Uchaguzi 2020 Naona CHADEMA inavyokwenda kuishangaza Dunia

Uchaguzi 2020 Naona CHADEMA inavyokwenda kuishangaza Dunia

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Naona Tanzania na Africa mashariki inavyokwenda kuandika historia mpya.

Chadema msitishike kabisa mnaenda kushinda mchana kweupe na ikitokea mnaletewa figisu ndio itakuwa mwisho wa CCM katika uso wa dunia.

CCM kupitia mwenyekiti wao wamejitengenezea maadui wengi mno na ndio maana wanatumia nguvu nyingi Sana kumpamba na propaganda za kinafiki.

Imagine bila kutafuna maneno bodi ya mikopo ya elimu ya juu ilichowafanyia watu hasa walioajiriwa serikalini wakati huohuo hawajaongezwa mishahara toka awamu ya tano ishike dola unadhani watu Hawa watakuwa upande gani?

CHADEMA anzeni na agenda hizi.:

1. Kufuta makato ya HELSB au kupunguza kwa asilimia kubwa.

2. Kupandisha mishahara ya watumishi hawa Wana hasira iliyojificha sana hawaionyeshi.

3. Amani demokrasia na usalama

Chadema itaisimamisha Afrika.
 
Unaota mchana kweupe wewe. Waajiriwa wa serikali na wenye mikopo ya bodi hawafiki hata 20% ya wapigakura wote.
Na hao ndio wana tegemewa na 30% ya wapiga kura. Yaani wake zao, vijana waliomaliza elimu na hakuna ajira.
Pia wapo wakulima waliozuluniwa malipo na kunyanyasika na wavuvi wanaochukuliwa kama majangiri.
Uchaguzi wa huru na haki hata CCM inajua wazi ni kipigo kikali
 
superbug,

Hawakujui we na unawapa mpaka agenda za kuongea

Yaani unawaamsha amsha!!!

Haujajistukia? Haya wanatakiwa waseme hata leo
 
Kwa mijizi hii na tume hiii, miaka yote ya uchaguzi CCM ni weupe...wepesi,sema upinzani nao....daaah !unaendaje uchaguzi wakati fika ukijua refarii ni CCM? Anapanga tu umfunge ngapi ila pia akupige ngapi za kutosha!
 
superbug,

Sasa Chadema mnaenda ikulu kwa kuwa mtashinda urais wa JMT Hvyo acheni kulialia vumilieni ikifika October 2020 mnachukua nchi na mtaunda tume huru na kutimiza malengo yenu. Hongereni Sana kwa kuwa mtaishinda CCM mchana kwepeee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona Tanzania na Africa mashariki inavyokwenda kuandika historia mpya.

Chadema msitishike kabisa mnaenda kushindana mchana kweupe na ikitokea mnaletewa figisu ndio itakuwa mwisho wa CCM katika uso wa dunia.

CCM kupitia mwenyekiti wao wamejitengenezea maadui wengi mno na ndio maana wanatumia nguvu nyingi Sana kumpamba na propaganda za kinafiki.

Imagine bila kutafuna maneno bodi ya mikopo ya elimu ya juu ilichowafanyia watu hasa walioajiriwa serikalini wakati huohuo hawajaongezwa mishahara toka awamu ya tano ishike dola unadhani watu Hawa watakuwa upande gani?

Chadema anzeni na agenda hizi.:

1. Kufuta makato ya HELSB au kupunguza kea asilimia kubwa.

2. Kupandisha mishahara ya watumishi hawa Wana hasira iliyojificha sana hawaionyeshi.

3. Amani demokrasia na usalama

Chadema itaisimamisha Afrika.

