Ncherry1
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 2,181
- 2,250
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usililojua Ni kuwa Mimi Ni katibu mwenezi wa CHAPUTA Kanda ya kusini.sina nyege sema Kuna point naziotea za mademu inanilazim niende guests na ndo km hivo Tena .najishtukia ila mwisho wa siku lazimaga niingie
Utakuwa hauna hamu ya Kula mzigo ndio maana unaona aibu. Sasa kama unaona aibu kutongoza inakuwaje wakati unaenda kutongoza au unamuomba demu wako aje umle mzigoInaniwia vigumu kuingia guest na demu Kama Kuna watu kwa nje nabaki najibaraguza.kama demu na mwenyewe Ni muoga Basi inakuwa msala zaidi.nikifikiria kila mtu anaona kabisa Kitu ambacho mnaenda kufanya.hili tendo siku zote Ni la Siri Sasa ikitokea mtu aniangalie nikiwa naenda room kufanya matusi naishiwa pozi.nahisi kabisa mabadiliko Kwenye fikra zangu nahisi watu watakuwa wananong'ona pembeni kwamba "oneni waleee wanaenda ku2mbaner" ntaanza kutetemeka kwa mbali na mapigo ya moyo kwenda kasi.sielewi Kama Ni kawaida kwa kila mtu au Ni Mimi peke yangu.
umri wangu miaka 26.
Bado una roho wa Mungu anayekuzuia uzinzi na uasherati acha kabisa umri wa kuoa tayari tafuta oa mke!!Inaniwia vigumu kuingia guest na demu Kama Kuna watu kwa nje nabaki najibaraguza.kama demu na mwenyewe Ni muoga Basi inakuwa msala zaidi.nikifikiria kila mtu anaona kabisa Kitu ambacho mnaenda kufanya.hili tendo siku zote Ni la Siri Sasa ikitokea mtu aniangalie nikiwa naenda room kufanya matusi naishiwa pozi.nahisi kabisa mabadiliko Kwenye fikra zangu nahisi watu watakuwa wananong'ona pembeni kwamba "oneni waleee wanaenda ku2mbaner" ntaanza kutetemeka kwa mbali na mapigo ya moyo kwenda kasi.sielewi Kama Ni kawaida kwa kila mtu au Ni Mimi peke yangu.
umri wangu miaka 26.
Mbona umejibu Kwa jazba hivyoMwache aondoke zake jinga sana wewe unafikiri kwakutumia makalio ukinga gani unatueleza hapa unataka tukusaidieje, punga wee
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂😂Kama unaona soo kuingia na mwanamke guest fanya kitu kimoja, tafuta kidume wa maana uingie nae halafu kitakacho tokea itakua siri yako au kama ukiona vipi unaweza ukatuletea mrejesho hapo.
HahahahahKwa uoga aliokua nao hata akipanga chumba akija na demu akikuta watu nyumban atashindwa kuingia nae ndan...
Tumuache ache kwanza akishamaliza balehe atajua namna ya kutumia akili za kichwa cha chin maana hiki kikishakaimu maamuz unaweza pitisha demu sebulen mbele ya wazaz wako ukaingiza getho ukale mzigo...
Hapana chezea kichwa kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe unachachukaga at timesIngia na mwanaume
Ha haaa ni ushauri tu nimempaKumbe unachachukaga at times
Af nikicheka naonekana mtu mubadi 😂😂😂!sasa kama kuingia gesti na demu huwezi,kuvua nguo uto mbane nae utaweza?
Sent using Jamii Forums mobile app
😂 😂 😂 😂 😂 😂Zipo nyingi tu zenye geti la nyuma, unakuwa kama unapita vile, ghafla unatinga ndani
😁😁😁😂 😂 😂 😂 😂 😂
Mzee baba, Oa.Inaniwia vigumu kuingia guest na demu Kama Kuna watu kwa nje nabaki najibaraguza.kama demu na mwenyewe Ni muoga Basi inakuwa msala zaidi.nikifikiria kila mtu anaona kabisa Kitu ambacho mnaenda kufanya.hili tendo siku zote Ni la Siri Sasa ikitokea mtu aniangalie nikiwa naenda room kufanya matusi naishiwa pozi.nahisi kabisa mabadiliko Kwenye fikra zangu nahisi watu watakuwa wananong'ona pembeni kwamba "oneni waleee wanaenda ku2mbaner" ntaanza kutetemeka kwa mbali na mapigo ya moyo kwenda kasi.sielewi Kama Ni kawaida kwa kila mtu au Ni Mimi peke yangu.
umri wangu miaka 26.