Naona aibu kuingia guest na mwanamke

Naona aibu kuingia guest na mwanamke

Inaniwia vigumu kuingia guest na demu Kama Kuna watu kwa nje nabaki najibaraguza.kama demu na mwenyewe Ni muoga Basi inakuwa msala zaidi.nikifikiria kila mtu anaona kabisa Kitu ambacho mnaenda kufanya.hili tendo siku zote Ni la Siri Sasa ikitokea mtu aniangalie nikiwa naenda room kufanya matusi naishiwa pozi.nahisi kabisa mabadiliko Kwenye fikra zangu nahisi watu watakuwa wananong'ona pembeni kwamba "oneni waleee wanaenda ku2mbaner" ntaanza kutetemeka kwa mbali na mapigo ya moyo kwenda kasi.sielewi Kama Ni kawaida kwa kila mtu au Ni Mimi peke yangu.
umri wangu miaka 26.
Nipe mimi demu wako nikamzoeshe kuingia Guest, atarudi kwako akiwa mtaalam wa kuingia huko Guest
 
Hizo comments sasa mue hoi lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jf idumu milele
 
Miaka 26. Unaogopa kuingia gest !!!

Ikishindikana kabisa tafuta njia mbadala zipo nyingi
1.Gongea hata geto la msela wako ,,miaka 26 hukos jamaako aliepangisha
2.Tafta gest ambayo inamlango wa kuingia bila mtu kukuona
3.Hama nyumban,, umri umeshasogea ni mda wa kujitegemea (sina uhakika kama bado unaishi kwenu,,nimejaribu kulinganisha tu na maelezo yako)

Ushauri tu
 
Miaka 26. Unaogopa kuingia gest !!!

Ikishindikana kabisa tafuta njia mbadala zipo nyingi
1.Gongea hata geto la msela wako ,,miaka 26 hukos jamaako aliepangisha
2.Tafta gest ambayo inamlango wa kuingia bila mtu kukuona
3.Hama nyumban,, umri umeshasogea ni mda wa kujitegemea (sina uhakika kama bado unaishi kwenu,,nimejaribu kulinganisha tu na maelezo yako)

Ushauri tu
Sasa ivi ana miaka 27 na Usijali kuhusu kuogopa kuingia tena Gest kwan amepata kazi kweny Gest kbsa!
 
Binafsi kitu inaitwa gest kwangu duh ni ngumu .
Kuna safri nilikwama ikabidi nitafute gest aisee nikipata picha kuwa mambo ya uasherati hufanyika humo hata hamu ya kujifunika haikuwepo. Sembuse nimpeleke mwanamke yeyote humo .
 
Kwani lazima muongozane,halafu ni hizo ni zile gesti za bei poa unakuta kitaulo kimekakamaa unaweza kukisimamisha kikasimama kama bati. Starehe gharama wewe.
 
Inaniwia vigumu kuingia guest na demu Kama Kuna watu kwa nje nabaki najibaraguza.kama demu na mwenyewe Ni muoga Basi inakuwa msala zaidi.nikifikiria kila mtu anaona kabisa Kitu ambacho mnaenda kufanya.hili tendo siku zote Ni la Siri Sasa ikitokea mtu aniangalie nikiwa naenda room kufanya matusi naishiwa pozi.nahisi kabisa mabadiliko Kwenye fikra zangu nahisi watu watakuwa wananong'ona pembeni kwamba "oneni waleee wanaenda ku2mbaner" ntaanza kutetemeka kwa mbali na mapigo ya moyo kwenda kasi.sielewi Kama Ni kawaida kwa kila mtu au Ni Mimi peke yangu.
umri wangu miaka 26.
Fanya mpango sasa uwe na gheto lako umpeleke huko kama unaona aibu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Kitakacho fuata.......


Daaah, watu bwana
keyword aendelee kuzitunza zitahamia nyuma [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Inaniwia vigumu kuingia guest na demu Kama Kuna watu kwa nje nabaki najibaraguza.kama demu na mwenyewe Ni muoga Basi inakuwa msala zaidi.nikifikiria kila mtu anaona kabisa Kitu ambacho mnaenda kufanya.hili tendo siku zote Ni la Siri Sasa ikitokea mtu aniangalie nikiwa naenda room kufanya matusi naishiwa pozi.nahisi kabisa mabadiliko Kwenye fikra zangu nahisi watu watakuwa wananong'ona pembeni kwamba "oneni waleee wanaenda ku2mbaner" ntaanza kutetemeka kwa mbali na mapigo ya moyo kwenda kasi.sielewi Kama Ni kawaida kwa kila mtu au Ni Mimi peke yangu.
umri wangu miaka 26.
Acha zinaa Ndege John.

Oa binti uwe unapiga show home.Vitandavya gesti ni vichafu.Mashuka yana manii
 
Back
Top Bottom