Agenda zako nyepesi sana sidhani kama watakubaliana na wewe
 
Na hao ndio wana tegemewa na 30% ya wapiga kura. Yaani wake zao, vijana waliomaliza elimu na hakuna ajira.
Pia wapo wakulima waliozuluniwa malipo na kunyanyasika na wavuvi wanaochukuliwa kama majangiri.
Uchaguzi wa huru na haki hata CCM inajua wazi ni kipigo kikali
Tuhamasishane,hizi asilimia za kinadharia hazitawasalimisha.Iwapo watumishi ni 100,000 kati ya wapiga kura na kila moja akawa na waungaji 10 watakuwa na kura ngapi?Je, iwapo kila anayemwamini mtumishi akihamasisha wapiga kura hata wawili dhidi ya ccm kutatokea nini?Usisahau kuwa waalimu ndiyo wasimamizi wa vituo vya kura,uchaguzi huu sidhani kama watawasaidia kupora kura.Wamelimia meno kwa miaka 5,wamewachoka.
Msipende kuwafanya Watanzania wenzenu wajinga.Tunaenda kuwatupilia mbali na tunaikomboa nchi yetu dhidi ya dhuluma ya miaka 60.Inatosha.
 
Kwa mijizi hii na tume hiii....miaka yote ya uchaguzi ccm ni weupe...wepesi,sema upinzani nao....daaah !unaendaje uchaguzi wakati fika ukijua refarii ni ccm?anapanga tuu umfunge ngapi ila pia akupige ngapi za kutosha!!!
Watashiriki uchaguzi wakiwa nusu uchi, kutokana na tuhuma wanazozitoa wenyewe? Kwanza wajisafishe kwa tuhuma zao hizo za ndani kwa ndani:
• uongozi dhaifu;
• upendeleo katika uteuzi wa wagombea;
• chuki ya wenyewe kwa wenyewe;
• matumizi ya mali za chama kwa mambo binafsi;
• kutokuwa na Sera mbadala za maendeleo ya Taifa hili nk.

Hayo yote ni dhahiri kwa jamii, ambayo ndiyo uamua nani awaongoze kwa kura na siyo Tume ya Uchaguzi. Wapinzani kusingizia Tume ni kama kuhamisha goli, kwani si kila mtumishi wa Tume ni mwanachama, mfuasi au shabiki wa CCM, Chama Tawala.
 
Naona Tanzania na Africa mashariki inavyokwenda kuandika historia mpya.

Chadema msitishike kabisa mnaenda kushindana mchana kweupe na ikitokea mnaletewa figisu ndio itakuwa mwisho wa CCM katika uso wa dunia.

CCM kupitia mwenyekiti wao wamejitengenezea maadui wengi mno na ndio maana wanatumia nguvu nyingi Sana kumpamba na propaganda za kinafiki.

Imagine bila kutafuna maneno bodi ya mikopo ya elimu ya juu ilichowafanyia watu hasa walioajiriwa serikalini wakati huohuo hawajaongezwa mishahara toka awamu ya tano ishike dola unadhani watu Hawa watakuwa upande gani?

Chadema anzeni na agenda hizi.:

1. Kufuta makato ya HELSB au kupunguza kea asilimia kubwa.

2. Kupandisha mishahara ya watumishi hawa Wana hasira iliyojificha sana hawaionyeshi.

3. Amani demokrasia na usalama

Chadema itaisimamisha Afrika.
Hizi busara za mvuta bangi ni tatizo
 
Huju
Watashiriki uchaguzi wakiwa nusu uchi, kutokana na tuhuma wanazozitoa wenyewe? Kwanza wajisafishe kwa tuhuma zao hizo za ndani kwa ndani:
• uongozi dhaifu;
• upendeleo katika uteuzi wa wagombea;
• chuki ya wenyewe kwa wenyewe;
• matumizi ya mali za chama kwa mambo binafsi;
• kutokuwa na Sera mbadala za maendeleo ya Taifa hili nk.

Hayo yote ni dhahiri kwa jamii, ambayo ndiyo uamua nani awaongoze kwa kura na siyo Tume ya Uchaguzi. Wapinzani kusingizia Tume ni kama kuhamisha goli, kwani si kila mtumishi wa Tume ni mwanachama, mfuasi au shabiki wa CCM, Chama Tawala.
Hujui ulisemalo
 
Back
Top Bottom