Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #161
Niwekeni home of great thinkerItabidi kwa kweli sasa kama uyu dogo sijui nimuweke kundi gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niwekeni home of great thinkerItabidi kwa kweli sasa kama uyu dogo sijui nimuweke kundi gani
Kijana usichague kazi; maadamu ni halali usichague kazi!Ushauri tafadhari
Kwann nisichague elezeaKijana usichague kazi; maadamu ni halali usichague kazi!
huenda hata hiyo buku ulokuwa unapewa ilikuwa ya nauli ili utoke usikae ndani stress zikaongezeka... mkaa bure sio sawa na mtembezi huenda ukapatamo wazo la biashara/uwekezaji kisha ukaanza jitegemeaTatizo wamenunua maji hata hatujashauriana
Hapana walikuwa wananiambia nitaenda kula ubwabwa kwa mzee hohahuenda hata hiyo buku ulokuwa unapewa ilikuwa ya nauli ili utoke usikae ndani stress zikaongezeka... mkaa bure sio sawa na mtembezi huenda ukapatamo wazo la biashara/uwekezaji kisha ukaanza jitegemea
Kwani mm ni lele mamaDogo!, mpwayungu hakuna watu lelemama Kama ww. Yaani unamaliza chuo then unaenda kujibanza kwa bro, Pambaffu kabisa!,, Tena unapewa kianzio Cha maisha halaf unakuja Leta unyenye jukwaani!,, Acha umama. Badili I'd name fasta na fata maelekezo ya wakubwa zako.........umenikera sana
Huna degree ndomana unaropokaYaan wewe subiri ule degree yako!! Tena wakufukuze hapo ukazurure mitaani ulale kwemyw maboksi ndo utajua degree makaratasi!! Mm sijawah kuringia kidegree changu napambana na biashara.
Nina degree tena cyo degree changa kama yako hyo ya juzi, acha ubishoo uza maji au ukitaka kaa kaa tu ujishaue ukisugua sole zote za viatu zikaisha utataman kuuza hata karanga! Vijana badilikeni huu syo wakati mlioukariri kipind mnasoma, mnawaza makubwa!! Fight, hustle laa sivyo utanyooka na umri unaenda!! Ni hayo tu!! Njoo nkuuzie surual mtumba utembeze mtaani utakuja nishukuru mdogo wangu!! Thats all.Huna degree ndomana unaropoka
Pambana acha upang'ang'a, Toto la kiume linadunda popote, 26 unajiona mtoto. Au ndo utoto wa mama. kamata mzigo ingia road piga kazi biashara ikienda hovyo ndo uje jukwaani uombe ushauri na sio msaada. Mbulu kenge,!.......usinikere Tena.Kwani mm ni lele mama
Sijakuelewa una maana gani
Kama huko Kuna kazi nzuri nishtue mkuu
siku akikupa hio 2000, toka uende sehemu tulivu. Ukakae peke ako af ujitathmini kuanzia umri ulionao hadi aina ya maisha unayoishi kwa sasa.