
Nadhani hili hata halihusiani na jambo lililopo mezani sababu la mezani ni mkataba wa two year na sio ule wa miezi sita.

Wamalize hili likishaisha anayeona hayo awasilishe naye sababu kila mmoja anaibua lwake saa hii.

Na bila umakini twiefuefu kutakuwa na kesi za Morisson tu.
Dada ili mkataba wa miaka miwili uwe halali lazima wa kwanza uwe na uhalali.
 
Wanasema mkataba wa morison umesainiwa tar 15 wakati yeye kaingia nchini tar 17 na usajili ulishafungwa ilikuwaje amechelewa kuingia na saini ikatangulia na TFF wakapokea mkataba ,yaani hata TFF kazi wanayo
Kwamba hawezi kusaini Mkataba akiwa huko alikokuwa. Kwani ni lazima Mkataba ausaini baada ya kufika!?
 
Atapigwa faini na klabu ambayo itamfanya hata anaemnunua apate ugumu, mie ni simba ila naona kama uyu Morison kuna uhuni mahali nae kachangia
Kabisa mkuu,Mie naona harufu kali sana na dalili za uhuni za huyu bwana Morrison,kwa kifupi watu wa Magharibi sio watu wa kuwaamini hata kidogo,mtu wa Magaharibi anaweza kukwambia au kukutumia e-mail kwamba yupo Los Angles kumbe yupo Mbagala rangi tatu.
 
Kwanza kabisa mimi ni mshabiki wa Simba nakiri hili lakini hapa sitachambua kama mshabiki wa Simba bali Kama mshabiki wa Soka.Kwa Hili sakata linaloendelea naona kabisa BM hatachomoka kwenye Hili sakata ukiangalia kwa makini utaona hili.

BM Amejitia kitanzi mwenyewe

Wakati BM alikuwa akihojiwa kwa njia ya simu na Wasafi FM kupitia kipindi Cha sports Arena hapo ikiwa hajaingia mgogoro na Yanga alikiri kabisa amesaini mkataba na Yanga na akasema kabla ya kusaini Yanga alikuwa anatakiwa na team 3 za South Africa ikiwemo team ya Ajax Capetown. Huu Ni mkataba ule wa miezi 6 baada ya Yanga kuridhika na huduma Yake wakataka kumuongezea mkataba ndipo BM akasaini kwa miaka miwili baada ya kusaini BM akaongezea akasema baada ya yeye kusaini akawa anapewa maneno kwamba team ya Yanga hailipi mishahara wachezaji wake kwa wakati,haiendeshwi kiprofessionalism ndipo akaona Bora awaombe kuvunja mkataba nao huku Kuna baadhi ya offer akawa amepokea ikiwemo ya Simba.

Ukiachana na hapo tukaona email ya BM mtandaoni akiomba Yanga kucancel extension ya mkataba.kwenye Hili unajiuliza Kama ajasaini mkataba na Yanga inakuaje kwenye email yake anaomba acancel extension ya mkataba wake?

So ukitazama kwa ujumla wake bila ushabiki unaona kabisa jamaa anajifunga mwenyewe kwa Hali kama hii unaanzaje kumuamini BM?

Kwa upande wa Simba
Uongozi wangu wa Simba ulifanya kosa kubwa Sana kumtambulisha kumsajili Morrison mapema wangesubiri kwanza kesi ya Yanga na BM iishe Kama walivyoshauriwa na "Senzo" lakini kwa akili ya uswahili wa viongozi wakaenda against. Kwa maana hii Kama Yanga itashinda lazima watafungua kesi dhidi ya Simba kumsajili mchezaji wao mwenye "mkataba".
Una uelewa kama wangu mkuu
 
Kwanza kabisa mimi ni mshabiki wa Simba nakiri hili lakini hapa sitachambua kama mshabiki wa Simba bali Kama mshabiki wa Soka.Kwa Hili sakata linaloendelea naona kabisa BM hatachomoka kwenye Hili sakata ukiangalia kwa makini utaona hili.

