Naona 99.9% Yanga anashinda dhidi ya Morrison

Naona 99.9% Yanga anashinda dhidi ya Morrison

Kwanza kabisa mimi ni mshabiki wa Simba nakiri hili lakini hapa sitachambua kama mshabiki wa Simba bali Kama mshabiki wa Soka.Kwa Hili sakata linaloendelea naona kabisa BM hatachomoka kwenye Hili sakata ukiangalia kwa makini utaona hili.

BM Amejitia kitanzi mwenyewe

Wakati BM alikuwa akihojiwa kwa njia ya simu na Wasafi FM kupitia kipindi Cha sports Arena hapo ikiwa hajaingia mgogoro na Yanga alikiri kabisa amesaini mkataba na Yanga na akasema kabla ya kusaini Yanga alikuwa anatakiwa na team 3 za South Africa ikiwemo team ya Ajax Capetown. Huu Ni mkataba ule wa miezi 6 baada ya Yanga kuridhika na huduma Yake wakataka kumuongezea mkataba ndipo BM akasaini kwa miaka miwili baada ya kusaini BM akaongezea akasema baada ya yeye kusaini akawa anapewa maneno kwamba team ya Yanga hailipi mishahara wachezaji wake kwa wakati,haiendeshwi kiprofessionalism ndipo akaona Bora awaombe kuvunja mkataba nao huku Kuna baadhi ya offer akawa amepokea ikiwemo ya Simba.

Ukiachana na hapo tukaona email ya BM mtandaoni akiomba Yanga kucancel extension ya mkataba.kwenye Hili unajiuliza Kama ajasaini mkataba na Yanga inakuaje kwenye email yake anaomba acancel extension ya mkataba wake?

So ukitazama kwa ujumla wake bila ushabiki unaona kabisa jamaa anajifunga mwenyewe kwa Hali kama hii unaanzaje kumuamini BM?

Kwa upande wa Simba
Uongozi wangu wa Simba ulifanya kosa kubwa Sana kumtambulisha kumsajili Morrison mapema wangesubiri kwanza kesi ya Yanga na BM iishe Kama walivyoshauriwa na "Senzo" lakini kwa akili ya uswahili wa viongozi wakaenda against. Kwa maana hii Kama Yanga itashinda lazima watafungua kesi dhidi ya Simba kumsajili mchezaji wao mwenye "mkataba".
Acha kuidhalilosha Simba haina mashabiki wajinga kama wewe.
 
Kwa kifupi tu ni kwamba Morrison alijichanganya na tamaa za mikataba ya hapa na pale,ata yule Eng Ers aliwahi kusema pale Wasafi kwamba BM alimfuata akamwambia kwamba amepata tm yenye mkataba mnono hivyo anaomba avunje mkataba na hapo ndipo ugumu ulipo kuja akaanza mgomo wa kutosafiri na tm to Shinyanga kucheza na Mwadui, so hapa BM anajaribu kuukana mkataba wake wa halali na Yanga, sidhan kama this time atabakia salama,maana ata huko alikotoka ilikuwa n vurugu tu, Pale Orlando Pirates, Mara As Vita. kote huko aliacha Gumzo na inavyoonekana akifika sehem anaanza vurugu ili mkataba uvunjwe ili awe free agent na apige pesa,BM anatumia ujanja wa watu wa A.Magharibi kupiga pesa.
Kimsingi Morisson siyo mchezaji ni tapeli tu.
 
Yanga Hana Cha kupoteza Mkuu, Anachotaka Yanga ni kuwaaminisha UMMA kuwa yule ni mchezaji wake halali then ndio watajua wapambane nae vipi anaweza pigwa benchi Hadi akili ikamkàa sawa au akauzwa sehemu nyingine kwà Pesa nzuri tu!
Wakati huo wakimlipa mshahara ? Hapo looser atakuwa Yanga.
 
Hapana mkuu,na hata hivyo BM alionywa na Tff kwamba hakuna mchezaji anayecheza ligi ya Tanzania pasipo na mkataba na leseni ya kaz kwa foreigner-hili karipio la Tff kwa Morrison ilikuja mara baada ya BM kusema kwamba alichezeshwa bila mkataba na Yanga pale tu alipoingia Nchini na Tff iliudhibitishia adhira kwamba huyu jamaa n mchezaji halali wa Yanga,hapa ninachokiona mimi Tff inataka kubalance mzani, maana Simba inaweza kujikuta kwenye matatzo kwasababu ya kumsahinisha mchezaji ambaye ana mkataba na timu nyingine.
Unajua hata wewe unaongea kishabiki, we huoni kama TFF ingekubali kua alicheza bila mkataba ilikua ni aibu kwa TFF?
Kikubwa tuache kumhukumu BM kabla ya hukumu haijatoka.
Maana Yanga wanasema walimuongezea miaka miwili na huku yeye anasema hajasaini mkataba wa miaka miwili.
Tusubiri Kamati maana wao ndo wanaletewa ushahidi na Yanga kua alisaini mkataba mwingine.
 
Kwa hiyo ni kesi mbili tena si moja zinazoendelea huko au zimeunganishwa?
Na point itabidi mpokonywe kwa kuchezesha mchezaji ambaye hakuwa na mkataba.

