Naona aibu kuingia guest na mwanamke

Usililojua Ni kuwa Mimi Ni katibu mwenezi wa CHAPUTA Kanda ya kusini.sina nyege sema Kuna point naziotea za mademu inanilazim niende guests na ndo km hivo Tena .najishtukia ila mwisho wa siku lazimaga niingie

pumbavu kweli wewe,hizo ny*to ndio zinakuendesha na utaendelea kuwa hivyo hivyo.
 
Utakuwa hauna hamu ya Kula mzigo ndio maana unaona aibu. Sasa kama unaona aibu kutongoza inakuwaje wakati unaenda kutongoza au unamuomba demu wako aje umle mzigo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado una roho wa Mungu anayekuzuia uzinzi na uasherati acha kabisa umri wa kuoa tayari tafuta oa mke!!
 
Kama unaona soo kuingia na mwanamke guest fanya kitu kimoja, tafuta kidume wa maana uingie nae halafu kitakacho tokea itakua siri yako au kama ukiona vipi unaweza ukatuletea mrejesho hapo.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hahahahah
 
Mzee baba, Oa.
Kuna watu mungu amewaumba very innocent. hata kufanya dhambi gizani anaogopa.
Shukuru hilo, tafuta mwanamke oa. fanya mengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…