Naona aibu kuingia guest na mwanamke

Naona aibu kuingia guest na mwanamke

Inaniwia vigumu kuingia guest na demu Kama Kuna watu kwa nje nabaki najibaraguza.kama demu na mwenyewe Ni muoga Basi inakuwa msala zaidi.nikifikiria kila mtu anaona kabisa Kitu ambacho mnaenda kufanya.hili tendo siku zote Ni la Siri Sasa ikitokea mtu aniangalie nikiwa naenda room kufanya matusi naishiwa pozi.nahisi kabisa mabadiliko Kwenye fikra zangu nahisi watu watakuwa wananong'ona pembeni kwamba "oneni waleee wanaenda ku2mbaner" ntaanza kutetemeka kwa mbali na mapigo ya moyo kwenda kasi.sielewi Kama Ni kawaida kwa kila mtu au Ni Mimi peke yangu.
umri wangu miaka 26.
ukiona hivyo bado haujakomaa unaweza kuwa na umri mkubwa lakini bado akili zako hazijakomaa usilazimishe mambo mida wako ukifika utafanya tu sasa hivi endelea na mambo unayolingana nayo.
 
Inaniwia vigumu kuingia guest na demu Kama Kuna watu kwa nje nabaki najibaraguza.kama demu na mwenyewe Ni muoga Basi inakuwa msala zaidi.nikifikiria kila mtu anaona kabisa Kitu ambacho mnaenda kufanya.hili tendo siku zote Ni la Siri Sasa ikitokea mtu aniangalie nikiwa naenda room kufanya matusi naishiwa pozi.nahisi kabisa mabadiliko Kwenye fikra zangu nahisi watu watakuwa wananong'ona pembeni kwamba "oneni waleee wanaenda ku2mbaner" ntaanza kutetemeka kwa mbali na mapigo ya moyo kwenda kasi.sielewi Kama Ni kawaida kwa kila mtu au Ni Mimi peke yangu.
umri wangu miaka 26.
we ni mwanaume kweli?
 
Inaniwia vigumu kuingia guest na demu Kama Kuna watu kwa nje nabaki najibaraguza.kama demu na mwenyewe Ni muoga Basi inakuwa msala zaidi.nikifikiria kila mtu anaona kabisa Kitu ambacho mnaenda kufanya.hili tendo siku zote Ni la Siri Sasa ikitokea mtu aniangalie nikiwa naenda room kufanya matusi naishiwa pozi.nahisi kabisa mabadiliko Kwenye fikra zangu nahisi watu watakuwa wananong'ona pembeni kwamba "oneni waleee wanaenda ku2mbaner" ntaanza kutetemeka kwa mbali na mapigo ya moyo kwenda kasi.sielewi Kama Ni kawaida kwa kila mtu au Ni Mimi peke yangu.
umri wangu miaka 26.
Ukiona hivyo Kinga zako za mwili Zina hofia vitu viwili. 1.kinga Yako inahofia hofu ya aina yoyote ile 2. Kinga Yako inahofia MAGONJWA 3.Sauti za watu ni Sauti ya MUNGU Chukulia umepata UKIMWI halafu wabongo wanakuongelea ukipita bila shaka utakufa mapema acha sio SIFA kacheze ps
 
Na kwanini unaishi kijima namna hiyo enzi hizi. Yan miongozane kwemda guest kwan yamekua mazoezi ya kwaya hayo kanisani.
Kila mtu ana availl kwa time yake na style yake mnakutania location kama kila mtu ana 50 zake.
 
Bado hujabanwa na nyege wewe.

Halafu endelea kuzitunza zitahamia nyuma.

NB; kua kwanza
Ahahahahah...akibanwa mbona hataomba ushauri.
Sema ujue nimekuja gundua kwenye maisha kuna mambo ni muhimu sana kuyapitia. Yanasaidia sana japo ni ya kijinga kijinga.
Sasa uoga wa kwenda gest imagine???utaweza kweli wewe kununua condom??
 
Inaniwia vigumu kuingia guest na demu Kama Kuna watu kwa nje nabaki najibaraguza.kama demu na mwenyewe Ni muoga Basi inakuwa msala zaidi.nikifikiria kila mtu anaona kabisa Kitu ambacho mnaenda kufanya.hili tendo siku zote Ni la Siri Sasa ikitokea mtu aniangalie nikiwa naenda room kufanya matusi naishiwa pozi.nahisi kabisa mabadiliko Kwenye fikra zangu nahisi watu watakuwa wananong'ona pembeni kwamba "oneni waleee wanaenda ku2mbaner" ntaanza kutetemeka kwa mbali na mapigo ya moyo kwenda kasi.sielewi Kama Ni kawaida kwa kila mtu au Ni Mimi peke yangu.
umri wangu miaka 26.
ndege JOHN wewe bado ni mtoto kijana wangu .
 
Ahahahahah...akibanwa mbona hataomba ushauri.
Sema ujue nimekuja gundua kwenye maisha kuna mambo ni muhimu sana kuyapitia. Yanasaidia sana japo ni ya kijinga kijinga.
Sasa uoga wa kwenda gest imagine???utaweza kweli wewe kununua condom??
Hehee.. kuna siku nimeenda kununua ndomu nafika phamarcy nakutana na mwenyekiti wa Jumuiya. Ilibidi nifunge diclopa na Toff Plus nigeuze njia
 
Inaniwia vigumu kuingia guest na demu Kama Kuna watu kwa nje nabaki najibaraguza.kama demu na mwenyewe Ni muoga Basi inakuwa msala zaidi.nikifikiria kila mtu anaona kabisa Kitu ambacho mnaenda kufanya.hili tendo siku zote Ni la Siri Sasa ikitokea mtu aniangalie nikiwa naenda room kufanya matusi naishiwa pozi.nahisi kabisa mabadiliko Kwenye fikra zangu nahisi watu watakuwa wananong'ona pembeni kwamba "oneni waleee wanaenda ku2mbaner" ntaanza kutetemeka kwa mbali na mapigo ya moyo kwenda kasi.sielewi Kama Ni kawaida kwa kila mtu au Ni Mimi peke yangu.
umri wangu miaka 26.
Nenda vichochoroni, mtaroni au chakani.
 
Back
Top Bottom