Mkinyang'anywa point za kuanzia January si mtaenda kucheza playoffs na Friends Ranger nyiee????[emoji2369]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mie naona Mh Waziri anaehusika na michezo aende pale Tff akawafurumushe,kitu gan wanakaa nacho masaa sabini na mbili,mikataba ya wachezaji si zipo mezani kwa hao Tff,sasa n nn wanasbiria?,ni kitendo cha kusema huyu n wa huyu na huyu si wa huyu,full stop.
Hawa jamaa wana uswahili mwingi.
 
Mimi Morrison nasema Email account yangu ilidukuliwa hivyo sikuwahi kuomba ku cancel contract. Vile Vile sijawahi kuwa na Oral contract na yanga kwa hiyo nilichosema kwenye redio sio mkataba. Onesheni wapi nilisaini na lini ..haya kwako mtoa maada.
pesa za watu haziliwi kirahisi hivyo.
 
Mimi Morrison nasema Email account yangu ilidukuliwa hivyo sikuwahi kuomba ku cancel contract. Vile Vile sijawahi kuwa na Oral contract na yanga kwa hiyo nilichosema kwenye redio sio mkataba. Onesheni wapi nilisaini na lini ..haya kwako mtoa maada.
Ndo utakuwa uhuni wake katika soka,A.Magharibi watu wake n makanjanja sana.
 
Hivi nikisema Nimekufa nakuwa nimekufa kweli na wewe utaamini nimekufa kwa vile nimesema nimekufa?

Mambo ya kisheria lazima yaangaliwe
Kwanini nikikutishia kuku ua hata kwa maneno nakamatwa hata kama sija kuua?
 
Ujinga gan? Inawezekana ww ndo ume comment ujinga kitu usichofaham..kesi ipo TFF ni yanga vs morison, hakuna mkataba wa simba vs morison..kama upo tumbie.

Simba hajamsajil morison. Tumia ubongo kuchanganua mambo
Simba kama taasisi makini wanawezaje kusajiri mchezaji ambaye yupo kwenye mgogoro wa kimkataba kulikua na uharaka gani? Hapo ni sawa na kununua kiwanja chenye mgogoro
 
Mtendaji mkuu ni Senzo Hanspope atahusika vipi na usajili wakati siyo mtendaji mkuu wa simba ?
Acha kukariri maishi au wewe mwenzetu uishi bongo? Wewe unashangaa Hanspop kumsajili BM mbona ushangai makocha wa kizungu kupangiwa vikosi na viongozi?
 
Acha kukariri maishi au wewe mwenzetu uishi bongo? Wewe unashangaa Hanspop kumsajili BM mbona ushangai makocha wa kizungu kupangiwa vikosi na viongozi?
Wapi nimeshangaa makocha kupangiwa vikosi na viongozi ?

Acha kuleta ngonjera zisizo na ushahidi wowote ulimuona wapi Haspope akimsainisha mkataba Morisson? Na huyo Senzo alimshauri nani Morisson asitangazwe kuwa amesajiliwa ?
 
Yanga tutashinda Njaa tu....😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

Kwanza kabisa mimi ni mshabiki wa Simba nakiri hili lakini hapa sitachambua kama mshabiki wa Simba bali Kama mshabiki wa Soka.Kwa Hili sakata linaloendelea naona kabisa BM hatachomoka kwenye Hili sakata ukiangalia kwa makini utaona hili.

BM Amejitia kitanzi mwenyewe

Wakati BM alikuwa akihojiwa kwa njia ya simu na Wasafi FM kupitia kipindi Cha sports Arena hapo ikiwa hajaingia mgogoro na Yanga alikiri kabisa amesaini mkataba na Yanga na akasema kabla ya kusaini Yanga alikuwa anatakiwa na team 3 za South Africa ikiwemo team ya Ajax Capetown. Huu Ni mkataba ule wa miezi 6 baada ya Yanga kuridhika na huduma Yake wakataka kumuongezea mkataba ndipo BM akasaini kwa miaka miwili baada ya kusaini BM akaongezea akasema baada ya yeye kusaini akawa anapewa maneno kwamba team ya Yanga hailipi mishahara wachezaji wake kwa wakati,haiendeshwi kiprofessionalism ndipo akaona Bora awaombe kuvunja mkataba nao huku Kuna baadhi ya offer akawa amepokea ikiwemo ya Simba.

Ukiachana na hapo tukaona email ya BM mtandaoni akiomba Yanga kucancel extension ya mkataba.kwenye Hili unajiuliza Kama ajasaini mkataba na Yanga inakuaje kwenye email yake anaomba acancel extension ya mkataba wake?

So ukitazama kwa ujumla wake bila ushabiki unaona kabisa jamaa anajifunga mwenyewe kwa Hali kama hii unaanzaje kumuamini BM?

Kwa upande wa Simba
Uongozi wangu wa Simba ulifanya kosa kubwa Sana kumtambulisha kumsajili Morrison mapema wangesubiri kwanza kesi ya Yanga na BM iishe Kama walivyoshauriwa na "Senzo" lakini kwa akili ya uswahili wa viongozi wakaenda against. Kwa maana hii Kama Yanga itashinda lazima watafungua kesi dhidi ya Simba kumsajili mchezaji wao mwenye "mkataba".
 
Back
Top Bottom