Bwii89
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 1,001
- 1,025
Akikujibu nistue!Mkuu Mrejesho Vipi Lakini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akikujibu nistue!Mkuu Mrejesho Vipi Lakini?
Nipe mimi demu wako nikamzoeshe kuingia Guest, atarudi kwako akiwa mtaalam wa kuingia huko GuestInaniwia vigumu kuingia guest na demu Kama Kuna watu kwa nje nabaki najibaraguza.kama demu na mwenyewe Ni muoga Basi inakuwa msala zaidi.nikifikiria kila mtu anaona kabisa Kitu ambacho mnaenda kufanya.hili tendo siku zote Ni la Siri Sasa ikitokea mtu aniangalie nikiwa naenda room kufanya matusi naishiwa pozi.nahisi kabisa mabadiliko Kwenye fikra zangu nahisi watu watakuwa wananong'ona pembeni kwamba "oneni waleee wanaenda ku2mbaner" ntaanza kutetemeka kwa mbali na mapigo ya moyo kwenda kasi.sielewi Kama Ni kawaida kwa kila mtu au Ni Mimi peke yangu.
umri wangu miaka 26.
Sasa ivi ana miaka 27 na Usijali kuhusu kuogopa kuingia tena Gest kwan amepata kazi kweny Gest kbsa!Miaka 26. Unaogopa kuingia gest !!!
Ikishindikana kabisa tafuta njia mbadala zipo nyingi
1.Gongea hata geto la msela wako ,,miaka 26 hukos jamaako aliepangisha
2.Tafta gest ambayo inamlango wa kuingia bila mtu kukuona
3.Hama nyumban,, umri umeshasogea ni mda wa kujitegemea (sina uhakika kama bado unaishi kwenu,,nimejaribu kulinganisha tu na maelezo yako)
Ushauri tu
Siku hizi siogopiSasa ivi ana miaka 27 na Usijali kuhusu kuogopa kuingia tena Gest kwan amepata kazi kweny Gest kbsa!
keyword aendelee kuzitunza zitahamia nyuma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bado hujabanwa na nyege wewe.
Halafu endelea kuzitunza zitahamia nyuma.
NB; kua kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Fanya mpango sasa uwe na gheto lako umpeleke huko kama unaona aibuInaniwia vigumu kuingia guest na demu Kama Kuna watu kwa nje nabaki najibaraguza.kama demu na mwenyewe Ni muoga Basi inakuwa msala zaidi.nikifikiria kila mtu anaona kabisa Kitu ambacho mnaenda kufanya.hili tendo siku zote Ni la Siri Sasa ikitokea mtu aniangalie nikiwa naenda room kufanya matusi naishiwa pozi.nahisi kabisa mabadiliko Kwenye fikra zangu nahisi watu watakuwa wananong'ona pembeni kwamba "oneni waleee wanaenda ku2mbaner" ntaanza kutetemeka kwa mbali na mapigo ya moyo kwenda kasi.sielewi Kama Ni kawaida kwa kila mtu au Ni Mimi peke yangu.
umri wangu miaka 26.
kungwi mzoefuFanya mpango sasa uwe na gheto lako umpeleke huko kama unaona aibu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Whatever [emoji849][emoji57][emoji57]kungwi mzoefu
Duh sisi wengine hatumalizi week 3 bila kulala guest/lodge au hotel. Pole sana.Binafsi kitu inaitwa gest kwangu duh ni ngumu .
Kuna safri nilikwama ikabidi nitafute gest aisee nikipata picha kuwa mambo ya uasherati hufanyika humo hata hamu ya kujifunika haikuwepo. Sembuse nimpeleke mwanamke yeyote humo .
keyword aendelee kuzitunza zitahamia nyuma [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Siku hizi siogopi
Apo sawa mkuu,,
Acha zinaa Ndege John.Inaniwia vigumu kuingia guest na demu Kama Kuna watu kwa nje nabaki najibaraguza.kama demu na mwenyewe Ni muoga Basi inakuwa msala zaidi.nikifikiria kila mtu anaona kabisa Kitu ambacho mnaenda kufanya.hili tendo siku zote Ni la Siri Sasa ikitokea mtu aniangalie nikiwa naenda room kufanya matusi naishiwa pozi.nahisi kabisa mabadiliko Kwenye fikra zangu nahisi watu watakuwa wananong'ona pembeni kwamba "oneni waleee wanaenda ku2mbaner" ntaanza kutetemeka kwa mbali na mapigo ya moyo kwenda kasi.sielewi Kama Ni kawaida kwa kila mtu au Ni Mimi peke yangu.
umri wangu miaka 26.
Au amtangulize dume mbele yeye afate nyumaKama hakuna mtu unayemfaham ingia nae unafunga mlango mambo finished. Kula mzigo mwanzo mwisho. Toka zako nenda
Sent using Jamii Forums mobile app