BM Amejitia kitanzi mwenyewe

Wakati BM alikuwa akihojiwa kwa njia ya simu na Wasafi FM kupitia kipindi Cha sports Arena hapo ikiwa hajaingia mgogoro na Yanga alikiri kabisa amesaini mkataba na Yanga na akasema kabla ya kusaini Yanga alikuwa anatakiwa na team 3 za South Africa ikiwemo team ya Ajax Capetown. Huu Ni mkataba ule wa miezi 6 baada ya Yanga kuridhika na huduma Yake wakataka kumuongezea mkataba ndipo BM akasaini kwa miaka miwili baada ya kusaini BM akaongezea akasema baada ya yeye kusaini akawa anapewa maneno kwamba team ya Yanga hailipi mishahara wachezaji wake kwa wakati,haiendeshwi kiprofessionalism ndipo akaona Bora awaombe kuvunja mkataba nao huku Kuna baadhi ya offer akawa amepokea ikiwemo ya Simba.

Ukiachana na hapo tukaona email ya BM mtandaoni akiomba Yanga kucancel extension ya mkataba.kwenye Hili unajiuliza Kama ajasaini mkataba na Yanga inakuaje kwenye email yake anaomba acancel extension ya mkataba wake?

So ukitazama kwa ujumla wake bila ushabiki unaona kabisa jamaa anajifunga mwenyewe kwa Hali kama hii unaanzaje kumuamini BM?

Kwa upande wa Simba
Uongozi wangu wa Simba ulifanya kosa kubwa Sana kumtambulisha kumsajili Morrison mapema wangesubiri kwanza kesi ya Yanga na BM iishe Kama walivyoshauriwa na "Senzo" lakini kwa akili ya uswahili wa viongozi wakaenda against. Kwa maana hii Kama Yanga itashinda lazima watafungua kesi dhidi ya Simba kumsajili mchezaji wao mwenye "mkataba".
Labda watashinda kwa Morrison wa kule Chunya Mbeya
 
Mie naona Mh Waziri anaehusika na michezo aende pale Tff akawafurumushe,kitu gan wanakaa nacho masaa sabini na mbili,mikataba ya wachezaji si zipo mezani kwa hao Tff,sasa n nn wanasbiria?,ni kitendo cha kusema huyu n wa huyu na huyu si wa huyu,full stop.
 
Ooohh!! Hivyo kumbe watu hawapaswi kulalama eti kwamba maamuzi yanachelewa kwa kweli.
Wanavyodai kuchelewa kufanya maamuzi ni kuwa TFF nao wanamakosa ivyo wanataks ku balance mambp
 
Kwanza kabisa mimi ni mshabiki wa Simba nakiri hili lakini hapa sitachambua kama mshabiki wa Simba bali Kama mshabiki wa Soka.Kwa Hili sakata linaloendelea naona kabisa BM hatachomoka kwenye Hili sakata ukiangalia kwa makini utaona hili.

BM Amejitia kitanzi mwenyewe

Wakati BM alikuwa akihojiwa kwa njia ya simu na Wasafi FM kupitia kipindi Cha sports Arena hapo ikiwa hajaingia mgogoro na Yanga alikiri kabisa amesaini mkataba na Yanga na akasema kabla ya kusaini Yanga alikuwa anatakiwa na team 3 za South Africa ikiwemo team ya Ajax Capetown. Huu Ni mkataba ule wa miezi 6 baada ya Yanga kuridhika na huduma Yake wakataka kumuongezea mkataba ndipo BM akasaini kwa miaka miwili baada ya kusaini BM akaongezea akasema baada ya yeye kusaini akawa anapewa maneno kwamba team ya Yanga hailipi mishahara wachezaji wake kwa wakati,haiendeshwi kiprofessionalism ndipo akaona Bora awaombe kuvunja mkataba nao huku Kuna baadhi ya offer akawa amepokea ikiwemo ya Simba.

Ukiachana na hapo tukaona email ya BM mtandaoni akiomba Yanga kucancel extension ya mkataba.kwenye Hili unajiuliza Kama ajasaini mkataba na Yanga inakuaje kwenye email yake anaomba acancel extension ya mkataba wake?

So ukitazama kwa ujumla wake bila ushabiki unaona kabisa jamaa anajifunga mwenyewe kwa Hali kama hii unaanzaje kumuamini BM?

Kwa upande wa Simba
Uongozi wangu wa Simba ulifanya kosa kubwa Sana kumtambulisha kumsajili Morrison mapema wangesubiri kwanza kesi ya Yanga na BM iishe Kama walivyoshauriwa na "Senzo" lakini kwa akili ya uswahili wa viongozi wakaenda against. Kwa maana hii Kama Yanga itashinda lazima watafungua kesi dhidi ya Simba kumsajili mchezaji wao mwenye "mkataba".
Senzo aliwashsuri Simba wasimtangaze Morisson ?
 
Back
Top Bottom